Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

Boss! Anakuelewa fika, ila kwa sababu ya jinsi ambavyo wameelekezwa wakatae tu kuuhusu Uungu wa Yesu, basi tu
YESU ALIKUWEPO KABLA YA KUZALIWA
Ufuatao ni ushahidi wa kibiblia kwamba YESU KRISTO ni Mungu.
Yohana 8:58
Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye IBRAHIMU ASIJAKUWAKO, MIMI NIKO.
NIKO ni jina la Mungu peke yake. Tunakutana na jina hilo pale Musa alipoongea na Mungu na kutumwa kuwakomboa wana wa Israeli kutoka Misri. Imeandikwa:
Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini? Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-14).
Mwanadamu yuko kwa sababu Mungu alisababisha awepo. Gari liko kwa sababu injinia au mbunifu alisababisha liwepo. Nyumba ipo kwa sababu fundi alisababisha iwepo. Lakini Mungu YEYE YUKO TU!! Hayupo kwa kusababishwa na yeyote! Ndiyo maana akasema MIMI NIKO AMBAYE NIKO! Yesu ni NIKO. Kwa hiyo, Yeye ni Mungu.


Mstari mwingine unaotumiwa sana na wakristo ili kuunga mkono uungu wa Yesu ni Yohana 8:58:

“Yesu akawaambia, amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.”

Mstari huu umechukuliwa na kuashiria kuwa Yesu alikuwepo kabla ya kudhihiri kwake duniani.

Uamuzi uliofikiwa kutokana na mstari huo ni kuwa Yesu lazima awe Mungu, kwa kuwa kuwepo kwake kumetangulia tarehe ya kuzaliwa kwake duniani.

Hata hivyo, dhana ya kuwepo kabla ya kudhihiri kwa mitume, na kwa watu wengine, ipo katila vitabu vyote viwili, Agano la Kale, vilevile katika Quran.

Yeremia anajielezea mwenyewe katika Kitabu Cha Yeremia 1:4-5 kama ifuatavyo:

“Neno la BWANA lilinijia, kusema, Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.”

Nabii Suleimani anaripotiwa katika Mithali 8:23-27, ya kuwa amesema,

“Nalitukuka tokea milele, tangu awali, kabla haijawako dunia. Wakati visipokuwako vilindi nalizaliwa, Wakati zisipokuwako chemchemi zilizojaa maji. Kabla milima haijawekwa imara, Kabla ya vilima nalizaliwa. Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde, Wala chanzo cha mavumbi ya dunia; Alipozithibitisha mbingu nalikuwako…"

Kwa mujibu wa Ayubu 38:4 na 21, Mungu amemtambulisha Nabii Ayubu kama ifuatavyo:

“Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? Haya! Sema, kama ukiwa unafahamu.”

Katika Quran, Sura ya Al-A’aaraf, 7:172, Mungu anaeleza kuwa mwanadamu alikuwepo kiroho kabla ya kuumbwa ulimwengu wa kimwili.

"Na pale Mola wako Mlezi alipowaleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwa kizazi chao, na akawashuhudisha juu ya nafsi zao, akawaambia: Je, Mimi si Mola Mlezi wenu? Wakasema: Kwani! Tumeshuhudia. Msije mkasema Siku ya Kiyama sisi tulikuwa tumeghafilika na hayo." Al-A’aaraf, 7:172


Kwa hiyo, maelezo ya Mtume Yesu, “Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko”.

Hayawezi kutumiwa kuwa ni ushahidi wa uungu wake.

Katika muktadha wa Yohana 8:54, Yesu amedaiwa kuwa ametamka kuhusu ujuzi wa Mungu kwa Mitume yake, ambayo inatangulia tarehe ya kuumbwa kwao katika ulimwengu huu.
 
Huna Sifa wla MAMLAKA ya Kufundisha BIBLIA TAKATIFU!
Hayo Mandiko yamekuua ni Arhumu!
👇👇
2 Corinthians 3:6
[6]Naye ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya; si wa andiko, bali wa roho; kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha.

لا ينبغي أن يوعد الله بحق سوى يسوع! وبولس رسوله

la yanbaghi 'an yueid allah bihaqi siwaa yasuea! wabulus rasulah

Hakuna Mungu Apaswaye Kuabudiwa kwa Haqi ila Yesu! na Paulo Mtume wake
Takbir✊🏼Yasue Akbar👊🏼

Vitabu vya 1 na 2 Wakorintho:

"Wasomi wameona kukosekana kwa mwendelezo katika waraka huu. Kwa mfano kifungu kirefu cha 2, 14-7, 4 kinaonekana kugawanywa kwa ghafla katika masimulizi ya mgogoro na utatuzi wake.

Mada zinazofanana au zinazofanana, zaidi ya hayo, zinaonekana kushughulikiwa kadhaa. Kwa hiyo, wengi wanahukumu kwamba barua hii jinsi ilivyo inahusisha barua fupi nyingi zilizotumwa Korintho kwa muda fulani (ona pia Luka 2:52: Ikiwa ni hivyo, basi Paulo mwenyewe). au, kuna uwezekano mkubwa zaidi, mhariri mwingine kwa uwazi alitunza kukusanya barua hizo pamoja na kuweka umoja wa kifasihi juu ya mkusanyo huo, na hivyo kutoa waraka ambao umekuja kwetu kama Waraka wa Pili kwa Wakorintho

(The New American Bible, ISBN : 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1252)"

Tena, hatujui ni watu wangapi waliandika na kuhariri barua, na hatujui ni wapi na lini hii ilifanyika.

Na tena, Paulo alikiri kwamba hata hakuwa na uhakika kama Roho Mtakatifu alikuwa akimvuvia au la: Udanganyifu wa Paulo: Katika 1 Wakorintho 7:40, alidai kwamba "anafikiri" kwamba ana Roho Mtakatifu ndani yake!
 
Mstari mwingine unaotumiwa sana na wakristo ili kuunga mkono uungu wa Yesu ni Yohana 8:58:

“Yesu akawaambia, amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.”

Mstari huu umechukuliwa na kuashiria kuwa Yesu alikuwepo kabla ya kudhihiri kwake duniani.

Uamuzi uliofikiwa kutokana na mstari huo ni kuwa Yesu lazima awe Mungu, kwa kuwa kuwepo kwake kumetangulia tarehe ya kuzaliwa kwake duniani.

Hata hivyo, dhana ya kuwepo kabla ya kudhihiri kwa mitume, na kwa watu wengine, ipo katila vitabu vyote viwili, Agano la Kale, vilevile katika Quran.

Yeremia anajielezea mwenyewe katika Kitabu Cha Yeremia 1:4-5 kama ifuatavyo:

“Neno la BWANA lilinijia, kusema, Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.”

Nabii Suleimani anaripotiwa katika Mithali 8:23-27, ya kuwa amesema,

“Nalitukuka tokea milele, tangu awali, kabla haijawako dunia. Wakati visipokuwako vilindi nalizaliwa, Wakati zisipokuwako chemchemi zilizojaa maji. Kabla milima haijawekwa imara, Kabla ya vilima nalizaliwa. Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde, Wala chanzo cha mavumbi ya dunia; Alipozithibitisha mbingu nalikuwako…"

Kwa mujibu wa Ayubu 38:4 na 21, Mungu amemtambulisha Nabii Ayubu kama ifuatavyo:

“Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? Haya! Sema, kama ukiwa unafahamu.”

Katika Quran, Sura ya Al-A’aaraf, 7:172, Mungu anaeleza kuwa mwanadamu alikuwepo kiroho kabla ya kuumbwa ulimwengu wa kimwili.

"Na pale Mola wako Mlezi alipowaleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwa kizazi chao, na akawashuhudisha juu ya nafsi zao, akawaambia: Je, Mimi si Mola Mlezi wenu? Wakasema: Kwani! Tumeshuhudia. Msije mkasema Siku ya Kiyama sisi tulikuwa tumeghafilika na hayo." Al-A’aaraf, 7:172


Kwa hiyo, maelezo ya Mtume Yesu, “Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko”.

Hayawezi kutumiwa kuwa ni ushahidi wa uungu wake.

Katika muktadha wa Yohana 8:54, Yesu amedaiwa kuwa ametamka kuhusu ujuzi wa Mungu kwa Mitume yake, ambayo inatangulia tarehe ya kuumbwa kwao katika ulimwengu huu.
muham mad aka allah anakuhakikishia kwamba Elimu ya ROHO hamkupewa!
👇👇
وَيَسْأَلُونَكَ عَنِ الرُّوحِ ۖ قُلِ الرُّوحُ مِنْ أَمْرِ رَبِّي وَمَا أُوتِيتُم مِّنَ الْعِلْمِ إِلَّا قَلِيلًا

[ AN NAH'L - 85 ]
Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.

Mmepewa Elimu ya KIMWILI mwili!;
Kama kukamua maiti NGAMA, kumpopoa shetani Kwa MAWE mkiwa nusu uchi, kumflash shetani PUANI, Ukimuingilis/ukiingiliwa na maiti, mnyama kama punda, kuntha, mtoto,.... Ni kuoga KATA.3 na mambo kama hayo UMEFUZU DOGO 👍👍
 
muham mad aka allah anakuhakikishia kwamba Elimu ya ROHO hamkupewa!
👇👇
وَيَسْأَلُونَكَ عَنِ الرُّوحِ ۖ قُلِ الرُّوحُ مِنْ أَمْرِ رَبِّي وَمَا أُوتِيتُم مِّنَ الْعِلْمِ إِلَّا قَلِيلًا

[ AN NAH'L - 85 ]
Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.

Mmepewa Elimu ya KIMWILI mwili!;
Kama kukamua maiti NGAMA, kumpopoa shetani Kwa MAWE mkiwa nusu uchi, kumflash shetani PUANI, Ukimuingilis/ukiingiliwa na maiti, mnyama kama punda, kuntha, mtoto,.... Ni kuoga KATA.3 na mambo kama hayo UMEFUZU DOGO 👍👍


Baada ya kushindwa kutetea uungu wa yesu umekuja na mambo ya kiroho

Elimu ya Roho wanayo hawa

1723052857224.jpeg
 
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. (NIV)



Huenda ‘ushahidi’ wa uungu wa Yesu ulionukuliwa sana ni Yohana 1:1 na 14, “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu… Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.”

Hata hivyo, maelezo haya hayakutolewa na Yesu Kristo, wala hayakuhusishwa naye na mtunzi wa Injili kwa mujibu wa Yohana.

Hivyo, mistari hii haiundi ushahidi wa uungu wa Yesu, hasa hasa kuzingatia shaka inayoshikiliwa na wasomi wa Kikristo juu ya Injili ya Nne.

Wasomi wa Biblia waliotunga Injili tano: “Picha mbili zilizochorwa na Yohana na muhtasari wa injili (yaani Injili ya Mathayo, Marko na Luka) zote mbili haziwezi kuwa ubainifu wa kihistoria.

Neno lilohusishwa na Yesu katika Injili ya Nne limeundwa na wainjilisti kwa sehemu kubwa, na linaakisi mwendelezo wa lugha ya jamii ya Wakristo wa Kiyohana.

Neno la Kigiriki lilotumiwa na mtunzi wa Injili ya Nne asiyejulikana kwa “neno” ni logos.

Kwa kufanya hivyo, huyo mtunzi anamtambulisha Yesu kwa logos la wanafalsa wapagani wa Kigiriki, neno ambalo lilikuwa na lengo takatifu na thabiti lililojitokeza ulimwenguni, huyo mtunzi akalipangilia neno hilo na kulipa mfumo na maana.


Wazo la logos katika fikra za Kigiriki huenda linarejea nyuma, kwa uchache hadi kwa mwanafalsafa wa karne ya sita BC, Heracleitus, aliyependekeza kuwa, kulikuwa na logos ulimwenguni anayetenda kwa mwanadamu kulingana na nguvu ya hoja.

Baadaye, Stoics analitambulisha logos kuwa ni tendo, mantiki, na kanuni ya kiroho inayosambaa katika ukweli wote.

Mwanafalsafa wa Kiyahudi anayeongea Kigiriki, Judaeus Philo wa Alexandria (15 BC -45 CE), amefundisha kuwa logos alikuwa ni mpatanishi baina ya Mungu na ulimwengu, kwa kuwa na sifa mbili za uwakala wa Mungu na ulimwengu, na kuwa na sifa mbili za uwakala wa viumbe na wakala wa ambaye kupitia kwake akili ya mwanadamu inaweza kumfahamu Mungu.

Maandiko ya Philo yalihifadhiwa na kutunzwa na kanisa, na kueneza ufunuo kwa mafundisho ya kistaarabu ya tiolojia ya kifalsafa ya Kikristo. Aliacha mafundisho ya fikra za Kipilato wakichukulia logos (Neno) na kuliita “mtoto wa kwanza wa kuzaliwa na Mungu.”

Utambulisho wa Yesu kwa logos, uliendelezwa katika kanisa la kwanza ikiwa ni tokeo la majaribio yaliyofanywa na wanatiolojia wa kwanza wa Kikristo pamoja na watetezi kuielezea imani ya Kikristo kwa istilahi ambayo ingekuwa wazi kwa ulimwengu wa Wayunani.

Zaidi ya hayo, ilikuwa ni kuwavutia wasikilizaji wao na mtazamo wao kuwa Ukristo ulikuwa unashinda, au mrithi wa wale wote waliokuwa wanafalsafa bora wa kipagani.

Kwa hiyo, katika kazi zao za utetezi na ubishani, Mapadri wa Kikristo wa kwanza wameeleza kuwa Yesu alikuwa ni logos aliyekuwepo hapo kabla.

Neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika hiyo ibara ni “na Neno lilikuwa kwa Mungu,” lipo katika mtindo wa “definite form- yaani mtindo uliowazi, au unaofahamika” batheos, Linalomaanisha “Huyo Mungu, au Mungu maalum”.

Hata hivyo, katika ibara ya pili “na Neno alikuwa Mungu”, neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika ibara lipo katika mtindo wa “indefinite form- yaani mtindo usiowazi, au usiofahamika” tontheos, Linalomaanisha ‘mungu yoyote, yaani mungu asiyejulikana, au mungu yoyote asiye maalumu’.

Kwa hiyo, Yohana 1:1, kwa uwazi zaidi ilipaswa itafsiriwe, “Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, na hilo Neno lilikuwa kwa Mungu, na hilo Neno lilikuwa mungu mwingine.”

Kwa hiyo, kama hilo neno lilikuwa mungu mwingine kwa ufahamu wa kifasihi, itamaanisha kuwa kulikuwa na miungu miwili na sio mmoja. Hata hivyo, katika lugha ya Kibiblia, neno ‘mungu – asiyefahamika’ linatumika kwa maana ya istiari ili kuashiria nguvu.

Kwa mfano, Paulo alimtaja shetani kuwa ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika 2 Wakorintho 4:4, "ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu."

Pia, Musa alitajwa kama ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika Kutoka 7:1, "BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruna atakuwa nabii wako.
Hizi card za clinic unazo okota sizisomi!
Kama hujui Biblia Takatifu Toka kitabu Cha Mwanzo Hadi Ufunuo vinadhihirisha UJIO wa Mwenyezi Mungu ktk UMBILE BORA LA Kibinamu

muham mad aka allah anakiri kwamba Yesu ni “neno la Mwenyezi Mungu alilolitupa kwa Mariamu, na ni ‘roho’ kutoka kwake” (Sura 4:171). Yesu pia anaitwa neno kutoka kwa Mwenyezi Mungu katika Sura 3:39, 45.
 
Baada ya kushindwa kutetea uungu wa yesu umekuja na mambo ya kiroho

Elimu ya Roho wanayo hawa

View attachment 3064076
Unashangaa Nini hata we ukiomba ubarikiwe unabarikiwa!
Huna Tofauti na mafarisayo walio mlaumu Yesu!
👇👇
Mark 2:16-17
[16]Na waandishi na Mafarisayo walipomwona anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi, waliwaambia wanafunzi wake, Mbona anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?

[17]Yesu aliposikia aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi; sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.

Uwe Unafichaga Ujinga wako dogo!
 
Unashangaa Nini hata we ukiomba ubarikiwe unabarikiwa!
Huna Tofauti na mafarisayo walio mlaumu Yesu!
👇👇
Mark 2:16-17
[16]Na waandishi na Mafarisayo walipomwona anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi, waliwaambia wanafunzi wake, Mbona anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?

[17]Yesu aliposikia aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi; sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.

Uwe Unafichaga Ujinga wako dogo!


Kumbe ndio makardinali wakawa wanatibiana kwa kupigana mipingo ya makalio huko Vatican ??

Four in five Vatican priests are gay, book claims
 
Hizi card za clinic unazo okota sizisomi!
Kama hujui Biblia Takatifu Toka kitabu Cha Mwanzo Hadi Ufunuo vinadhihirisha UJIO wa Mwenyezi Mungu ktk UMBILE BORA LA Kibinamu

muham mad aka allah anakiri kwamba Yesu ni “neno la Mwenyezi Mungu alilolitupa kwa Mariamu, na ni ‘roho’ kutoka kwake” (Sura 4:171). Yesu pia anaitwa neno kutoka kwa Mwenyezi Mungu katika Sura 3:39, 45.

Endelea kupata elimu. Kila kitu ni neno la mungu hata wewe ni neno la mungu

Biblia inasema kwamba Mungu sio mwana wa binadamu​


‘Mungu sio mwanadamu wala si mwana wa binadamu’ (Hesabu 23:19)


Mara nyingi Biblia humwita Yesu ‘mwana wa adamu’ au ‘mwana wa binadamu.’


‘ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu’ (Mathayo 12:40)


‘Kwa maana Mwana wa Adamu atakuja’ (Mathayo 16:27)


‘mpaka watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.’ (Mathayo 28)


"Lakini mpate kujua ya kuwa Mwana wa Adamu anayo mamlaka" (Marko 2:10)


‘kwa sababu yeye ni mwana wa Adamu’ (Yohana 5:27)


Katika maandiko ya Kiebrania, ‘mwana wa binadamu’ pia hutumiwa mara nyingi kuzungumza juu ya watu (Ayubu 25:6; Zaburi 80:17; 144:3; Ezekieli 2:1; 2:3; 2:6-8; 3:1-3).


Kwa kuwa Mungu asingejipinga kwa kusema kwanza Yeye si mwana wa Adamu, kisha akawa mwanadamu ambaye aliitwa ‘mwana wa Adamu’, asingefanya hivyo. Kumbuka Mungu sio mwandishi wa kuchanganya. Pia, wanadamu, akiwemo Yesu, wanaitwa ‘mwana wa Adamu’ hasa ili kuwatofautisha na Mungu, ambaye si ‘mwana wa binadamu’ kulingana na Biblia.


Biblia inasema kwamba Yesu alikana yeye ni Mungu​


Yesu alizungumza na mtu aliyemuita ‘mwema,’ na kumuuliza, ‘Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu pekee yake.’ (Luka 18:19)


Naye akamwambia, ‘Kwa nini unaniuliza kuhusu lililo jema? Kuna Mmoja tu aliye mwema; bali kama ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.’ (Mathayo 19:17)


Yesu hakuwafundisha watu kwamba yeye ni Mungu​


Ikiwa Yesu alikuwa akiwaambia watu kwamba yeye ni Mungu, angali mpongeza mtu huyo. Badala yake, Yesu alimkemea, akakana kuwa yeye ni mwema, yaani, Yesu alikana kuwa yeye ni Mungu.


Biblia inasema kwamba Mungu ni mkuu kuliko Yesu​


‘Baba yangu ni mkuu kuliko mimi’ (Yohana 14:28)


‘Baba yangu ni mkuu kuliko wote.’ (Yohana 10:29)


Yesu hawezi kuwa Mungu ikiwa Mungu ni mkuu kuliko yeye. Imani ya Kikristo kwamba Baba na mwana wako sawa ni kinyume kabisa na maneno yaliyo wazi kutoka kwa Yesu.


Kamwe Yesu hakuwaagiza wanafunzi wake wamuabudu​


‘Mnaposali, semeni Baba Yetu uliye mbinguni.’ (Luka 11:2)


‘Siku hiyo hamtaniomba lolote. Mkiomba lolote kwa jina la Baba.’ (Yohana 16:23)


‘Saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo wanao abudu ukweli watamwabudu Baba katika roho na kweli; kwa maana Baba anawatafuta watu kama hao wamuabudu.’ (Yohana 4:23)


Ikiwa Yesu angekuwa Mungu, angejitafutia ibada​


Kwa kuwa hakufanya hivyo, badala yake alimtafutia Mungu ibada mbinguni, kwa hiyo, hakuwa Mungu.
 
Endelea kupata elimu. Kila kitu ni neno la mungu hata wewe ni neno la mungu

Biblia inasema kwamba Mungu sio mwana wa binadamu​


‘Mungu sio mwanadamu wala si mwana wa binadamu’ (Hesabu 23:19)


Mara nyingi Biblia humwita Yesu ‘mwana wa adamu’ au ‘mwana wa binadamu.’


‘ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu’ (Mathayo 12:40)


‘Kwa maana Mwana wa Adamu atakuja’ (Mathayo 16:27)


‘mpaka watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.’ (Mathayo 28)


"Lakini mpate kujua ya kuwa Mwana wa Adamu anayo mamlaka" (Marko 2:10)


‘kwa sababu yeye ni mwana wa Adamu’ (Yohana 5:27)


Katika maandiko ya Kiebrania, ‘mwana wa binadamu’ pia hutumiwa mara nyingi kuzungumza juu ya watu (Ayubu 25:6; Zaburi 80:17; 144:3; Ezekieli 2:1; 2:3; 2:6-8; 3:1-3).


Kwa kuwa Mungu asingejipinga kwa kusema kwanza Yeye si mwana wa Adamu, kisha akawa mwanadamu ambaye aliitwa ‘mwana wa Adamu’, asingefanya hivyo. Kumbuka Mungu sio mwandishi wa kuchanganya. Pia, wanadamu, akiwemo Yesu, wanaitwa ‘mwana wa Adamu’ hasa ili kuwatofautisha na Mungu, ambaye si ‘mwana wa binadamu’ kulingana na Biblia.


Biblia inasema kwamba Yesu alikana yeye ni Mungu​


Yesu alizungumza na mtu aliyemuita ‘mwema,’ na kumuuliza, ‘Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu pekee yake.’ (Luka 18:19)


Naye akamwambia, ‘Kwa nini unaniuliza kuhusu lililo jema? Kuna Mmoja tu aliye mwema; bali kama ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.’ (Mathayo 19:17)


Yesu hakuwafundisha watu kwamba yeye ni Mungu​


Ikiwa Yesu alikuwa akiwaambia watu kwamba yeye ni Mungu, angali mpongeza mtu huyo. Badala yake, Yesu alimkemea, akakana kuwa yeye ni mwema, yaani, Yesu alikana kuwa yeye ni Mungu.


Biblia inasema kwamba Mungu ni mkuu kuliko Yesu​


‘Baba yangu ni mkuu kuliko mimi’ (Yohana 14:28)


‘Baba yangu ni mkuu kuliko wote.’ (Yohana 10:29)


Yesu hawezi kuwa Mungu ikiwa Mungu ni mkuu kuliko yeye. Imani ya Kikristo kwamba Baba na mwana wako sawa ni kinyume kabisa na maneno yaliyo wazi kutoka kwa Yesu.


Kamwe Yesu hakuwaagiza wanafunzi wake wamuabudu​


‘Mnaposali, semeni Baba Yetu uliye mbinguni.’ (Luka 11:2)


‘Siku hiyo hamtaniomba lolote. Mkiomba lolote kwa jina la Baba.’ (Yohana 16:23)


‘Saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo wanao abudu ukweli watamwabudu Baba katika roho na kweli; kwa maana Baba anawatafuta watu kama hao wamuabudu.’ (Yohana 4:23)


Ikiwa Yesu angekuwa Mungu, angejitafutia ibada​


Kwa kuwa hakufanya hivyo, badala yake alimtafutia Mungu ibada mbinguni, kwa hiyo, hakuwa Mungu.
Jagina unadhani ni kwa nini Imani ya Kiislamu hutaka aidha kuwaona wanawake ni kama chombo kisicho cha thamani Duniani?

Iraq kumepitishwa mswaada wa mtoto wa kike mwenye umri miaka 9 aolewe! Huoni kwamba huu ni unyanyasaji

Chukulia kwamba, huyo ndo anakuwa mtoto wako anaolewa
 
Jagina unadhani ni kwa nini Imani ya Kiislamu hutaka aidha kuwaona wanawake ni kama chombo kisicho cha thamani Duniani?

Iraq kumepitishwa mswaada wa mtoto wa kike mwenye umri miaka 9 aolewe! Huoni kwamba huu ni unyanyasaji

Chukulia kwamba, huyo ndo anakuwa mtoto wako anaolewa

kwanza umekubali Yesu si Mungu kwa maelezo niliyoyatoa ??
 
Unaelewa ninapo kwamba YESU NI MUNGU KAMILI NA NI MWANADAMU KAMILI??
👇👇
John 1:1,3,14
[1]In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

[3]All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.
Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

[14]And the Word was made flesh, and dwelt among us, (and we beheld his glory, the glory as of the only begotten of the Father,) full of grace and truth.
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
Kwani haya maneno uliyo nukuu hapa ni maneno ya nani? MUNGU au John?
Huyo John alikuwepo hapo mwanzo?

BTW hivi kweli Mungu ili kujielezea anahitaji maneno ya kujiuma uma namna hii kama teenager anajifunza kutongoza?
 
Kwani haya maneno uliyo nukuu hapa ni maneno ya nani? MUNGU au John?
Huyo John alikuwepo hapo mwanzo?

BTW hivi kweli Mungu ili kujielezea anahitaji maneno ya kujiuma uma namna hii kama teenager anajifunza kutongoza?
Tuliza kwanza bongo, papara weka pembeni, tunajadiri hoja ambayo, kwa makosa kidogo tu ambayo unadhani unashindana na mtu, kumbe hoja yako ikalenga kumkufuru Mungu

Ukimfuatilia Jagina ambaye ni mwislamu, hajahoji kitu kwa jaziba zaidi ya yeye kutoa elimu anayodhani ni sahihi na kuuliza maswali anayodhani yanashida

Embu tujifunze zaidi huku tukimuogopa huyo Mungu ambaye hata wewe kwa elimu yako yote, bado haujafikia kiwango cha kumfahamu sawasawa, basi tuwe na akiba ya maneno
 
kwanza umekubali Yesu si Mungu kwa maelezo niliyoyatoa ??
Hapana mkuu, ila wewe ndio hautaki tu, licha ya kutoa maandiko lukuki ya yeye kujitanabaisha kwamba, yeye ndiye
 
kwanza umekubali Yesu si Mungu kwa maelezo niliyoyatoa ??
Muhammad ni mtume wa mwenyezi Mungu??

Kabla tujajibu swali hili ni vinzuri kujifunza historia ya mtume Muhammad,jina kamili la muhammad kwa kirefu ni ﻣﺤﻤﺪ ﺑﻦ ﻋﺒﺪ ﺍﻟﻠﻪ ﺑﻦ ﻋﺒﺪ ﺍﻟﻤﻄﻠﺐ ﺍﻟﻬﺎﺷﻤﻲ Muhammad bin 'Abd Allāh bin 'Abd al-Muţţalib al-Hāshimī )anaaminika katika dini ya Uislamu kuwa ni mtume wa mwisho wa Mungu ( Allah ) kwa binadamu.

Utoto wake
Muhammad alizaliwa yatima kwani baba yake alifariki kabla yeye hajazaliwa.Hakuishi sana na
mama yake (Amina), kwa kuwa naye alifariki dunia Muhammad akiwa na umri wa miaka sita.Baadaye akachukuliwa na babu yake Abdul Muttalib na kuishi naye kwa muda wa miaka miwili, kisha babu yake naye akafariki.Kazi ya kumlea Muhammad ilimwangukia ami yake Abu Talib ambaye ndiye aliyeishi naye mpaka ukubwa na kumuoza na kumpa himaya!!!

Baada ya kuangalia historia fupi ya Muhammad tuangalie Hoja yetu kuu yenye utata!!

Muhammda alipataje utume;

Muhammad s.a.w alipotimiza umri wa miaka 38kutokana na maisha magumu ,alihama toka nyumbani kwake, akahamia katika mapango(JABAL HIRA) yaliyokuwa hapo karibu na mji wa
Makka. Alipofikisha umri wa miaka 40 siku moja alitokewa na kiumbe ambacho Waislamu leo wanakiita Malaika Jibril.

Wahyi (ufunuo) uliokuja kwa Muhammad alisikia makengele,uso kuwa mwekundu,jasho kumtoka. Katika Bukhar, Hadithi na 2, Juzuu na 1,Al-Lu’lu Kitabu cha 3.Uk. Na.874 Hadithi na1505 “Hadithi ya Aisha r.a mama wa waumini amesema, kuwa Al Harith ibn Hisham r.a alimuuliza mtume wa Allah s.a.w ‘ Ewe mtume wa Allah hivi wahyi (ufunuo) hukujia vipi?’
mtume wa Allah s.a.w akajibu, “ Wakati mwingine hunijia kama mlio wa kengele, na aina hiyo ndiyo ngumu zaidi kwangu, inaondolewa hali hiyo kwangu wakati tayari
nimeshapata wahyi.

Na nyakati nyengine malaika anakuja kwangu akiwa katika mfano wa mtu, kwa hiyo ananieleza na ninayazingatia aliyoyasema.” Aisha r.a alisema , Na hakika nilimwona unamshukia wahyi siku ya baridi kali na ilipomuondoka halihiyo, paji lake la uso lilichuruzika jasho.”

Qurani 53:2 – 6 Suratul Najm (Nyota) “Kwamba
mtu wenu huyu Nabii Muhamad (hakupotea kwa ujinga) na wala hakukosa (Na hali ya kuwa anajua). Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake). Hayakuwa haya (anayosema) ila ni wahyi (ufunuo) uliofunuliwa (kwake).Amemfundisha
(malaika) mwenye nguvu sana. Mwenye uweza na yeye (huyu Jibril) akalingana sawa sawa.

Ngoja tuendelee na mawaidha!!
Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani:Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya “Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo.Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili
yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia; “ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu
wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona
umekwishakuwa mtume”.

Katika tukio hili lililompata Muhammad akiwa pangoni , ndipo Waislamu wote ulimwenguni wanapolieleza kuwa hapo ndipo Muhammad s.a.w alipoletewa wahyi (ufunuo) na kupewa
unabii na utume. Lakini unapotafakari juu ya ujumbe huo utaona kuwa hata yeye mwenyewe hajui nini kilichokuwa kimemtokea kule pangoni. Ndiyo maana tunasoma kuwa alipofika nyumbani kwake mkewe Bi. dija ma. Kha Khadija dija Khadija Muhammad Khadija Khadija alimweleza mke Khadija we kilichomtokea kuwa ni “Shetani” hakumsema malaika yeyote kama Waislamu wanavyotaka kutuaminisha leo. Kwa sababu kama angekuwa kamatuma kama tunavyosoma ndani ya Biblia ,asingesita kujitambulisha kwa Muhammad kuwa yeye ni nani. Hii ni hoja ya kwanza.

Hoja ya pili tunaona kuna mtu anaitwa Waraqah ibn Naufal, binamu yake na mke wa Muhammad s.a.w Bi Khadija. Yeye Waraqah anamwambia Muhammad huyo aliyekutokea ni malaika Jibril.Basi jibashirie kuwa wewe ni mtume umma huu huu !!!!! Je alikuweko pangoni wakati Muhammad s.a.w akitokewa na kiumbe asichokijua?.

Hoja ya tatu tunaona hata huyo mkewe Muhammad anamwambia mumewe utume huo !!!!!!! Je na yeye alikuweko pangoni?Kama hakuweko ni nani aliyemwambia kuwa yule ni
malaika Jibril ikiwa Muhammad mwenyewe aliyetokewa alisema nimetokewa na Shetani?Tafakari

Katika kitabu kiitwacho Tafsir Al-Kashif, cha Muhammad Jawad Mughniyyah, uk74 paragrafu ya 7 inasomeka“ Hakuna njia ya kumjua Iblis,Shetani na Jini, isipokuwa kwa njia ya wahyi(ufunuo) tu” Qurani Suratul Sad 38:69 Muhammad amenukuliwa akisema “Sikuwa na ilimu ya viumbe watukufu(Malaika)…

Kwa sababu ya Muhammad s.a.w kutowajua malaika kwake yeye anasema unapomwona
punda akilia basi kamwona Shetani.
Katika Kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu, Juzuu 3-4
Hadith 789 uk 38 “ Punda akilia kamwona Shatani”
Jambo hilo ni tofauti na jinsi Biblia Takatifu inavyoeleza kuhusu punda. Mungu anaweza kumtumia hata punda kuongea na wanadamu ili kuwajulisha ujumbe wake.

Katika kitabu cha Hesabu 22:22-31 tunasoma habari ya Balaamu jinsi Mungu alivyomtumia punda kumwambia
Balaamu asiendelee na safari yake , baada ya punda huyo kumwona malaika wa Bwana akiwa ameshika upanga na amesimama mbele yao akiwa amezuia njia aliyotakiwa kupita. Punda alimwambia Balaamu ule msitari wa 30-31 “
Yule punda akamwambia Balaamu, Je mimi si
punda wako, nawe umenipanda maisha yako
yote hata leo?Nimezoea kukutenda hayo?
Akasema La!. Ndipo Bwana akafunua macho ya
Balaamu, akamwona malaika wa BWANA
amesimama njiani, ana upanga mkononi
mwake, umekwisha kufutwa; naye akainama
kichwa, akaanguka kifudufudi”
Inaonekana kwa tukio hili lililomtokea Balaamu,Mungu alimfunua macho yake akamwona malaika.

Lakini kwa Muhammad yeye anachokiona ni Shetani tu. Na ndiyo maana anasema punda akilia amemwona Shetani Kwa hiyo kama ufunuo wa Muhammad unaanza na Shetani kama vitabu sahihi vya dini ya Kiislamu vinavyoeleza, kwa mujibu wa ufafanuzi wa kitabu hicho cha Tafsir Al Kashif, inaonesha kwamba ufunuo, unabii na hata utume wa Muhammad una walakini mkubwa ukilinganisha na ujumbe wa manabii na mitume waliotajwa ndani ya Biblia Takatifu. Katika Biblia shetani ametajwa kuwa anaweza kujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.

2 Wakorintho 11:13-15 “Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. Wala si ajabu, maana shetani mwenyewe
hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakajigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao”.

Muhammad akiwa Medina aliulizwa na Wayahudi ikiwa ufunuo wake umetoka kwa Mungu wa Kweli kwa kumtaka atoe sifa za manabii. Akijibu swali hilo alisema:
Mkweli Mwaminifu Juzuu 3-4 Uk.63.Hadithi Na. 880. “Kasema Mtume (s.a.w):- (Mambo) manne ya sheria za mitume (Kuwa na) na haya,na kujipaka mafuta mazuri,na kuowa (wake),na
kupiga mswaki.
Hizi si sifa za Ki-Mungu kwa nabii na mtume bali ni za kibinadamu tu.
Manabii na watu mbalimbali katika Biblia hawakuona haya. Soma Isaya 50:7 “ Maana Bwana MUNGU atanisaidia; kwa sababu hiyo
sikutahayari, kwa sababu hiyo nimeukaza uso
wangu kama gumegume, nami najua ya kuwa
sitaona haya”. Zaburi 34:5 “ Wakamwelekea
macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao
hazitaona haya” Zab 119:46 “

Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu” Warumi 1:16 “ Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye kwa Myahudi kwanza , na kwa Myunani pia” 1Petro 4:16 “
Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali
amtukuze Mungu katika jina hilo.

Zaidi ya hayo tunaona Muhammad alirogwa. Kurogwa ni hali ya mtu kuathirika na nguvu za
giza yaani uchawi.. Je nabii au mtume wa Mwenyezi Mungu wa Kweli anaweza kurogwa?

Katika Qur’an Suratul Ban-Israel, 17:47 “Tunajua sana, sababu wanayosikiliza, nawanaponong’ona, wanaposema hao madhalimu.Nyinyi hamfuati isipokuwa mtu aliyerogwa”
Pia katika Suratul Falaq, 113:1-5 “ Ninajikinga kwa mola wa ulimwengu wote na shari ya Alivyoviumba, na shari ya giza la usiku liingiapo, na shari ya wale wanaopulizia (vivia)
mafundoni (wakavunja) mashikamano yaliyo baina ya watu yaani shari ya mafatani, Na shari ya hasidi anapohusudu” Tunasoma tukio hilo katika ufafanuzi wake
uliyomo ndani ya Qur’an chapa ya nane uk.977unaofafanua Sura ya 113-114 “Athari ya uchawi juu ya mtume (s.a.w).

Swali la pili lijitokezalo
kuhusu sura mbili hizi ni kwamba kwa mujibu wa hadithi uchawi ulifanywa dhidi ya mtume(s.a.w) naye akawa mgonjwa, na ili kuiondoa athari hiyo ya uchawi Jibril (a.s) alikuja na
kumpa maelekezo Mtume (s.a.w) ya kusoma sura mbili hizi.

Watafiti wengi zamani na wa sasa wamelifanyia upinzani jambo hilo, kwamba ikiwa hadithi zitakubaliwa, basi mfumo wote wa sharia utakuwa ni wa kutiliwa shaka, kwa sababu kama mtume (s.a.w) aliweza kuathirika kwa uchawi, na kwa mujibu wa hadithi hizi kweli uchawi huo ulionesha athari yake, basi hatuwezi kukaidi au kukana hadi kiwango gani maadui waliweza kumfanya Mtume (s.a.w)aseme na atende mambo kwa nguvu ya uchawi,na katika mafundisho yake mambo mangapi
yatoka kwa Allah na mangapi yatokana na athari ya uchawi juu yake. Si hiyo tu, bali pia wasema kuwa baada ya kuyatambua hayo kuwa ni kweli katu haitawezekana hata kule kukaidi kuwa
(s.a.w) alishawishiwa kudai utume kwa mauzauza ya kinjozi kuwa alimjia malaika.

Pia wanasema hadithi hizi zapingana na Qur’an, na kama ilivyo katika Qur’an kuwa tuhuma hiyo batili kwa makafiri ilivyotajwa kuwa mtume s.a.w amerogwa naye ameathirika na uchawi: wanaposema hao madhalimu, ‘Ninyi hamumfuati isipokuwa mtu aliyerogwa’.” (17:47), lakini hadithi hizi zinathibitisha madai ya makafiri kuwa kwa kweli aliathirika na kuongozwa na uchawi……

Kadri historia inavyohusika,ukweli kuwa kiasi fulani cha athari ya uchawi juu ya Mtume (s.a.w) ni hakika iliyothibiti; na kama kwa ustadi wa ubishi inawezekana kuthibitisha kuwa
kweli.Limesimuliwa jambo hilo na Bukhari,Muslim, Nasai, Ibn Majah, Ahmad, ‘Abdur Razzaq, Humaid, Baihaqi, Tabarani, Ibn Sa’d,Ibn Marduyah, Ibn Abi Shaibah, Hakim, Abd bin Humaid na Muhadithina wengine toka kwa Bi.‘Aisha (r.a), Zaid bin Arqam, Ibn ‘Abbas kupitia silsila nyingi mno kiasi kwamba jambo lenyewe limefikia hali ya ufululizo kamili, isipokuwa kila Hadithi, yenyewe ni ripoti kamili.

Hii ni uthibitisho mwingine mzito unaoonesha kuwa utume wa Muhammad una utata. Ikiwa na wao Waislamu kwa mujibu wa hadithi hizi hawajui ni mambo mangapi Muhammad
aliyoyasema yanatoka kwa Allah na mangapi aliyasema akiwa ameshinikizwa na wachawi ,
Je ufunuo na utume wake utakuwa umetoka kwa Mungu wa Kweli? Tafakari !!Ndani ya Biblia Takatifu hakuna kurogwa kwa mtu wa Mungu.

3Hesabu 23:23 “ Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israel. Sasa habari za Yakobo na Israel zitasemwa , Ni mambo gani aliyoyatenda
Mungu!” Kwa mujibu wa kitabu cha Biblia Takatifu,
manabii na mitume wa kweli wa Bwana Mungu wanatoka katika taifa la Israel.

Kitabu cha Ezekiel 13:9 “ Na mkono wangu utakuwa juu ya manabii wanaoona ubatili, na
kutabiri uongo;hawatakuwa katika mashauri ya watu wangu, wala hawataandikwa katika
maandiko ya nyumba ya Israel, wala hawataingia katika nchi ya Israel; Nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana MUNGU” .Pia kwa mujibu wa kitabu cha Qur’an manabii na mitume ni lazima watoke kwa Yakobo ambaye ni mtoto wa Is-haqa ambaye naye ni mtoto wa Ibrahim.

Qur’an Suratul Al-Ankabuut,(Buibui), 29:27 “ Na tulimpa (kumzaa nabii) Is-haqa na (kumjukuu nabii) Yakubu na tukauweka katika kizazi chake unabii na (kupata) kitabu,na tukampa ujira wake katika dunia; naye katika akhera kwa yakini atakuwa miongoni mwa watu wema”.

Aya hii, inaendelea kusisitiza kuwa ni kupitia kizazi cha Yakobo ndiko uliko unabii na kupata kitabu. Kwa bahati mbaya Muhammad ibn Abdullah, hatoki katika kizazi hicho wala kwa
Ishmael kama wanavyodai Waislamu . Kwa sababu Ishmael ni Mwebrania kama baba yake mzee Ibrahim alivyo Mwebrania (Mwanzo 14:13)na Muhammad ni mwarabu kutoka kabila la Maqureysh.
Kwa kutambua hilo ndipo tunamwona Muhammad akiwaonya watu
wengine wajiepushe na watu wa kabila lake.
Sahih Al-Bukhari Vol.1.Hadithi Na. 801 na Al-Lu’lu Kitabu cha 3. Uk.1089.Hadithi Na.1846inasomeka“Hadithi ya Abu Huraira (r.a)amesema ,“Mtume wa Allah (s.a.w)
amesema,Kabila hili la Makuraish litawateketeza watu.’ Wakauliza, ‘Unatushauri
nini?’ Akasema, Nashauri watu wajitenge nalo.”

Kumzamisha nzi kwenye kinywaji
Bukhar vol. 4 Hadith 537 “ Narrated Abu
Huraira: The Prophet said: If a house fly falls in the drink of any one of you, he should dip it (in the drink) for one of its wings has a disease and the other has the cure for the disease”
Tafsiri: Ilisimuliwa na Abu Huraira: Nabii alisema kama nzi akiangukia ndani ya kinywaji cha mmoja wenu, anapaswa kumzamisha kabisa (ndani ya kinywaji) kwa kuwa bawa lake moja lina ugonjwa na bawa lake jingine lina dawa Mitume wa Yesu ndani ya Biblia Takatifu walikwisha kutuonya kuhusu uchafu huo. Katika 2 Kor 7:1 “Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu”

Miongoni mwa mafundisho ya Muhammad ni kwamba kuna mambo kumi yanayokamilisha Uislamu nayo tunayasoma katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu , Kilichoandikwa
na Sheikh Said Moosa Al-Kindy wa Muscut,Juzuu 3-4 Uk 63.Hadithi Na.880 “ Kasema Mtume (s.a.w) (Mambo) kumi ya Uislamu (yanayokamilisha Uislamu):Kukata
masharubu,na kuziweka ndevu,nakuziweka ndevu (kutozinyoa) ndevu,na kupiga mswaki,kusafisha ndani ya pua kwa maji,na kukata kucha,kuosha mikono baina ya vidole,na kung’oa (au kunyoa) nywele za kwapani,na kunyoa nywele za mbeleni (mavuzi),na upungufu wa maji. La kumi,kasema sahaba aliepokea hadithi hii kuwa nimesahau,lakini
kasema bila shaka la kumi ni “kutahiriwa.”

Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume
wanathibitishwa kwa njia ya miujiza.
Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.

Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea,
pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo13:6-12.

Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na
mitume ni lazima wafanye miujiza.
Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini]
inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia(majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu”
Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.

Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni
na kama hataki basi),nami hakika ni mwonyaji
mbainishaji (dhahiri tu).”

(Taz.Qur,an6:35-3713:7,)Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja.Katika Surat An-Nisaa, (wanawake), 4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume,huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa
tendo lililotendeka.Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani?.

Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia
Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale
“Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!! .

Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa
na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa
Wafalme .KAULI HII INAUPA MOYO WANGU UKAKASI
Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme;na hao walio pamoja naye ndiyo walioitwa na wateule, na waaminifu” Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe,na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa Neno la Mungu. Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.

Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na
paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA
WA MABWANA “Yesu Kristo ndiye Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana.Lakini tunaposoma Hadithi sahihi za Kiislamu zinaeleza kuwa adui mkubwa wa Allah (s.w) Mungu wanayemwabudu Waislamu, ni yule anayeitwa Mfalme wa
Wafalme.

Sahih Al- Bukhari, Vol.8.Hadithi Na.225, Al-Lu’lu Wal-marjan,Juzuu ya 3,Hadithi Na.1385
“Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema,Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,”Majina yaliyo dhalili
mno na mabaya mbele za Allah ni mtu kujiita,Malikil-Amlaak (Mfalme wa Wafalme).”

Hivyo, ufunuo aliopokea Muhammad, ambao anatutaka na sisi Wakristo tuuamini haujatoka kwa Mungu tunayemwamini sisi Wakristo, yaani,Yesu Kristo.Bali kama alivyonukuliwa katika
vitabu vya Kiislamu, unatokana na kuchezewa na Shetani, na kwa sababu hiyo kwetu anakuwa nabii na mtume wa uongo’Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza
mitume na manabii.

Katika kitabu cha Ufunuo2:1-2 “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume,yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu.

Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo. Hatufai.

Moyo wangu unapata ukakasi napoona waislam wanaendelea kumuabudu mtume Huyu!!

Ndugu Zangu waislam bado mnaendelea kumfuataa mtume huyu ambaye Hana sifa za kitume???

Njoo kwa Yesu uokoke!
 
Muhammad ni mtume wa mwenyezi Mungu??

Kabla tujajibu swali hili ni vinzuri kujifunza historia ya mtume Muhammad,jina kamili la muhammad kwa kirefu ni ﻣﺤﻤﺪ ﺑﻦ ﻋﺒﺪ ﺍﻟﻠﻪ ﺑﻦ ﻋﺒﺪ ﺍﻟﻤﻄﻠﺐ ﺍﻟﻬﺎﺷﻤﻲ Muhammad bin 'Abd Allāh bin 'Abd al-Muţţalib al-Hāshimī )anaaminika katika dini ya Uislamu kuwa ni mtume wa mwisho wa Mungu ( Allah ) kwa binadamu.

Utoto wake
Muhammad alizaliwa yatima kwani baba yake alifariki kabla yeye hajazaliwa.Hakuishi sana na
mama yake (Amina), kwa kuwa naye alifariki dunia Muhammad akiwa na umri wa miaka sita.Baadaye akachukuliwa na babu yake Abdul Muttalib na kuishi naye kwa muda wa miaka miwili, kisha babu yake naye akafariki.Kazi ya kumlea Muhammad ilimwangukia ami yake Abu Talib ambaye ndiye aliyeishi naye mpaka ukubwa na kumuoza na kumpa himaya!!!

Baada ya kuangalia historia fupi ya Muhammad tuangalie Hoja yetu kuu yenye utata!!

Muhammda alipataje utume;

Muhammad s.a.w alipotimiza umri wa miaka 38kutokana na maisha magumu ,alihama toka nyumbani kwake, akahamia katika mapango(JABAL HIRA) yaliyokuwa hapo karibu na mji wa
Makka. Alipofikisha umri wa miaka 40 siku moja alitokewa na kiumbe ambacho Waislamu leo wanakiita Malaika Jibril.

Wahyi (ufunuo) uliokuja kwa Muhammad alisikia makengele,uso kuwa mwekundu,jasho kumtoka. Katika Bukhar, Hadithi na 2, Juzuu na 1,Al-Lu’lu Kitabu cha 3.Uk. Na.874 Hadithi na1505 “Hadithi ya Aisha r.a mama wa waumini amesema, kuwa Al Harith ibn Hisham r.a alimuuliza mtume wa Allah s.a.w ‘ Ewe mtume wa Allah hivi wahyi (ufunuo) hukujia vipi?’
mtume wa Allah s.a.w akajibu, “ Wakati mwingine hunijia kama mlio wa kengele, na aina hiyo ndiyo ngumu zaidi kwangu, inaondolewa hali hiyo kwangu wakati tayari
nimeshapata wahyi.

Na nyakati nyengine malaika anakuja kwangu akiwa katika mfano wa mtu, kwa hiyo ananieleza na ninayazingatia aliyoyasema.” Aisha r.a alisema , Na hakika nilimwona unamshukia wahyi siku ya baridi kali na ilipomuondoka halihiyo, paji lake la uso lilichuruzika jasho.”

Qurani 53:2 – 6 Suratul Najm (Nyota) “Kwamba
mtu wenu huyu Nabii Muhamad (hakupotea kwa ujinga) na wala hakukosa (Na hali ya kuwa anajua). Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake). Hayakuwa haya (anayosema) ila ni wahyi (ufunuo) uliofunuliwa (kwake).Amemfundisha
(malaika) mwenye nguvu sana. Mwenye uweza na yeye (huyu Jibril) akalingana sawa sawa.

Ngoja tuendelee na mawaidha!!
Alipokuwa pangoni alichezewa na Shetani:Katika kitabu kiitwacho “ Wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe” kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy uk.12 tunasoma maneno haya “Basi Mtume akafanya hofu akarejea kwa mkewe akamhadithia; na pale pale homa kubwa kabisa ikampanda akataka afunikwe maguo.Mara akawa anatetemeka kwa nderema na anaweweseka na kusema “Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani na kuniharibu akili
yangu na kunizuga”. Bibi Khadija palepale alimdakiza akamwambia; “ Wacha hayo; Siyo yatakayokuwa hayo. Wewe huwezi kuchezewa na mashetani. Shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako. Wewe unatazama vyema jamaa zako, unachukuwa mizigo ya hata watu
wasiokuwa wako, unawadhihirishia watu sifa zako nzuri ambazo hakuna mwenye nazo Unafanya hivi na unafanya hivi. Furahi ndugu yangu. Tua moyo wako, Wallahi! Mimi naona
umekwishakuwa mtume”.

Katika tukio hili lililompata Muhammad akiwa pangoni , ndipo Waislamu wote ulimwenguni wanapolieleza kuwa hapo ndipo Muhammad s.a.w alipoletewa wahyi (ufunuo) na kupewa
unabii na utume. Lakini unapotafakari juu ya ujumbe huo utaona kuwa hata yeye mwenyewe hajui nini kilichokuwa kimemtokea kule pangoni. Ndiyo maana tunasoma kuwa alipofika nyumbani kwake mkewe Bi. dija ma. Kha Khadija dija Khadija Muhammad Khadija Khadija alimweleza mke Khadija we kilichomtokea kuwa ni “Shetani” hakumsema malaika yeyote kama Waislamu wanavyotaka kutuaminisha leo. Kwa sababu kama angekuwa kamatuma kama tunavyosoma ndani ya Biblia ,asingesita kujitambulisha kwa Muhammad kuwa yeye ni nani. Hii ni hoja ya kwanza.

Hoja ya pili tunaona kuna mtu anaitwa Waraqah ibn Naufal, binamu yake na mke wa Muhammad s.a.w Bi Khadija. Yeye Waraqah anamwambia Muhammad huyo aliyekutokea ni malaika Jibril.Basi jibashirie kuwa wewe ni mtume umma huu huu !!!!! Je alikuweko pangoni wakati Muhammad s.a.w akitokewa na kiumbe asichokijua?.

Hoja ya tatu tunaona hata huyo mkewe Muhammad anamwambia mumewe utume huo !!!!!!! Je na yeye alikuweko pangoni?Kama hakuweko ni nani aliyemwambia kuwa yule ni
malaika Jibril ikiwa Muhammad mwenyewe aliyetokewa alisema nimetokewa na Shetani?Tafakari

Katika kitabu kiitwacho Tafsir Al-Kashif, cha Muhammad Jawad Mughniyyah, uk74 paragrafu ya 7 inasomeka“ Hakuna njia ya kumjua Iblis,Shetani na Jini, isipokuwa kwa njia ya wahyi(ufunuo) tu” Qurani Suratul Sad 38:69 Muhammad amenukuliwa akisema “Sikuwa na ilimu ya viumbe watukufu(Malaika)…

Kwa sababu ya Muhammad s.a.w kutowajua malaika kwake yeye anasema unapomwona
punda akilia basi kamwona Shetani.
Katika Kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu, Juzuu 3-4
Hadith 789 uk 38 “ Punda akilia kamwona Shatani”
Jambo hilo ni tofauti na jinsi Biblia Takatifu inavyoeleza kuhusu punda. Mungu anaweza kumtumia hata punda kuongea na wanadamu ili kuwajulisha ujumbe wake.

Katika kitabu cha Hesabu 22:22-31 tunasoma habari ya Balaamu jinsi Mungu alivyomtumia punda kumwambia
Balaamu asiendelee na safari yake , baada ya punda huyo kumwona malaika wa Bwana akiwa ameshika upanga na amesimama mbele yao akiwa amezuia njia aliyotakiwa kupita. Punda alimwambia Balaamu ule msitari wa 30-31 “
Yule punda akamwambia Balaamu, Je mimi si
punda wako, nawe umenipanda maisha yako
yote hata leo?Nimezoea kukutenda hayo?
Akasema La!. Ndipo Bwana akafunua macho ya
Balaamu, akamwona malaika wa BWANA
amesimama njiani, ana upanga mkononi
mwake, umekwisha kufutwa; naye akainama
kichwa, akaanguka kifudufudi”
Inaonekana kwa tukio hili lililomtokea Balaamu,Mungu alimfunua macho yake akamwona malaika.

Lakini kwa Muhammad yeye anachokiona ni Shetani tu. Na ndiyo maana anasema punda akilia amemwona Shetani Kwa hiyo kama ufunuo wa Muhammad unaanza na Shetani kama vitabu sahihi vya dini ya Kiislamu vinavyoeleza, kwa mujibu wa ufafanuzi wa kitabu hicho cha Tafsir Al Kashif, inaonesha kwamba ufunuo, unabii na hata utume wa Muhammad una walakini mkubwa ukilinganisha na ujumbe wa manabii na mitume waliotajwa ndani ya Biblia Takatifu. Katika Biblia shetani ametajwa kuwa anaweza kujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.

2 Wakorintho 11:13-15 “Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. Wala si ajabu, maana shetani mwenyewe
hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakajigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao”.

Muhammad akiwa Medina aliulizwa na Wayahudi ikiwa ufunuo wake umetoka kwa Mungu wa Kweli kwa kumtaka atoe sifa za manabii. Akijibu swali hilo alisema:
Mkweli Mwaminifu Juzuu 3-4 Uk.63.Hadithi Na. 880. “Kasema Mtume (s.a.w):- (Mambo) manne ya sheria za mitume (Kuwa na) na haya,na kujipaka mafuta mazuri,na kuowa (wake),na
kupiga mswaki.
Hizi si sifa za Ki-Mungu kwa nabii na mtume bali ni za kibinadamu tu.
Manabii na watu mbalimbali katika Biblia hawakuona haya. Soma Isaya 50:7 “ Maana Bwana MUNGU atanisaidia; kwa sababu hiyo
sikutahayari, kwa sababu hiyo nimeukaza uso
wangu kama gumegume, nami najua ya kuwa
sitaona haya”. Zaburi 34:5 “ Wakamwelekea
macho wakatiwa nuru, Wala nyuso zao
hazitaona haya” Zab 119:46 “

Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu” Warumi 1:16 “ Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye kwa Myahudi kwanza , na kwa Myunani pia” 1Petro 4:16 “
Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali
amtukuze Mungu katika jina hilo.

Zaidi ya hayo tunaona Muhammad alirogwa. Kurogwa ni hali ya mtu kuathirika na nguvu za
giza yaani uchawi.. Je nabii au mtume wa Mwenyezi Mungu wa Kweli anaweza kurogwa?

Katika Qur’an Suratul Ban-Israel, 17:47 “Tunajua sana, sababu wanayosikiliza, nawanaponong’ona, wanaposema hao madhalimu.Nyinyi hamfuati isipokuwa mtu aliyerogwa”
Pia katika Suratul Falaq, 113:1-5 “ Ninajikinga kwa mola wa ulimwengu wote na shari ya Alivyoviumba, na shari ya giza la usiku liingiapo, na shari ya wale wanaopulizia (vivia)
mafundoni (wakavunja) mashikamano yaliyo baina ya watu yaani shari ya mafatani, Na shari ya hasidi anapohusudu” Tunasoma tukio hilo katika ufafanuzi wake
uliyomo ndani ya Qur’an chapa ya nane uk.977unaofafanua Sura ya 113-114 “Athari ya uchawi juu ya mtume (s.a.w).

Swali la pili lijitokezalo
kuhusu sura mbili hizi ni kwamba kwa mujibu wa hadithi uchawi ulifanywa dhidi ya mtume(s.a.w) naye akawa mgonjwa, na ili kuiondoa athari hiyo ya uchawi Jibril (a.s) alikuja na
kumpa maelekezo Mtume (s.a.w) ya kusoma sura mbili hizi.

Watafiti wengi zamani na wa sasa wamelifanyia upinzani jambo hilo, kwamba ikiwa hadithi zitakubaliwa, basi mfumo wote wa sharia utakuwa ni wa kutiliwa shaka, kwa sababu kama mtume (s.a.w) aliweza kuathirika kwa uchawi, na kwa mujibu wa hadithi hizi kweli uchawi huo ulionesha athari yake, basi hatuwezi kukaidi au kukana hadi kiwango gani maadui waliweza kumfanya Mtume (s.a.w)aseme na atende mambo kwa nguvu ya uchawi,na katika mafundisho yake mambo mangapi
yatoka kwa Allah na mangapi yatokana na athari ya uchawi juu yake. Si hiyo tu, bali pia wasema kuwa baada ya kuyatambua hayo kuwa ni kweli katu haitawezekana hata kule kukaidi kuwa
(s.a.w) alishawishiwa kudai utume kwa mauzauza ya kinjozi kuwa alimjia malaika.

Pia wanasema hadithi hizi zapingana na Qur’an, na kama ilivyo katika Qur’an kuwa tuhuma hiyo batili kwa makafiri ilivyotajwa kuwa mtume s.a.w amerogwa naye ameathirika na uchawi: wanaposema hao madhalimu, ‘Ninyi hamumfuati isipokuwa mtu aliyerogwa’.” (17:47), lakini hadithi hizi zinathibitisha madai ya makafiri kuwa kwa kweli aliathirika na kuongozwa na uchawi……

Kadri historia inavyohusika,ukweli kuwa kiasi fulani cha athari ya uchawi juu ya Mtume (s.a.w) ni hakika iliyothibiti; na kama kwa ustadi wa ubishi inawezekana kuthibitisha kuwa
kweli.Limesimuliwa jambo hilo na Bukhari,Muslim, Nasai, Ibn Majah, Ahmad, ‘Abdur Razzaq, Humaid, Baihaqi, Tabarani, Ibn Sa’d,Ibn Marduyah, Ibn Abi Shaibah, Hakim, Abd bin Humaid na Muhadithina wengine toka kwa Bi.‘Aisha (r.a), Zaid bin Arqam, Ibn ‘Abbas kupitia silsila nyingi mno kiasi kwamba jambo lenyewe limefikia hali ya ufululizo kamili, isipokuwa kila Hadithi, yenyewe ni ripoti kamili.

Hii ni uthibitisho mwingine mzito unaoonesha kuwa utume wa Muhammad una utata. Ikiwa na wao Waislamu kwa mujibu wa hadithi hizi hawajui ni mambo mangapi Muhammad
aliyoyasema yanatoka kwa Allah na mangapi aliyasema akiwa ameshinikizwa na wachawi ,
Je ufunuo na utume wake utakuwa umetoka kwa Mungu wa Kweli? Tafakari !!Ndani ya Biblia Takatifu hakuna kurogwa kwa mtu wa Mungu.

3Hesabu 23:23 “ Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israel. Sasa habari za Yakobo na Israel zitasemwa , Ni mambo gani aliyoyatenda
Mungu!” Kwa mujibu wa kitabu cha Biblia Takatifu,
manabii na mitume wa kweli wa Bwana Mungu wanatoka katika taifa la Israel.

Kitabu cha Ezekiel 13:9 “ Na mkono wangu utakuwa juu ya manabii wanaoona ubatili, na
kutabiri uongo;hawatakuwa katika mashauri ya watu wangu, wala hawataandikwa katika
maandiko ya nyumba ya Israel, wala hawataingia katika nchi ya Israel; Nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana MUNGU” .Pia kwa mujibu wa kitabu cha Qur’an manabii na mitume ni lazima watoke kwa Yakobo ambaye ni mtoto wa Is-haqa ambaye naye ni mtoto wa Ibrahim.

Qur’an Suratul Al-Ankabuut,(Buibui), 29:27 “ Na tulimpa (kumzaa nabii) Is-haqa na (kumjukuu nabii) Yakubu na tukauweka katika kizazi chake unabii na (kupata) kitabu,na tukampa ujira wake katika dunia; naye katika akhera kwa yakini atakuwa miongoni mwa watu wema”.

Aya hii, inaendelea kusisitiza kuwa ni kupitia kizazi cha Yakobo ndiko uliko unabii na kupata kitabu. Kwa bahati mbaya Muhammad ibn Abdullah, hatoki katika kizazi hicho wala kwa
Ishmael kama wanavyodai Waislamu . Kwa sababu Ishmael ni Mwebrania kama baba yake mzee Ibrahim alivyo Mwebrania (Mwanzo 14:13)na Muhammad ni mwarabu kutoka kabila la Maqureysh.
Kwa kutambua hilo ndipo tunamwona Muhammad akiwaonya watu
wengine wajiepushe na watu wa kabila lake.
Sahih Al-Bukhari Vol.1.Hadithi Na. 801 na Al-Lu’lu Kitabu cha 3. Uk.1089.Hadithi Na.1846inasomeka“Hadithi ya Abu Huraira (r.a)amesema ,“Mtume wa Allah (s.a.w)
amesema,Kabila hili la Makuraish litawateketeza watu.’ Wakauliza, ‘Unatushauri
nini?’ Akasema, Nashauri watu wajitenge nalo.”

Kumzamisha nzi kwenye kinywaji
Bukhar vol. 4 Hadith 537 “ Narrated Abu
Huraira: The Prophet said: If a house fly falls in the drink of any one of you, he should dip it (in the drink) for one of its wings has a disease and the other has the cure for the disease”
Tafsiri: Ilisimuliwa na Abu Huraira: Nabii alisema kama nzi akiangukia ndani ya kinywaji cha mmoja wenu, anapaswa kumzamisha kabisa (ndani ya kinywaji) kwa kuwa bawa lake moja lina ugonjwa na bawa lake jingine lina dawa Mitume wa Yesu ndani ya Biblia Takatifu walikwisha kutuonya kuhusu uchafu huo. Katika 2 Kor 7:1 “Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu”

Miongoni mwa mafundisho ya Muhammad ni kwamba kuna mambo kumi yanayokamilisha Uislamu nayo tunayasoma katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu , Kilichoandikwa
na Sheikh Said Moosa Al-Kindy wa Muscut,Juzuu 3-4 Uk 63.Hadithi Na.880 “ Kasema Mtume (s.a.w) (Mambo) kumi ya Uislamu (yanayokamilisha Uislamu):Kukata
masharubu,na kuziweka ndevu,nakuziweka ndevu (kutozinyoa) ndevu,na kupiga mswaki,kusafisha ndani ya pua kwa maji,na kukata kucha,kuosha mikono baina ya vidole,na kung’oa (au kunyoa) nywele za kwapani,na kunyoa nywele za mbeleni (mavuzi),na upungufu wa maji. La kumi,kasema sahaba aliepokea hadithi hii kuwa nimesahau,lakini
kasema bila shaka la kumi ni “kutahiriwa.”

Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume
wanathibitishwa kwa njia ya miujiza.
Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.

Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea,
pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo13:6-12.

Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na
mitume ni lazima wafanye miujiza.
Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini]
inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia(majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu”
Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.

Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni
na kama hataki basi),nami hakika ni mwonyaji
mbainishaji (dhahiri tu).”

(Taz.Qur,an6:35-3713:7,)Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja.Katika Surat An-Nisaa, (wanawake), 4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume,huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa
tendo lililotendeka.Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani?.

Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia
Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale
“Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!! .

Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa
na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa
Wafalme .KAULI HII INAUPA MOYO WANGU UKAKASI
Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme;na hao walio pamoja naye ndiyo walioitwa na wateule, na waaminifu” Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe,na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa Neno la Mungu. Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.

Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na
paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA
WA MABWANA “Yesu Kristo ndiye Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana.Lakini tunaposoma Hadithi sahihi za Kiislamu zinaeleza kuwa adui mkubwa wa Allah (s.w) Mungu wanayemwabudu Waislamu, ni yule anayeitwa Mfalme wa
Wafalme.

Sahih Al- Bukhari, Vol.8.Hadithi Na.225, Al-Lu’lu Wal-marjan,Juzuu ya 3,Hadithi Na.1385
“Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema,Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,”Majina yaliyo dhalili
mno na mabaya mbele za Allah ni mtu kujiita,Malikil-Amlaak (Mfalme wa Wafalme).”

Hivyo, ufunuo aliopokea Muhammad, ambao anatutaka na sisi Wakristo tuuamini haujatoka kwa Mungu tunayemwamini sisi Wakristo, yaani,Yesu Kristo.Bali kama alivyonukuliwa katika
vitabu vya Kiislamu, unatokana na kuchezewa na Shetani, na kwa sababu hiyo kwetu anakuwa nabii na mtume wa uongo’Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza
mitume na manabii.

Katika kitabu cha Ufunuo2:1-2 “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume,yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu.

Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo. Hatufai.

Moyo wangu unapata ukakasi napoona waislam wanaendelea kumuabudu mtume Huyu!!

Ndugu Zangu waislam bado mnaendelea kumfuataa mtume huyu ambaye Hana sifa za kitume???

Njoo kwa Yesu uokoke!

Gazeti lako halijatuonyesha wapi Yesu alisema yeye ni Mungu wala hamna ushahidi wowote wa kumfanya Yesu kuwa ni Mungu. Shukrani sana , kwani inaonyesha umeelewa Yesu si Mungu
 
Hukuwahi kuongea la maana.
Huwa unaropokaga tu.
Wahamiaji wa kiarabu hutokea nchi zenye vita SYRIA,LEBANON,IRAQ,YEMEN.
Na ukifuatilia nadhani utaelewa nani chanzo cha machafuko ya hayo mataifa ni hao hao wazungu wenyewe.
Umewahi kusikia mwarabu wa QATAR,OMAN,BAHRAIN,KUWAIT,DUBAI,BRUNEI ana mawazo ya kuhamia Ulaya!??
Nchi za hao wafu zingekuwa hazijaingizwa katika vita basi wangekua kwao wanajenga taifa Lao.
Hawa wakristo wakiona uslam tu wazimu unawapanda, wanachafua dunia then wanaleta maneno ya kejel watulie tu tubadilishe makanisa kuwa misikit
 
Back
Top Bottom