babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Nenda kwenye mtandao X kuna account yao na wameshaliongelea hili: Nchi ambazo walizotaka kupita wamewakatalia.7th October Taliban walikua wanaomba njia waingie front wakaongeze nguvu kwa hamas ilipofika tarehe nakuendelea wakajua kumbe walikua wanataka kujipakata wameamua kujikalia zao kimya tu
Kwa hiyo Muhammad alitumia kiswahili!?.. akili mnawekaga wapi nyie!?..ndiyo maana mnauziwa chupi za upako ili mzaeSio Mayahudi, ni Wayahudi.
Mudi alikuwa anawachukia sana Wayahudi...mpaka kwenye quran alishindwa kusema Wa akasema Ma.
Vita vya msalaba,askofu barayavizaHapana, Sunday School waga haiharibu mtu huwezi kutoka Sunday School ukaenda kujilipua na kuua watu hovyo kwa sababu Mungu wa Sunday School sio wa kupiganiwa na huwezi kuua mtu kwa jina lake. Never.
Wamepata tu excuse wahuni maana mzigo ulivoanza ilikua kama hamas wanashinda hivi walitoa hype ya kufa mtu wadau wanaopenda utata mara papa the prank went wrongNenda kwenye mtandao X kuna account yao na wameshaliongelea hili: Nchi ambazo walizotaka kupita wamewakatalia.
Nchi kama Iraq na nyenginezo! Ina maana wakiruhusiwa hizo nchi zitakuwa zimenunua ugomvi.
Kwamba wewe mkiristo wa ileje unajua kuchuja mambo kuliko muislam wa Iran na uturuki, Qatar!?..ungekuwa unajua kuchuja mambo usingepiga goti mbele ya sanamu la zege na kuliombana jamaa kazungumzia ulaya , waislam na waarab ni jamii ya watu wapumba hawajui kuchuja mambo , kama walivyoipokea hii bas bas kesho wataanza fany hivyo na kinachofuatia ni ban
Ukitaka kuwajua Taliban vizuri,kawaulize urusi, marekani na iran7th October Taliban walikua wanaomba njia waingie front wakaongeze nguvu kwa hamas ilipofika tarehe nakuendelea wakajua kumbe walikua wanataka kujipakata wameamua kujikalia zao kimya tu
Vita itakua ngumu na ndefu-netanyahu,we upo bonyokwa ushaona Hamas kashindwaWamepata tu excuse wahuni maana mzigo ulivoanza ilikua kama hamas wanashinda hivi walitoa hype ya kufa mtu wadau wanaopenda utata mara papa the prank went wrong
Ingia 18 zao.....Waislamu hawajawahi kujitambua
Wewe jamaa bhana!Wamepata tu excuse wahuni maana mzigo ulivoanza ilikua kama hamas wanashinda hivi walitoa hype ya kufa mtu wadau wanaopenda utata mara papa the prank went wrong
Taliban urusi alikua na anapigana na mmarekani pale kama mmarekani anavyopigana na mrusi pale Syria vijijini Taliban kama Taliban hawana maajabu yeyote , USA aliondoka afghan maana alikua kishamalizana na kibaraka wake for more reference kula chuma hicho kutoka kwenye chombo Cha propaganda za mmarekaniUkitaka kuwajua Taliban vizuri,kawaulize urusi, marekani na iran
Hapana, Kuna jews hawana shida, si vyema kusema wote ni sawa, wanatofautiana.
Hamas ndio wanatakiwa waondoke kwenye mashimo waende wakapigane na Israel wakomboe ardhi wanayodai waliporwa sasa badala yake wanajificha miongoni mwa raia, ni waoga kama fisi.
Wewe punguani kweli mtu kazaliwa Ulaya utampiga ban vipi
Dunia imebadilika, miaka ya 1960's, 1970's, hadi 1990's na early 2000's dunia ilikuwa haioni kwa muda wote huo Palestinians wanapitia nini, media zilikuwa hazitoi habari zenye ukweli, baada ya mitandao ya kijamii kuwepo sasa hivi tukio likitokea Israel baada ya nusu saa dunia nzima imeona.
Watu wanafunguka na kufahamu ukweli, sasa hivi watu hawasubiri CNN, BBC n.k ili kupata habari zilizopikwa, sasa hivi mtu na iPhone yake anarekodi na kurusha matukio. Naweza sema zama zimebadilika, dunia imeona kinachoendelea huko Gaza.
Israel ibadilike imefanya uonevu kwa muda mrefu. Ni hatari sana.
USA aliingia Afghanistan baada ya kunyimwa tenda ya kuvuna nishati na kupewa kampuni ya Argentina, google,ni rahisi kupata hii taarifa,ukiwa na bando tafuta documentary ya taleban kwenda marekani 1999 kwa ajili ya dili Hilo,Kama shida ilikua Osama,wakidai kumuua 2011,kwa nini walikaa miaka kumi baadae!?..kilichompeleka urusi Afghanistan ndicho kilichompeleka marekaniTaliban urusi alikua na anapigana na mmarekani pale kama mmarekani anavyopigana na mrusi pale Syria vijijini Taliban kama Taliban hawana maajabu yeyote , USA aliondoka afghan maana alikua kishamalizana na kibaraka wake for more reference kula chuma hicho kutoka kwenye chombo Cha propaganda za mmarekaniView attachment 2797484
Nikuambie ukweli, binafsi huwa sielewi ni nini unachokiandika. Si kwenye Uzi huu, ni kwenye Uzi tofauti tofauti.
Nisamehe kwa kweli.
Mmarekani kampeleka Osama afghan as a CIA agent full funded and equipped kama hujui habari za cold war umezibwa na dini bas Kaz unayo haya ma elites hayana dini ilq yanatumia diehard fans kupush agenda zaoUSA aliingia Afghanistan baada ya kunyimwa tenda ya kuvuna nishati na kupewa kampuni ya Argentina, google,ni rahisi kupata hii taarifa,ukiwa na bando tafuta documentary ya taleban kwenda marekani 1999 kwa ajili ya dili Hilo,Kama shida ilikua Osama,wakidai kumuua 2011,kwa nini walikaa miaka kumi baadae!?..kilichompeleka urusi Afghanistan ndicho kilichompeleka marekani
Hizo conspiracy theories nilizipitia 2006,nshaachana nazo, marekani aliwasaidia silaha wachechen pia,kati yao mmoja awapo vitani mwingine huingia upande wa pili,hakuna u-cia Wala niniMmarekani kampeleka Osama afghan as a CIA agent full funded and equipped kama hujui habari za cold war umezibwa na dini bas Kaz unayo haya ma elites hayana dini ilq yanatumia diehard fans kupush agenda zao