Una chuki zako unataka kukashifu dini yetu, sisi hatutakashifu dini yako kwasbb wote sio wapuuzi kama weweSema dini ya allah, mudi, majini na wafuasi wengine
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una chuki zako unataka kukashifu dini yetu, sisi hatutakashifu dini yako kwasbb wote sio wapuuzi kama weweSema dini ya allah, mudi, majini na wafuasi wengine
Kwani Tanzania kuna dini rafiki yangu wa tz ni mashee wa michongo michongo tu hakuna lolote kuna mmoja alikuwa ananisimulia sana visa vya mtume mwisho wa siku ananiambia nisilimu nikamwambia nina yesuNi hivi, viongozi kadhaa wa dini ya kiislamu hapa nchini katika mawaidha yao hudai kuwa ni haramu kuchelewesha mwili wa marehemu hata kama alikuwa kiongozi akifa azikwe fasta fasta...
Unajua kuwa Serikali ya Iran ni ya kidini? Kiongozi mkuu wa nchi ni kiongozi wa Dini pia. Serikali yao inaendeshwa kwa msingi wa Sharia so kila kinachofanyika ni kwakuzingatia miongozo ya dini.Kuna dini na kiongozi wa nchi. Kiongozi wa nchi ni mali ya serikali. Anapofariki serikal husimamia taratibu zote, haijalishi dini yako
Mkuu jikute kwenye point sio kwenye Takwimu huna wakika na mimi sina wakika, kwahiyo idadi sio issue wala usiumie the firstes growing religion inajulikana tu.Umelewa au umevuta!? Takwimu ya wapi hiyo kuwa Wakristo Tz ni 30%? Kwa Takwimu ya mwisho hapa nchini Wakristo ni 60% ya Watanzania wote, hizo takwimu za madrasa wapelekee hukohuko madrasa muendelee kujifariji.
Kwa ufikiri wako Huwezi elewa.Soma vyema andiko mkuu, wapi nimekashfu mtu? Nimeuliza ili kujua nani yupo sahihi, nani mwongo
Kwamba Kiongozi wa wa serikali inayoongozwa kwa misingi ya Sharia (uislam) ambaye pia ni kiongozi wa Dini asiijue dini anayoiongoza!? Iran ni nchi ya Kiislam na inaongozwa kiislam so chochote kifanyokacho ni kwa mwongozo wa kidini.Wewe bhn usichokijua ni kwamba waweza muona mtu ni mwarabu na asiijue dini yake, Usichukilie kigezo cha kuwa yeye ni mwarabu then dini itakuwa imemkaa sana kichwani. Tofautisha kati ya mtu aliyesoma dini na mtu mwenye asili ya uarabu. Huna content Mkuu, Plus kuwa yeye alikuwa Raisi wa Inchi so ni serikali ndo inahusika na mazishi yake
Takwimu hizo za wakristo kuwa 30% umezitoa wapi?Mmh Ufaransa ina wa kuristu 97% wamepokea ushogaa watanzania wako 30% wakristu wamegomea ushogaa, kwahiyo wataka kuwafuata kwasbb ni wengi na wanajua ukristo kuzidi nyie huku,......?
Umekula kweli? Au ndo unajihesabia zako kenchi huku ukiwaza mabikra 72? Kuna dini zinaweza kukufanya uonekane kichaa aisee.Hamna dini ya waarabu, Uislamu ni Dini ya ulimwengu mzima, na ni hasara kubwa kwa ntu yoyote kuchukuliwa na almouti akiwa bado ajasilimu.
Na kijito cha pombe.Wale 72 wa peponi sio
Huna hoja, acha kuleta porojo za kahawani. Next time njoo na takwimu zenye vielelezo.Mkuu jikute kwenye point sio kwenye Takwimu huna wakika na mimi sina wakika, kwahiyo idadi sio issue wala usiumie the firstes growing religion inajulikana tu.
Mkuu ndani ya miaka 30 injao ukristo Tanzania zitabaki kelele tu kwasabb uko kwenye decline na Islam at rise sijui hata hiyo 30% bado ipo on ground sema tu kelele nyingi.Takwimu hizo za wakristo kuwa 30% umezitoa wapi?
Kwahiyo Uislam sahihi ni upi sasa Shia au Sunni?Uislamu official wa huku kwetu (BAKWATA) Ni Sunni. Na kule Iran Ni shia. Sisi hatuufuati uislamu kiviile, Kama MTU akiiba kule Iran anakatwa mikono. Huku kwetu ukiiba especially Mali ya umma unatukuzwa na kuitwa muheshimiwa...
Hakuna ukweli katika hilo labda huko ulaya sio bongoMkuu ndani ya miaka 30 injao ukristo Tanzania zitabaki kelele tu kwasabb uko kwenye decline na Islam at rise sijui hata hiyo 30% bado ipo on ground sema tu kelele nyingi.
Hahahaha najua unatamani iwe hivyo ila ukweli ni kuwa mnatakiwa kuongeza juhudi maana bado hamfiki hata 51% ya Population ya nchi. Wapiga kelele ni nyinyi na hilo liko wazi maana kuna maeneo ukienda utakuwa waislam watatu tu lkn kelele zao sasa!Mkuu ndani ya miaka 30 injao ukristo Tanzania zitabaki kelele tu kwasabb uko kwenye decline na Islam at rise sijui hata hiyo 30% bado ipo on ground sema tu kelele nyingi.
Wakati wa Uhuru miaka ya 60s uislamu ulikua pwani Tabora Ujiji lakini ndani ya miaka 50, uislamu uko mawilayani tena ndani ndani, misikiti inajengwa vijijini mpaka kule kanda ya ziwa kwa wasuku, kama huwezi kunotice hilo utakua na tatozo, uislamu unatafuna nchi hi kimya kimya baada ya miaka 50 utaniambie.Hakuna ukweli katika hilo labda huko ulaya sio bongo
Bongo kuna watumwa wa waarabu bahati mbaya hawajui wakoloni wao sasa hivi si kama wa zamani,saudia mpaka maonesho ya vimini yapo.Nimeuliza swali rahisi sana kwenye uzi, je Wa Iran wamefanya haramu?
Sio mbinguni, dini imetoka mapangoni sheheDini haijatoka Iran wala kwa Mashekhe wetu, dini imetoka mbinguni kupitia Mtume wetu S.A.W. kwahiyo Kufupi wanakosea
Bhahahaaa, ngoja wajeBongo kuna watumwa wa waarabu bahati mbaya hawajui wakoloni wao sasa hivi si kama wa zamani,saudia mpaka maonesho ya vimini yapo.