Waislamu wa Tanzania hawaijui Dini yao?

Umelewa au umevuta!? Takwimu ya wapi hiyo kuwa Wakristo Tz ni 30%? Kwa Takwimu ya mwisho hapa nchini Wakristo ni 60% ya Watanzania wote, hizo takwimu za madrasa wapelekee hukohuko madrasa muendelee kujifariji.
Takwimu zako ni vais vesa mzee, fanya hata utafiti uchwara utapata exactly answer kuwa waislamu ni wengi kuliko nyinyi.
 
Umelewa au umevuta!? Takwimu ya wapi hiyo kuwa Wakristo Tz ni 30%? Kwa Takwimu ya mwisho hapa nchini Wakristo ni 60% ya Watanzania wote, hizo takwimu za madrasa wapelekee hukohuko madrasa muendelee kujifariji.
Takwimu zako ni baridi vesa mzee, fanya hata utafiti uchwara utapata exactly answer kuwa waislamu ni wengi kuliko nyinyi.
 
Mmh Ufaransa ina wa kuristu 97% wamepokea ushogaa Watanzania wako 30% wakristu wamegomea ushogaa, kwahiyo wataka kuwafuata kwasbb ni wengi na wanajua ukristo kuzidi nyie huku,......?
Natilia mashaka data zako mkuu! naomba source.
 
Umelewa au umevuta!? Takwimu ya wapi hiyo kuwa Wakristo Tz ni 30%? Kwa Takwimu ya mwisho hapa nchini Wakristo ni 60% ya Watanzania wote, hizo takwimu za madrasa wapelekee hukohuko madrasa muendelee kujifariji.
Wakristo ni 20 % tu, na ndio maana mlipinga sana mlipoambiwa tuhesabiane kwa dini kwenye sensa

Makanisa yalipinga kwa nguvu zote
Ushauri:
Tuungane kushawishi 2032 kwenye sensa ya taifa tumalize mzizi wa fitna
 
Na hiyo 30% mkuu
Kwani wewe unafikiri wakritu ni wengi, mfumo ukristu ndo unao wababa kwa kelele zao, kama wataka ukweli sema tufanye sensa utaona watakavo pinga, kwa kisingizio cha udini, miaka ya 60s. Wakoloni walivo hesabu waislam walikua 61% wa sio kua na dini 15% hapo wakristo inabaki ngapi? tena kila siku wanapungua tu......
 
Sawa mkuu mimi naomba source tu ya hizi data nipate knowledge pia.
 
Mmh Ufaransa ina wa kuristu 97% wamepokea ushogaa Watanzania wako 30% wakristu wamegomea ushogaa, kwahiyo wataka kuwafuata kwasbb ni wengi na wanajua ukristo kuzidi nyie huku,......?
Hizi takwimu zako za Wakristo nchini Tanzania sio za kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…