Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
we shoga tulia , kule mtachapwa kenge nyiezenji si ndio kwenu na allah wenu? kumbe mama yakoo ni mzanzibari? ndiyo maana anajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we shoga tulia , kule mtachapwa kenge nyiezenji si ndio kwenu na allah wenu? kumbe mama yakoo ni mzanzibari? ndiyo maana anajua
Njoo nikufumue rinda shehe wangu kama umeshindwa kutetea hojawe shoga tulia , kule mtachapwa kenge nyie
Kwanza una takwimu feki waislamu ndio wako 30%,kwakuwa umeanza kwa kusema uongo basi kila ulichosema ni uongo.Mmh Ufaransa ina wa kuristu 97% wamepokea ushogaa Watanzania wako 30% wakristu wamegomea ushogaa, kwahiyo wataka kuwafuata kwasbb ni wengi na wanajua ukristo kuzidi nyie huku,......?
Mkuu acha jaziba mko wachache sema tu kelele na chuki ndo nyingiKwanza una takwimu feki waislamu ndio wako 30%,kwakuwa umeanza kwa kusema uongo basi kila ulichosema ni uongo.
Upo sahihi kabisaNi hivi, viongozi kadhaa wa dini ya kiislamu hapa nchini katika mawaidha yao hudai kuwa ni haramu kuchelewesha mwili wa marehemu hata kama alikuwa kiongozi akifa azikwe fasta fasta.
Sasa kafariki Rais wa Iran (nchi yenye watu wanaoujua na kuuishi uislamu kukiko waislamu wa buza), amefariki tangu tarehe 19 na leo ni tarehe 22 bado hawajazika, wana aga tu, kesho ndiyo watazika.
Nataka mashehe wangu waje hapa waseme ni nani anaujua uislamu zaidi kati yao na hawa majamaa, ikumbukwe kuwa huyu mzee alikuwa kiongozi wa kidini tena yule mkereketwa, na Iran wana mpaka mchinjaji wa taifa anayechinja watu wanaokana uislamu na kufanya makosa mengine kinyume na sharia.
Sio suala la hiari utajikuta we ni muislamu au watoto wako wameslimu huwezi kupingana na dini ya Mungu wengi hawakupenda ila wamejikuta wako ndani tayari.......Islam is anatural force you cant resist it[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Binafsi bora kuwa mpagani kuliko kuwa muislam
Muulize malaya mama yako kwanza , alipata mimba barNjoo nikufumue rinda shehe wangu kama umeshindwa kutetea hoja
Sheheee shoga lime panic baada ya kushindwa kumtetea allah na shoga wake mudiMuulize malaya mama yako kwanza , alipata mimba bar
Miaka 30 ijayo kizazi hiki kitakuwa kimeshagunduwa dini ni scam tu ya Waarabu na Allah na wazungu na Yehova.Mkuu ndani ya miaka 30 injao ukristo Tanzania zitabaki kelele tu kwasabb uko kwenye decline na Islam at rise sijui hata hiyo 30% bado ipo on ground sema tu kelele nyingi.
Katiba ya Iran inasema nchi ni ya Kiislamu na inaongozwa kwa sharia za Kiislamu.
From the Wiki
Sharia
Hassan Vakilian cites Article 4:
civil, penal financial, economic, administrative, cultural, military, political, and other laws and regulations must be based on Islamic criteria. This principle applies absolutely and generally to all articles of the Constitution as well as to all other laws and regulations…
Am not expert in islamic laws, but ninachojua kuna vipengele muhimu vinavyohusiana na mazishi ya rais wa Iran kulingana na mapokeo na taratibu za kitamaduni zao ( reference mazishi ya late president hassan rhouani)Katiba ya Iran inasema nchi ni ya Kiislamu na inaongozwa kwa sharia za Kiislamu.
From the Wiki
Sharia
Hassan Vakilian cites Article 4:
civil, penal financial, economic, administrative, cultural, military, political, and other laws and regulations must be based on Islamic criteria. This principle applies absolutely and generally to all articles of the Constitution as well as to all other laws and regulations…
Mkikamatwa vijana wapakwa mafuta wa papa ni fimbo tu kama wanyama 😛 😛 ..Mama yako kajiuza mpaka kapata mtoto hana akili.Sheheee shoga lime panic baada ya kushindwa kumtetea allah na shoga wake mudi
Kama ni miaka 1000 huko mbeleni afadhali sitakuwepo, yaani sasa hv bado mko wachache lakini terrorists wanasumbua mkitawala dunia yote hali itakuwajee?!.Sio suala la hiari utajikuta we ni muislamu au watoto wako wameslimu huwezi kupingana na dini ya Mungu wengi hawakupenda ila wamejikuta wako ndani tayari.......Islam is anatural force you cant resist it
Point ya mleta mada ni kwamba Waislamu, hata Wa Shia, wanazika mara moja bila kusubiri. Na hawa wanasubiri. Ingawa ni watu wa nchi inayoongozwa kidini. Ina maana wamepotezea kanuni/ tamaduni za Kiislamu za kuzika haraka.Am not expert in islamic laws, but ninachojua kuna vipengele muhimu vinavyohusiana na mazishi ya rais wa Iran kulingana na mapokeo na taratibu za kitamaduni zao ( reference mazishi ya late president hassan rhouani)
- Mazishi ya Kitaifa: Rais aliyefariki kawaida hupata mazishi ya kitaifa, ambayo yanajumuisha sherehe za kikubwa rasmi. Hii mara nyingi inajumuisha ushiriki wa maafisa wa juu, heshima za kijeshi, na maombolezo ya kitaifa.
- Taratibu za Kidini: Kwa kuwa Iran ni Jamhuri ya Kiislamu, mazishi yatakuwa kwa kufuata taratibu na mila za Kiislamu, hasa zile za Waislamu wa Kishia, ambazo zinajumuisha kuosha mwili (Ghusl), kuvikwa sanda (Kafan), kuswaliwa sala ya jeneza (Salat al-Janazah), na kuzikwa kaburini.
- Maombolezo ya kitaifa : kutangazwa kipindi cha maombolezo ya kitaifa, ambapo bendera zinaweza kupeperushwa nusu mlingoti, na matukio ya umma yanaweza kufutwa au kuahirishwa. Serikali na vyombo vya habari vitakuwa vikiakisi maisha na michango ya rais aliyefariki
- Ushiriki wa Umma: Mwili unaweza kuonekana katika sehemu muhimu ya umma (kama vile msikiti au jengo la serikali) ili wananchi waweze kutoa heshima zao kabla ya mazishi.
- Mahali pa Kuzikwa: Mazishi mara nyingi hufanyika katika makaburi maarufu au sehemu yenye umuhimu wa kitaifa. Marais waliopita, Eg Akbar Hashemi Rafsanjani (japokuwa hakuwa rais) alizikwa katika maeneo aliyozikwa ya Ayatollah Khomeini, ikionyesha hadhi yao na heshima waliyopewa
Is why inachukua muda beause muhusika ni public figure, kiongozi wa nchi regardless dini yake
Mkuu miaka 1000 ni mbali miaka 50 tu injao utasomulia ata ukiwa kabrini usichezee natural forceKama ni miaka 1000 huko mbeleni afadhali sitakuwepo, yaani sasa hv bado mko wachache lakini terrorists wanasumbua mkitawala dunia yote hali itakuwajee?!.
Dunia itakuwa sio sehemu salama kabisa ya kuishi...labda ndio maana wazungu wanafanya sana majaribio kama kuna maisha sayari ya mars itakuwa wanataka kuwakimbia waislam kwenye hii dunia[emoji1787][emoji1787]
Ukristo ni democratic sana mtu akitaka anatoka tena ruksa kuukosoa, muislam thubutuuu...atachinjwa!!.
Somehow hazipo haziendani na public figures wa leo. Look ut us even tukizika viongoz wa kiislam, we do almost the same.Point ya mleta mada ni kwamba Waislamu, hata Wa Shia, wanazika mara moja bila kusubiri. Na hawa wanasubiri. Ingawa ni watu wa nchi inayoongozwa kidini. Ina maana wamepotezea kanuni/ tamaduni za Kiislamu za kuzika haraka.
Public figure ndiye anayetakiwa kuwa mfano wa kuzikwa Kiislamu dunia nzima ijue.
Kama Waislamu hawaziki kwa kutumia jeneza, wanafunika kwa sanda tu, utasema huyu public figure tumzike kwenye jeneza?
Huoni kwamba ukivunja kanuni kwa public figure ndiyo inakuwa vibaya zaidi, unavunja kanuni kwa mtu wa kutoa mfano wa kutimiza kanuni?
Unataka kusema kanuni za Kiislamu haziko compatible na dunia ya public figures wa leo?
Hapo ndipo utajua dini ni siasa za kuungaunga za watu tu.Somehow hazipo haziendani na public figures wa leo. Look ut us even tukizika viongoz wa kiislam, we do almost the same.
Kwenye dini huwa hatupigi hesabu hizo unazopiga wewe yaani kwa vile wengi wamepotoka ndio na wewe ufuate mkumbo?Nimeuliza swali rahisi sana kwenye uzi, je Wa Iran wamefanya haramu?
Nadhani baada ya kusafiri utakuwa umegundua kuwa kiarabu ni lugha kama lugha nyingine na haina hadhi yoyote kuzidi lugha nyingine duniani wala peponi.Kwenye dini huwa hatupigi hesabu hizo unazopiga wewe yaani kwa vile wengi wamepotoka ndio na wewe ufuate mkumbo?
Hao wamefanya ufahari wao binafsi na mila zao kwa sababu yeye ni Raisi ila haimaanishi kwamba wao wako perfect kwa kila jambo wafanyalo.
Halafu kama wewe ni mtu umetembea nchi mbalimbali utagundua Africa hasa hasa Tanzania kuna Waislamu wazuri sana na wana nidhamu sana na dini yao.
Kwa mfano mimi tangu nizaliwe hadi nimekuwa mtu mzima nilikuwa sijawahi kuona mtu mwanamme ameingia msikitini kuswali huku amesuka Rasta au mtu anaswali huku amevaa cap/kapero kichwani ila nilivyosafiri kwenda mbali nikaanza kuona hivyo vituko tena ni uarabuni ambako wewe unadhani ndio kuna wachamungu sana