Mpaka najua kwamba unaongopa ujue nasoma na ninajua kadhalika.Kwa nini mandiko yako alafu unauliza tena , inaonesha husomi
Nasubiri majibu ya maswali niliyo kuuliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka najua kwamba unaongopa ujue nasoma na ninajua kadhalika.Kwa nini mandiko yako alafu unauliza tena , inaonesha husomi
Hili unatakiwa utuwekee ushahidi sababu katika soma yangu sinaona kitu kama hicho. Tutajie kitabu ambacho wewe umesoma hizi habari.La bilal nenda kasome nimemaliza kuelezea story ilivyokuwa na kuweka wazi unapotosha
Jiangalie hapa rangi yako na utaenda wapi
Muhammad said: Allah created Adam when He had to create him and He struck his right shoulder and there emitted from it white offspring as if they were white ants. He struck his left shoulder and there emitted from it the black offspring as if they were charcoal. He then said (to those who had been emitted) from the right (shoulder): For Paradise and I do not mind. Then He said to those (who had been emitted) from his left shoulder: They are for Hell and I do not mind. Al-Tirmidhi Hadith - 38
Hahaha nimecheka sana, hii hadithi mara ya kwanza uliiweka ulipo kuwa unataka kuonyesha ya kuwa Mtume ni mbaguzi. Hili ndiyo lilikuwa lengo lako, sasa nilivyo onyesha ya kuwa wewe ni muongo na hadithi haionyeshi ubaguzi, ukaja na kipande kingine, ndiyo maana nikasema hivi weka marejeo ya hiyo hadithi nyingine kuonyesha mbwa ni mashetani, na hukuti mtume akisema kavu kavu kiwa Mbwa weusi ni Mashetani.Uwe unakumbuka kuwa muislam kunakufanya uwezo uwe mdogo sana na tunawaona mpaka madarasani
wewe hapa ulidai mbwa ipo kwenye mlango wa uwindaji nilivyo onesha uongo wako na kukwambia muhammad kasema mbwa wote weusi ni mashetani unaanza kurusha mateka, tulia dawa ukuingie
Lazima ukatae andiko maana ni aibu kubwaHili unatakiwa utuwekee ushahidi sababu katika soma yangu sinaona kitu kama hicho. Tutajie kitabu ambacho wewe umesoma hizi habari.
Kingine hii hadithi haipo kwa Imam Tirmidh, na huwa mnaiegemezea kwa Imam Ahmad pia. Sasa wewe tuambia hii rejea umeipata kwenye kitabu gani na kama umechukua mtandaoni tu sema. Usiogope sababu haya ni mambo ya kielimu.
Kingine hadithi hii ni dhaifu sababu haipo inapingana na Qur'aan.
Katika Jami'u Tirmodh hukuti hadithi namba 38 kuwa ni hii.
Kijaa unanipotezea muda sasa, unaruka ruka sana hutulii na jambo moja na hujibu maswali.Tunaendelea kijana
- siku ya mwisho allah atawageuza watu wa mbinguni wawe weupe na wa motoni wawe weusi ,
- 3:106 On the day (some) faces will be whitened and (some) faces will be blackened; and as for those whose faces have been blackened it will be said unto them) the angels in-charge of hell will say to them: (Disbelieved ye) in Allah (after your (profession of) belief?) in Allah. (Then taste the punishment for that ye disbelieved) in Allah.
Sasa nakataaje andiko wakati vitabu tunavyo wewe tuonyeshe tu kwamba hii hadithi umeipata wapi ? Sababu tunayo mapokezi mengine. Usiwe na harakq, yaani Hadithi kadhalika zimehifadhiwa kama Qur'aan yaani ukiingiza ka kwako na la uongo tunajua.Lazima ukatae andiko maana ni aibu kubwa
Nikisha toa point naenda nyingine so Rudi nyuma , kazi ni kuonesha black color Haina maana mbele ya Allah na muhammadKijaa unanipotezea muda sasa, unaruka ruka sana hutulii na jambo moja na hujibu maswali.
Huoni Hadith name na numberSasa nakataaje andiko wakati vitabu tunavyo wewe tuonyeshe tu kwamba hii hadithi umeipata wapi ? Sababu tunayo mapokezi mengine. Usiwe na harakq, yaani Hadithi kadhalika zimehifadhiwa kama Qur'aan yaani ukiingiza ka kwako na la uongo tunajua.
Sasa tuambie hii hadithi umeitoa kwenye kitabu gani ? Kama umeitoa mtandaoni sema tu, maana huwa mnainasibisha na Imam Ahmad kadhalika.
Maana yake siyo ubaguzi tena ? Ingekuwa haina maana asingeiumba. Naona huna hoja tena, una ruka ruka.Nikisha toa point naenda nyingine so Rudi nyuma , kazi ni kuonesha black color Haina maana mbele ya Allah na muhammad
Naongelea ile ya Mbwa weusi kuwa ni Shetani. Ulisahau kutuwekea namba ya hadithi na kitabu.Huoni Hadith name na number
Achana na huyu mjinga ana id tatu humuMaana yake siyo ubaguzi tena ? Ingekuwa haina maana asingeiumba. Naona huna hoja tena, una ruka ruka.
Nasubiri majibu ya maswali yangu.
Kwahyo mtanzania lazima awe mweusi akiwa mweupe sio Mtanzania maana hapo wapo wa Tanzania nnawajua lakini ww umeona rangi unafikiri wote wa OmanHiyo ni Bukoba KZ, Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania, KZ!
View attachment 2256996
Account yangu ni moja na unaujua mziki wangu, wewe unanikimbia kila ukiniona kwenye uziAchana na huyu mjinga ana id tatu humu
anajiita
1.mgeni
2.Spensa e
3.Mokiti
zote hizo id zake ni mtu.mjinga tena zaidi ya mjinga tu uyo achana nae
Sitaki kuamini kwamba hajui mafundisho ya muhammad alisema mbwa weusi wote ni mashetani na popote unapo mkuta mtoe uhai, nenda kasome ni aibu hii kama hujuiNaongelea ile ya Mbwa weusi kuwa ni Shetani. Ulisahau kutuwekea namba ya hadithi na kitabu.
Ulocho Andika ni sifa mojawapo ya mnafiki "UONGO"Achana na huyu mjinga ana id tatu humu
anajiita
1.mgeni
2.Spensa e
3.Mokiti
zote hizo id zake ni mtu.mjinga tena zaidi ya mjinga tu uyo achana nae
Watu wengine wanakupuuza wanaamua kuachana na wewe. Usianze kujifaragua na elimu na hauna kitu kichwani.Account yangu ni moja na unaujua mziki wangu, wewe unanikimbia kila ukiniona kwenye uzi
Usikimbie hoja ya msingi. Umetoka kwenye suala la ubaguzi limekushinda unaruka tena kwenye suala la Mbwa.Sitaki kuamini kwamba hajui mafundisho ya muhammad alisema mbwa weusi wote ni mashetani na popote unapo mkuta mtoe uhai, nenda kasome ni aibu hii kama hujui
Elimu ya Uislamu hunikuti hata robo , umeona mwenyewe nakufundishaga mara nyingi humu , Hadith nyingi hujui , Tafsir huzijui na Koran nina mashaka kama ata robo umekaririWatu wengine wanakupuuza wanaamua kuachana na wewe. Usianze kujifaragua na elimu na hauna kitu kichwani.
Maana ya "Kufundisha" itakuwa imebadilika sasa.Elimu ya Uislamu hunikuti hata robo , umeona mwenyewe nakufundishaga mara nyingi humu , Hadith nyingi hujui , Tafsir huzijui na Koran nina mashaka kama ata robo umekariri
Mbwa nimeonesha ubaguzi wa wazi wa rangi , nenda kasome , muhammad aliulizwa kwa nini tusiue mbwa wa rangi nyingine , yeye akasema weusi ndio mashetani , unaweza jibu kwa nini mbwa mweusi tu wawe mashetani?Usikimbie hoja ya msingi. Umetoka kwenye suala la ubaguzi limekushinda unaruka tena kwenye suala la Mbwa.
Unapotezea watu muda.