Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Hakuna dini imeenezwa kwa lazima na mapanga kama uislamu mpaka sasa bado wanaota ipo siku watapata nafasi ya kuieneza "sharia" kwa nguvu na damu..IS, Al Qaida, Al Shabaab nk
Last...
Unakosea ikiwa utauhukumu Uislam kwa vigezo vya Al Qaida.
 
Hao wote unaowaona kwenye picha ni waislamu wa madhehebu ya Ibadhi wale ambao wanaposwali hawafungi mikono yao kama wanavyofunga swala waislamu wengine wa madhehebu ya sunni na mengineyo , ndio maana hujawaona watu wengine wa rangi unazoulizia wewe maana wengi wao huwa hawapendi kusali kwenye misikiti ambayo kuanzia Imam mpaka waumini wa kawaida hawafungi swala, sio kwamba wanakatazwa kuswali humo bali ni uamuzi wa muumini mwenyewe kama anataka kuswali na anaruhusiwa kuswali awe amefunga swala au hajafunga swala, na pia madhehebu ya IBADHI huwa wanaposwali huwa hawaitikii kwa kusema Amiiin kwa sauti kama wanavyofanya madhehebu ya Sunni ambao ndio wengi hapa Nchini !! KWA TAARIFA YAKO UISLAMU UNA MADHEHEBU TOFAUTI TOFAUTI KAMA UKRISTO !! MADHEHEBU YA IBADHI WAPO WACHACHE SANA TANZANIA NA DUNIANI KWA UJUMLA !!
Kwanini kuna madhehebu tofauti tofauti wakati Mungu ni mmoja na mtume Ni Muhammad?
 
Usipambe majina , sema kweli, Bilal alinunuliwa na Abu bakr tajiri wa enzi hizo huyu Abu bakr akamtoa Bilal zawadi kwa Muhammad awe mtumwa wake, bilal akawa anafuta muhammad kumtumikia popote anaenda , Muhammad kilivyo nuka akapewa sumu akafa , Bilal akarudi kwa Abu kumuomba amuachie awe huru , abu ndio akamuachia huru

nenda kasome ukianza kuweka kama sijakosea inamaana unabaatisha na una unga unga uongo
Haya tunayapa wapi ? Tuonyeshe tukasome, maana sisi katika vitabu vyetu havionyeshi kama swahaba Bilal alikuwa Mtumwa baada ta kukombolewa.

Kingine hilo tamko la "Kama sijakosea" halibadilishi ya kuwa Swahaba Bilal hakuwa mtumwa. Hata ningekuwa nimekosea kweli, haibadilishi ya kuwa swahaba alikombolewa.

Sababu weww ni mpotoshaji jibu maswali niliyo kuuliza.
 
Ungekuwa unasoma maandiko yako ukilaza kwenye maandiko ungekutoka, mbwa mweusi muhammad alisema ni mashetani

“I asked the Muhammad (ﷺ) about the all-black dog and he said: ‘(It is) a devil.’”
Kwanza kiri ya kuwa ile hadithi haionyeshi ubaguzi na ukiri ya kuwa ulitaka kupotosha nimekuumbua, hadithi inaongelea Mbwa weusi unakuja kuitumia kwenye ushanidi wa kuonyesha ubaguzi. Kijana utakuwa na matatizo ya akili, ndiyo maana ukawa Mkristo.

Hiki kipande ulitakiwa ukiweke chote. Usahihi ni kuwa Shetani wa kijini huwa wanapenda kujigeuza sana katika umbile la Mbwa mweusi na Nyoka mweusi.

Nasubiri majibu ya maswali yangu.
 
Ali Mufuruki alijenga Msikiti mkubwa na mzuri Kunduchi hakuna Kiongozi aliyeenda kuufungua!
Ukiona hivyo badi jua hawakula hata tsh 1 ya huo msikiti...
Maana wangeusimamia ungeishia kwenye msingi tu

Ova
 
Fugo...
Nitasemea Uislam kwa kuwa ndiyo dini yangu.

Mimi babu zangu hawakulazimishwa kunga Uslam na kumuamini Mungu Mmoja.
Walingia Uislam kwa khiyari zao wenyewe na si kwa kuwa ni wajinga.


Sisi Waislam hatuna lugha hiyo yako ya kupiga vita dini.
Uzoefu unaonyesha kuwa wenye fikra hizi ukiwachunguza utawakuta ni Wakristo.

Hawa hujitoa katika Ukristo kwa sababu zao na kuanza kupiga vita dini na wakautia Uislam katika hizo chuki zao.

Kwa kawaida hawa watautukana Ukristo lakini sharti na lazima pia waubughudhi Uislam.

Huyu ndugu yetu atambue kuwa katiba ya Tanzani iko wazi kabisa kuhusu dini.

Ikiwa yeye hakuridhika na Ukristo ambayo ndiyo dini yake hana sababu ya kushambulia dini nyingine.
@Mohamed Said Bado nashindwa kuamini kama mtu mwenye akili kama zako uko Tayari kutetea uislamu kwenye Jambo kama hili
 
Haya tunayapa wapi ? Tuonyeshe tukasome, maana sisi katika vitabu vyetu havionyeshi kama swahaba Bilal alikuwa Mtumwa baada ta kukombolewa.

Kingine hilo tamko la "Kama sijakosea" halibadilishi ya kuwa Swahaba Bilal hakuwa mtumwa. Hata ningekuwa nimekosea kweli, haibadilishi ya kuwa swahaba alikombolewa.

Sababu weww ni mpotoshaji jibu maswali niliyo kuuliza.
Nenda kasome kuhusu bilal ,
Jiangalie hapa rangi yako na utaenda wapi

Muhammad said: Allah created Adam when He had to create him and He struck his right shoulder and there emitted from it white offspring as if they were white ants. He struck his left shoulder and there emitted from it the black offspring as if they were charcoal. He then said (to those who had been emitted) from the right (shoulder): For Paradise and I do not mind. Then He said to those (who had been emitted) from his left shoulder: They are for Hell and I do not mind. Al-Tirmidhi Hadith - 38
 
Uchokozi mwingine hauna mantiki yoyote, mufti wa waislamu yupo hapo, Rais wa nchi yupo hapo, tatizo liko wapi?

Hao Waarabu ndio waliotowa mpunga wao ndio wenye umuhimu na hiyo picha kutunza kwenye kumbukumbu za events zao ili tajiri anayefadhiri hizo movement aendelee kutowa mpunga zaidi.
Sasa hapo kuna uchokozi gani kama sio inferiority complex yako
 
Kwanza kiri ya kuwa ile hadithi haionyeshi ubaguzi na ukiri ya kuwa ulitaka kupotosha nimekuumbua, hadithi inaongelea Mbwa weusi unakuja kuitumia kwenye ushanidi wa kuonyesha ubaguzi. Kijana utakuwa na matatizo ya akili, ndiyo maana ukawa Mkristo.

Hiki kipande ulitakiwa ukiweke chote. Usahihi ni kuwa Shetani wa kijini huwa wanapenda kujigeuza sana katika umbile la Mbwa mweusi na Nyoka mweusi.

Nasubiri majibu ya maswali yangu.
Hiki sio kipande ni hadith nyingine kuwa makini kijana ntaacha kukufundisha
Nilitaka kukuonesha muhmamad anvyochukia rangi nyeusi mpaka kwa mbwa tena kasema mbwa wote weusi ni mashetani
I asked the Muhammad (ﷺ) about the all-black dog and he said: ‘(It is) a devil.’”
 
Nenda kasome kuhusu bilal ,
Jiangalie hapa rangi yako na utaenda wapi

Muhammad said: Allah created Adam when He had to create him and He struck his right shoulder and there emitted from it white offspring as if they were white ants. He struck his left shoulder and there emitted from it the black offspring as if they were charcoal. He then said (to those who had been emitted) from the right (shoulder): For Paradise and I do not mind. Then He said to those (who had been emitted) from his left shoulder: They are for Hell and I do not mind. Al-Tirmidhi Hadith - 38
Kijana mambo hayaendi unavyoenda nayo hivyo.

Weka kwanza ushahidi kuhusu madai yako kwa Bilal.

Yaani, hili hujamaliza unaruka na hili, utavunjika mgongo dogo. Twende hatua kwa hatua.
 
Hiki sio kipande ni hadith nyingine kuwa makini kijana ntaacha kukufundisha
Nilitaka kukuonesha muhmamad anvyochukia rangi nyeusi mpaka kwa mbwa tena kasema mbwa wote weusi ni mashetani
I asked the Muhammad (ﷺ) about the all-black dog and he said: ‘(It is) a devil.’”
Nani amesema ni hadithi ile ile ? Hiki ni kipande, sababu hujaonyesha mpokezi na hujaweka rejea.

Kijana Uislamu siyo kama Ukristo wa kujaza jaza makorokoro. Weka jambo kwa ukamilifu.
 
Nani amesema ni hadithi ile ile ? Hiki ni kipande, sababu hujaonyesha mpokezi na hujaweka rejea.

Kijana Uislamu siyo kama Ukristo wa kujaza jaza makorokoro. Weka jambo kwa ukamilifu.
Kwa nini mandiko yako alafu unauliza tena , inaonesha husomi
 
Kijana mambo hayaendi unavyoenda nayo hivyo.

Weka kwanza ushahidi kuhusu madai yako kwa Bilal.

Yaani, hili hujamaliza unaruka na hili, utavunjika mgongo dogo. Twende hatua kwa hatua.
La bilal nenda kasome nimemaliza kuelezea story ilivyokuwa na kuweka wazi unapotosha

Jiangalie hapa rangi yako na utaenda wapi
Muhammad said: Allah created Adam when He had to create him and He struck his right shoulder and there emitted from it white offspring as if they were white ants. He struck his left shoulder and there emitted from it the black offspring as if they were charcoal. He then said (to those who had been emitted) from the right (shoulder): For Paradise and I do not mind. Then He said to those (who had been emitted) from his left shoulder: They are for Hell and I do not mind. Al-Tirmidhi Hadith - 38
 
Deen hii wenyewe ni warabu!
Anaetaka ushahidi huu hapa!
[emoji116][emoji116]
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
 
hadithi inayo ongelea kuuwa Mbwa, na ipo katika Mlango wa uwindaji. Sasa haoa utanyoosha maelezo.
Uwe unakumbuka kuwa muislam kunakufanya uwezo uwe mdogo sana na tunawaona mpaka madarasani
wewe hapa ulidai mbwa ipo kwenye mlango wa uwindaji nilivyo onesha uongo wako na kukwambia muhammad kasema mbwa wote weusi ni mashetani unaanza kurusha mateka, tulia dawa ukuingie
 
Nani amesema ni hadithi ile ile ? Hiki ni kipande, sababu hujaonyesha mpokezi na hujaweka rejea.

Kijana Uislamu siyo kama Ukristo wa kujaza jaza makorokoro. Weka jambo kwa ukamilifu.
Tunaendelea kijana
  • siku ya mwisho allah atawageuza watu wa mbinguni wawe weupe na wa motoni wawe weusi ,
    • 3:106 On the day (some) faces will be whitened and (some) faces will be blackened; and as for those whose faces have been blackened it will be said unto them) the angels in-charge of hell will say to them: (Disbelieved ye) in Allah (after your (profession of) belief?) in Allah. (Then taste the punishment for that ye disbelieved) in Allah.
 
Back
Top Bottom