Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Nimekuuliza swali rahisi unaleta stori tena badala ya kujibu swali. Jitahidi uwe unajibu swali ulilo ulizwa.
Kama ni rahisi kwanini usingejijibu mwenyewe ?

Unauliza ni nani aliandika historia ?, Unajua hata maana ya Historia ? Au unadhani kabla ya uvumbuzi wa maandiko kulikuwa hakuna historia ?

Tumeongelea sehemu yenye chanzo cha binadamu nikakwambia mabaki ya binadamu wa kale ya zamani zaidi yalipatikana East Africa kwahio hio premise ipo based na hizo findings na sio vinginevyo....
 
Kama ni rahisi kwanini usingejijibu mwenyewe ?

Unauliza ni nani aliandika historia ?, Unajua hata maana ya Historia ? Au unadhani kabla ya uvumbuzi wa maandiko kulikuwa hakuna historia ?

Tumeongelea sehemu yenye chanzo cha binadamu nikakwambia mabaki ya binadamu wa kale ya zamani zaidi yalipatikana East Africa kwahio hio premise ipo based na hizo findings na sio vinginevyo....
Kijana nimekuuliza swali rahisi unatakiwa ujibu,usilete stori zisizokuwa na msingi.

Sasa nijijibu mwenyewe ili iweje ?
 
Uchokozi mwingine hauna mantiki yoyote, mufti wa waislamu yupo hapo, Rais wa nchi yupo hapo, tatizo liko wapi?

Hao Waarabu ndio waliotowa mpunga wao ndio wenye umuhimu na hiyo picha kutunza kwenye kumbukumbu za events zao ili tajiri anayefadhiri hizo movement aendelee kutowa mpunga zaidi.

Tatizo liko wapi?! Huoni tatzo?
 
Hii nchi kuna dini wanajiona wamesoma sana na wao ndo wana uwezo wa kutoa viongozi kiongozi akiwa muislamu utasikia kila aina ya kejeli na mada za kipuuzi.

Labda Kiongozi anayefanya huo ujinga ametokea tu kuwa muumini wa Dini ya Kiislamu lkn haimaanishi kwamba ni against Islam au unaona ni sawa karne ya 21 kuja kujengewe nyumba za ibada na foreigners ?

Bado kwa umri huu unaamini vitu vya bure ? Yaani mtu atoke alikotoka, avuke Bara, nchi na bahari aje kukujengea wewe Msikiti wa Mabilioni bure tu ? Kwa lipi hasa ulilonalo ambalo wengine wote Dunia hii hawana ?

Besides hivi kuna Raisi aliyesemwa, kukejeliwa, kudharauliwa mpaka hata siajabu kuundolewa maisha kama Magufuli? Na Magufuli alisemwa na kushambuliwa na Wakristu na Waislamu pia!

Ulimsikia jinsi Zito Kabwe alivyomkejeli Magufuli hata baada ya kuwa tayari ameshafariki, uliwasikia jinsi Kikwete, Samia, Nape, Makamba, Membe wote wakimsema vibaya Magufuli hata baada ya kufariki ?

Niambie ni raisi gani Muislamu aliyefanyiwa alivyofanyiwa Magufuli ?
 
Picha ni msisitizo ya kuwa wao ndiyo wameujenga huo msikiti
Sasa we naniii unataka uwepo kwenye picha wakati hata mchanga na cement hujachangia,
Jengeni wenu alafu mpige picha mjazaneee ma Black

Ova
 
Siku nyingine uache kupotosha. Kazi yangu nimemaliza.

Ukileta tena ujinga na ukameme, napita na wewe kama hivi, mpaka utanyooka.
Unapita na nani , nimekwambia Muhammad alimudharau Bilal mtu mweusi kwa kumuita kichwa kama tende, hii dharau kwa watu weusi haikuishia hapo tu
 
Unapita na nani , nimekwambia Muhammad alimudharau Bilal mtu mweusi kwa kumuita kichwa kama tende, hii dharau kwa watu weusi haikuishia hapo tu
Sasa si uweke ushahidi kinachokushinda nini ? Sababu umezoea kupindisha maneno na kubadilisha maana kama walivyo mayahudi na wakristo wengine. Hii ni kawaida yako, kama ulivyoandika uongo kwenye kuhusu mtu mweusi hukuogopa ukaandika uongo kuhusu swahaba Bilal, ungejua nafasi ya Bilal katika Uislamu usingeandika ujinga na uongo huu.

Sasa mimi nasubiri uweke huo ushahidi.
 
Sasa si uweke ushahidi kinachokushinda nini ? Sababu umezoea kupindisha maneno na kubadilisha maana kama walivyo mayahudi na wakristo wengine. Hii ni kawaida yako, kama ulivyoandika uongo kwenye kuhusu mtu mweusi hukuogopa ukaandika uongo kuhusu swahaba Bilal, ungejua nafasi ya Bilal katika Uislamu usingeandika ujinga na uongo huu.

Sasa mimi nasubiri uweke huo ushahidi.
Wewe ni muongo bilal hakuwa swahaba alikuwa mtumwa ,muhammad alipewa zawadi, Muhammad kafa bilal akarudi kwa abu kumlilia kama mtoto amuachie huru
 
Ubinafsi na ujuaji wa wahaya ndio unaowaponza...hakuna wa kuruhusu hilo litokee hata mimi nisingekubali
 
Sasa si uweke ushahidi kinachokushinda nini ? Sababu umezoea kupindisha maneno na kubadilisha maana kama walivyo mayahudi na wakristo wengine. Hii ni kawaida yako, kama ulivyoandika uongo kwenye kuhusu mtu mweusi hukuogopa ukaandika uongo kuhusu swahaba Bilal, ungejua nafasi ya Bilal katika Uislamu usingeandika ujinga na uongo huu.

Sasa mimi nasubiri uweke huo ushahidi.
Issue ya Muhammad kuchukia watu weusi haikuishia kwa binadamu tu , mpaka viumbe wengine
apa anaamuru mbwa weusi wauawe anawachukia

Muhammad said: "If it were not that dogs were part of a nation among the nations, then I would order to that all of them be killed. So kill every one of them that is all black." Jami` at-Tirmidhi 1486
 
Wewe ni muongo bilal hakuwa swahaba alikuwa mtumwa ,muhammad alipewa zawadi, Muhammad kafa bilal akarudi kwa abu kumlilia kama mtoto amuachie huru
Swahaba maana yake nini ?

Umafikiri hii ni Biblia ya kujiongelea mnavyo taka ?
 
Back
Top Bottom