Ukiambiwa una kichwa kama tende sio dharau?Tuwekee hiyo Hadithi mtume alikuwa anamuita Swahaba Bilal, ana kichwa kama tende kisha tuone je alimdharau au ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiambiwa una kichwa kama tende sio dharau?Tuwekee hiyo Hadithi mtume alikuwa anamuita Swahaba Bilal, ana kichwa kama tende kisha tuone je alimdharau au ?
Fanya nilivyokwambia tuwekee hadithiUkiambiwa una kichwa kama tende sio dharau?
Kama ni rahisi kwanini usingejijibu mwenyewe ?Nimekuuliza swali rahisi unaleta stori tena badala ya kujibu swali. Jitahidi uwe unajibu swali ulilo ulizwa.
Kijana nimekuuliza swali rahisi unatakiwa ujibu,usilete stori zisizokuwa na msingi.Kama ni rahisi kwanini usingejijibu mwenyewe ?
Unauliza ni nani aliandika historia ?, Unajua hata maana ya Historia ? Au unadhani kabla ya uvumbuzi wa maandiko kulikuwa hakuna historia ?
Tumeongelea sehemu yenye chanzo cha binadamu nikakwambia mabaki ya binadamu wa kale ya zamani zaidi yalipatikana East Africa kwahio hio premise ipo based na hizo findings na sio vinginevyo....
Hiyo ni Bukoba KZ, Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania, KZ!
View attachment 2256996
Huo msikiti umejengwa na watu wa Oman ndio hao waliopo kwenye picha za kufungua.
Nadhani zilikuwepo picha nyingine zaidi zenye watu wa hapo
Uchokozi mwingine hauna mantiki yoyote, mufti wa waislamu yupo hapo, Rais wa nchi yupo hapo, tatizo liko wapi?
Hao Waarabu ndio waliotowa mpunga wao ndio wenye umuhimu na hiyo picha kutunza kwenye kumbukumbu za events zao ili tajiri anayefadhiri hizo movement aendelee kutowa mpunga zaidi.
Wewe Kisai una kichwa kama tendeFanya nilivyokwambia tuwekee hadithi
Hii nchi kuna dini wanajiona wamesoma sana na wao ndo wana uwezo wa kutoa viongozi kiongozi akiwa muislamu utasikia kila aina ya kejeli na mada za kipuuzi.
Kisai unakichwa kama tendeKwahiyo Mtume ndiyo alisema hivi ?
Weka Hadithi tusome wote.
Huyo mwenye ndevu nyingi wanafanana sana na viongozi wa Taleban walioko Afghanistan ana undugu nao nini?
Siku nyingine uache kupotosha. Kazi yangu nimemaliza.Kisai unakichwa kama tende
Unapita na nani , nimekwambia Muhammad alimudharau Bilal mtu mweusi kwa kumuita kichwa kama tende, hii dharau kwa watu weusi haikuishia hapo tuSiku nyingine uache kupotosha. Kazi yangu nimemaliza.
Ukileta tena ujinga na ukameme, napita na wewe kama hivi, mpaka utanyooka.
Sasa si uweke ushahidi kinachokushinda nini ? Sababu umezoea kupindisha maneno na kubadilisha maana kama walivyo mayahudi na wakristo wengine. Hii ni kawaida yako, kama ulivyoandika uongo kwenye kuhusu mtu mweusi hukuogopa ukaandika uongo kuhusu swahaba Bilal, ungejua nafasi ya Bilal katika Uislamu usingeandika ujinga na uongo huu.Unapita na nani , nimekwambia Muhammad alimudharau Bilal mtu mweusi kwa kumuita kichwa kama tende, hii dharau kwa watu weusi haikuishia hapo tu
Wewe ni muongo bilal hakuwa swahaba alikuwa mtumwa ,muhammad alipewa zawadi, Muhammad kafa bilal akarudi kwa abu kumlilia kama mtoto amuachie huruSasa si uweke ushahidi kinachokushinda nini ? Sababu umezoea kupindisha maneno na kubadilisha maana kama walivyo mayahudi na wakristo wengine. Hii ni kawaida yako, kama ulivyoandika uongo kwenye kuhusu mtu mweusi hukuogopa ukaandika uongo kuhusu swahaba Bilal, ungejua nafasi ya Bilal katika Uislamu usingeandika ujinga na uongo huu.
Sasa mimi nasubiri uweke huo ushahidi.
Issue ya Muhammad kuchukia watu weusi haikuishia kwa binadamu tu , mpaka viumbe wengineSasa si uweke ushahidi kinachokushinda nini ? Sababu umezoea kupindisha maneno na kubadilisha maana kama walivyo mayahudi na wakristo wengine. Hii ni kawaida yako, kama ulivyoandika uongo kwenye kuhusu mtu mweusi hukuogopa ukaandika uongo kuhusu swahaba Bilal, ungejua nafasi ya Bilal katika Uislamu usingeandika ujinga na uongo huu.
Sasa mimi nasubiri uweke huo ushahidi.
Swahaba maana yake nini ?Wewe ni muongo bilal hakuwa swahaba alikuwa mtumwa ,muhammad alipewa zawadi, Muhammad kafa bilal akarudi kwa abu kumlilia kama mtoto amuachie huru