Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Kwanza kiri ya kuwa wewe ni mpotoshaji na utuambie kwanini umekata hadithi na ukaweka maneno ya uongo. Ndiyo maana maandiko yenu yanawashinda kuyachambua kwa kupeleka uongo mbele na upotoshaji.

Kiri kwanza weww ni muongo na mzandiki. Hili swali ulilo uliza ni dogo sana na kuliko hicho ulichokifanya.

Ubaguzi unausema wewe, nakupa miaka mia uonyeshe ubaguzi wa mtume hutaweza. Mtume ndiyo amekuja kuondoa ubaguzi wa sampuli zake zote.

Lakini Hadithi haijataja sifa moja pekee ya weusi, bali imetaja na nyingine. Hili siyo jambo geni, hata wewe unaweza kumuelekeza mtu sifa ya mtu fulani kwa kutaja rangi yake, hii haimaanishi ubaguzi bali ili kumjua kwa wepesi muhusika.

Swali, kwanini wewe ni mzandiki namna hii, na huogopi ?
Hakuna uongo , nime weka kipisi nilichokusudia kufikisha , huwezi wachosha watu kusoma li Hadith li refu ,una hit the point na ujumbe umefikia Allah anawachukia watu weusi,
Muhammad pia alipewa zawadi ya binadamu mweusi anaitwa bilal awe mtumwa amemtesa huyu jamaa Mpaka siku muhammad amekufa ndio akarudi kwa Abu kuomba aachiwe kwa kisingizio Cha dini
Hadith zingine Inasema Allah alikuwa ana mpiga Adam wakitoka watu weusi anasema wanaenda motoni , nyingine inasema janah watu wote watafanywa weupe, Allah ni pure resist hii inaitaji niandae mada yake kabisa
 
Minaki, Pugu, Kilakala, Tabora boys, Kibiti, Weruweru, Kigonsera kwa uchache tu
Hizo shule zilitaifishwa na serikali, nioneshe leo shule ya mzungu watu wanasoma bure.

Hivi mnataka kutuaminisha Uarabuni hawana shule wala vyuo vikuu kuna misikiti tu? Wala hata hospitali hakuna?
 
Inasikitisha Sana sijaona la ajabu hapo Ila mtu analeta maada kukashifu!

Mtihani wallahi!!mbona wengine hatuko hvyoo!!always negativity about Islam kaahh!
Wanapata taabu Sana!watakufa wakiwa wamechoka sana
Dini wanazifata kwa mihemko.
 
Hakuna uongo , nime weka kipisi nilichokusudia kufikisha , huwezi wachosha watu kusoma li Hadith li refu ,una hit the point na ujumbe umefikia Allah anawachukia watu weusi,
Muhammad pia alipewa zawadi ya binadamu mweusi anaitwa bilal awe mtumwa amemtesa huyu jamaa Mpaka siku muhammad amekufa ndio akarudi kwa Abu kuomba aachiwe kwa kisingizio Cha dini
Hadith zingine Inasema Allah alikuwa ana mpiga Adam wakitoka watu weusi anasema wanaenda motoni , nyingine inasema janah watu wote watafanywa weupe, Allah ni pure resist hii inaitaji niandae mada yake kabisa
Fanya nilichokuambia acha kupoteza muda.
 
Nikisha ona unadai unakitu au Kuna swali najua nimeshamaliza kazi , ila Allah ni resist
Safi uzuri, uongo wako tushauweka hadharani, hatushughuliki na wewe.

Ukileta uongo kama kawaida yangu, nakuja kufanya kama nilivyo fanya. Nakufichua tu.
 
Safi uzuri, uongo wako tushauweka hadharani, hatushughuliki na wewe.

Ukileta uongo kama kawaida yangu, nakuja kufanya kama nilivyo fanya. Nakufichua tu.
Hakuna ongo wowote , msg ni ile ile Allah kasema anachukia mtu mweusi , Wewe umefanya kujaza server tu lakina ujumbe ni ule ule , Yani ukifikiria naweza kuandika Hadith number ya Nini

Kuzarau watu weusi muhammad alikuwa ndio kinara , na ulikuwa anamwita mtu mweusi Bilal anakichwa kama Cha tende
 
Hii Historia kwa mara ya kwanza iliandikwa na nani ?

Historia gani isiyo kuwa na chain ? Nyinyi ndiyo mnafanya sisi waafrika tuonekane hatuna akili.
Historia pia sayansi inafuata known facts, research na findings hata wewe leo ukija na data zako plus facts kwamba binadamu alitokea kwenye udongo au mavumbi basi theory yako itakubaliwa..., Mafuvu yaliyopatikana sehemu tofauti tofauti na kupima miaka yake, katika hizo sehemu za East Africa ndio yaliyopatikana mazee zaidi..., sasa kama wewe una findings tofauti ziweke wazi basi watu watakubaliana na wewe...

Huo ndio uzuri wa sayansi hakuna kona kona.....
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Ukweli

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Dini wanazifata kwa mihemko.
Ndo shida ilipo!
Ila siye tumeambiwa hivi
Haubudu ninachoabudu na Wala sitaabudu mnachoabudu
Wewe una dini yako na Mimi nna dini yangu
Huwaga naishiaga hapo tu miye,so sipendi kubishana
 
ukweli ambao umeshindwa kuuweka kama unavyofanyaga?
Okw...
Ukweli ninaotaka wewe uujue ni wewe usome historia hii uwe na maarifa.

Mimi nimeandika vitabu kadhaa, papers na nimezungumza katika Vyuo Vikuu katika historia ya Tanganyika.

Kwa ajili hii nalijua hili somo.

Ili nawe uwe na maarifa katika somo hili inabidi uutafute ukweli kwa kusoma.

Uwanja huu ni mdogo mtu kuweza kusomesha yote.
 
Sidhani kama wanafundishia
kwenye nyumba za ibada huko ulikokutaja. Kuna mambo ya
kijamii na ya kiimani. Sa karate
na imani ya Mungu wapi na
wapi?
Karate haihusiani na imani yao hakuna palipoelezwa karate kwenye mafundisho yao hivyo ukiona wanacheza karate ni mazoezi au michezo kama michezo mengine, halafu ni kitu chenye kufanyika na misikiti michache katika maelfu ya misikiti iliyopo. Hivyo ni sawa na kuwaona wanafanya mazoezi mengine tu hivyo sijui tatizo ni lipi? Hatujawahi kusikia kundi la kigaidi lenye kutumia karate kufanya ugaidi au kundi tu la kihalifu la waislamu lenye kupiga watu karate.
 
Hii nchi kuna dini wanajiona wamesoma sana na wao ndo wana uwezo wa kutoa viongozi kiongozi akiwa muislamu utasikia kila aina ya kejeli na mada za kipuuzi.
 
Historia pia sayansi inafuata known facts, research na findings hata wewe leo ukija na data zako plus facts kwamba binadamu alitokea kwenye udongo au mavumbi basi theory yako itakubaliwa..., Mafuvu yaliyopatikana sehemu tofauti tofauti na kupima miaka yake, katika hizo sehemu za East Africa ndio yaliyopatikana mazee zaidi..., sasa kama wewe una findings tofauti ziweke wazi basi watu watakubaliana na wewe...

Huo ndio uzuri wa sayansi hakuna kona kona.....
Nimekuuliza swali rahisi unaleta stori tena badala ya kujibu swali. Jitahidi uwe unajibu swali ulilo ulizwa.
 
Hakuna ongo wowote , msg ni ile ile Allah kasema anachukia mtu mweusi , Wewe umefanya kujaza server tu lakina ujumbe ni ule ule , Yani ukifikiria naweza kuandika Hadith number ya Nini

Kuzarau watu weusi muhammad alikuwa ndio kinara , na ulikuwa anamwita mtu mweusi Bilal anakichwa kama Cha tende
Sasa hakuna uongo wakati uongo wako umefichuliwa na hiyo Hadithi. Yaani utaendelea kuonekana muongo na mzushi mpaka unakufa.

Tuwekee hiyo Hadithi mtume alikuwa anamuita Swahaba Bilal, ana kichwa kama tende kisha tuone je alimdharau au ?
 
Back
Top Bottom