Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jengo zuri sana ila watani zangu watatandika mikeka ya kukata na shoka humooo 🙁Uchokozi mwingine hauna mantiki yoyote, mufti wa waislamu yupo hapo, Rais wa nchi yupo hapo, tatizo liko wapi?
Hao Waarabu ndio waliotowa mpunga wao ndio wenye umuhimu na hiyo picha kutunza kwenye kumbukumbu za events zao ili tajiri anayefadhiri hizo movement aendelee kutowa mpunga zaidi.
Sasa karekebishe ulichokiandika.Mwislamu.
Nirekebishe nini? Una akili timamu wewe?Sasa karekebishe ulichokiandika.
Kama hujui kitu kaa kimya.Wameshajenga shule ngapi za kusoma Watanzania wote?
Kwa karne ya sasa mgeni kutujengea nyumba ya ibada ni aibu, hakuna kitu kirahisi kama kujenga nyumba za ibada ni nguzo na kuta tuu, wenzetu walishaachana na hilo la kujengewa nyumba za ibada na wageni wanachanga wenyewe na wanafanikiwa.
Nchi yetu sio maskini mpaka kupewa msaada wa nyumba ya ibada, kwanza haina thawabu ni sawa sawa na mtu mwenye mikono miwili kuomba hela ya sadaka.
Tutumie sadaka zetu kujenga nyumba za ibada ni sio kujengewa na wageni,
Ila mmegundua watu wana chuki Sana na uislam!yaani humu tunachekewa kinafiki inshort hawatupendi asilani!!!Sasa unataka ukae kwenye picha wakati hukuwepo hata kwenye uchangiaji wa ujenzi.
Hata kwenye ndoa, si huwa wanaenda wanakamati pale[emoji1787]
Wadanganye wajinga.RACISM.
Bahati mbaya Sana kwenye UISLAM hicho kitu HAKIPO
Kuna waswahili wamepata pa kulala na wengine wamepata mageti ya kuombea misaadaSasa watakao kuwa wakiswali hapo ni Waoman au Wahaya? Mkuu naona haipendezi hao representative wa hilo tukio kuwa karibu 98% wageni.
Ingekuwa msikiti wa Bohora tungeelewa maana Bohora natives wapo wachache sana. Au hawapo kabisa
Mzee Said sikuoni kwenye pichaNdugu zangu,
Mtu anapotaka kujadili jambo lolote nI vyema akafanya utafiti kwanza.
Hao ni viongozi wa Ibadh na asili yao ni Oman.
Mfano mzuri ni huu wa Greek Othodox Church (Hellenic).
Kanisa lao lipo Ali Hassan Mwinyi Road.
Itashangaza kuuliza kwa nini katika kanisa lao hakuna Waingereza.
Minaki, Pugu, Kilakala, Tabora boys, Kibiti, Weruweru, Kigonsera kwa uchache tuNioneshe shule ya mzungu wanayosoma watoto bure.
Nani kakwambia hivyo?Tuliaminishiwa msikiti sio kanisa kusema ni mali ya fulani. Bali wakishajenga inakua mali ya waumini wote. Ingependeza waumini wakawepo hapo
Marashi,Mzee Said sikuoni kwenye picha
Unataka ubabaike na nini? Wewe ambae sio mlowezi umetusaidia nini sasaWote wa kuja tu hao. Ko tubabaike na walowezi sisi?
Na Mwalimu Nyerere alionya kwamba ukishaanza kula nyama ya MTU ujue hautoiacha tena !! Ubaguzi wa aina yeyote ile iwe ni ya dini au ya rangi haitoishia hapo !! Itafuatiwa na baguzi nyingine na nyingine na nyingine !! Tujiepushe na UBAGUZI UBAGUZI WA AINA YEYOTE ILE !!!Katika upuuzi wa hizi dini,muhaya muislam wa murongo border,anajiona yupo Karibu zaidi na muislam wa Zenj,kuliko ndugu yake wa hapo hapo kijijini ambaye ni mkristo
Naomba unijibu hili swali?Ni mjinga pekee atakaye ukubali huu ujinga, kuna Uislamu na kuna uarabu. Hivi vitu huwa mnashindwa kuvitofautisha.
Mababu zako kabla ya kufikiwa na dini walikuwa wanaishi vipi ? Walikuwa na vaaje walikuwa wanapeana majina kwa kufata misingi gani ? Watu wanaitana majina Shida, Matatizo.
Embu tuambieni au tupeni ubora wa tamaduni zenu za kiafrika dhidi ya dini,mfano wa dini ya Uislamu.
Wajinga pekee wanalilia "Identity" bali wenye akili wanawaza itakuwaje baada ya kifo chao ? Wenye akili wanajiuliza kwanini wameumbwa ?
Misingi ya mababu zako ilikuwa ipi na ubora ulikuwa upi ?
Ubaguzi ni Ujinga !!Ila mmegundua watu wana chuki Sana na uislam!yaani humu tunachekewa kinafiki inshort hawatupendi asilani!!!
Wamuwekea hapo achafue picha za watu bure..huyo mzee ni chawa tu hana la maana..ni kijakazi wao...anatumika.Mzee Said sikuoni kwenye picha
Ujinga uliopo duniani kwa wakati huu - huko India kijana mmoja amefungua kesi Mahakamani anawashitaki wazazi wake kwanini walimzaa bila ridhaa yake !! Salaaleeh !! Huko ndiko tunakoelekea !! " The more the people becomes educated the more the world becomes Stupid " !!Naomba unijibu hili swali?
Kabla ya kuzaliwa na kupata ufahamu hapa duniani ulikuwa wapi na ulikua unafanya nini?
#MaendeleoHayanaChama