Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Ka

Kama siyo vya bure maana yake vya kulipia,vya kulipia maana yake vinauzwa,kuuza maana yake biashara..umeelewa ewe ngamia!!?..hiyo biashara ya huduma wanafanya Hadi leo..wanauza elimu,afya Kama wakoloni wenzao wanaoendelea kuchukua malighafi leo..pamba,kahawa nk

Ewe mbuzi inatakiwa uelewe kua wahudumu wa kutoa hizo huduma lazima wapate malipo kwa ajili ya kuendeleza maisha wapi uliona kuna huduma za bure nchi hii maana nyinyi hamna taasisi kama zile za kanisa zaidi ya tuvituo kobazi tuchache natwenyewe huduma sio bule kuna malipo, mkoloni wa kizungu alijenga mashule, mahospitali, reli, viwanda vikubwa, barabara, madaraja, makanisa, miundombinu ya umeme, vyuo na kadharika na huzuri vipo mpk leo na mnavitumia pia, tatizo umevimbiwa irabu za kiarabu mbuzi wewe.
 
Waislam wa Tanzania wanakula chakula gani Cha kiarabu!?..mwarabu anakula viazi vitamin,kisamvu Cha karanga na matobolwa Kama mnyamwezi wa tabora!?..aliyekwambia mitume/manabii hawakutokea afrika Bali mashariki ya Kati tu Nani!?..
Ahsannte kwa ufafanuzi,lakini Je unaweza kututajia ndani ya mafundisho ya kiislam ni mtume gani alikua Mwafrika au mtu mweusi?,na kwenye swala zima la mambo ya milo na tamaduni za mavazi naomba usiangalie waislam waliopo kijijini Namichiga na Mbekenyera Ruangwa ambao hali zao za maisha ni hoi taabani,angalia walioko mijini ambao kwangu ndio mabingwa wa kuiga.

Ona mfano,wakati wa mfungo neno futari tafsiri yake ni mlo baada ya kufungua swaumu,sasa kinachowafanya watu wale vyakula laini na venye mfafanano na milo ya mabwanyenye ya kiarabu yaliokuwepo ukanda wa Pwani ni nini?,kwanini kama kufungua swaumu ni kula vipi tusile milo yetu tulioizoea kwenye maisha yetu?,lakini sharti chapati kidogo,uji wenye manukato ya abdalasin,mchanganyiko wa vyakula vya nafaka (maarufu futari) yote yanafanywa kwa sababu gani?.

Naomba majibu tafadhali!!!
 
Ndugu zangu,
Mtu anapotaka kujadili jambo lolote nI vyema akafanya utafiti kwanza.
Hao ni viongozi wa Ibadh na asili yao ni Oman.

Mfano mzuri ni huu wa Greek Othodox Church (Hellenic).
Kanisa lao lipo Ali Hassan Mwinyi Road.

Itashangaza kuuliza kwa nini katika kanisa lao hakuna Waingereza.
Mungu wao haruhusu Mwingereza kuwa katika kanisa hilo?

Na kama hivyo ndivyo, hilo kanisa litakuwa la nini mahali ambapo Wagiriki hawapo kwa wingi?
 
Kumbe msikiti wenyew ndo mzr hiv
OTMI2965.jpg
OTMI2970_1.jpg
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Hiyo nguvu ya kuchoma Misikiti unayo? Wewe kula, kunywa, nenda haja kalale usubiri kufa. Eti urudi kwenye misingi ya babu zako, misingi gani hiyo?

Halafu jielimishe, Taleban ni Wa Pashtun na sio Waarabu.
 
Muafrika akiwa tajiri, mfano marehem mzee Mengi, anakuwa tishio kwa watawala na wanafanya kila hila kuangusha matajiri wa kiafrika waliopo na kuzuia wasiibuke wengine pia! 😅

Nakuunga mkono kwa 100%, baada ya Mengi kufariki hakuna tajiri yoyote Mfanyabiashara wa maana mweusi Tanzania, Mengi alipambana lkn watumwa hawakumpa support wengine walikuwa upande wa Wahindi na Waarabu against Mzee Mengi.

Sasa hivi kuna Mtanzania gani asilia Mfanyabiashara mwenye Makampuni kama ya IPP ? Viongozi weusi wanazidi kumtajirisha Rostamu, Dewji & Co. eti ni Watanzania, tangia lini Muhindi akajiona Mwafrika ? Manji yuko wapi? Kwanza hata Rostamu mwenyewe nasiki hata haishi Bongo tena.

Sisi wenyewe ndio maadui wa Nchi yetu na Bara letu!
 
Umeeleza kwa ufasaha sana kuhusu mapokeo ya hizi imani za kuja kwa majahazi na manowari, kweli sisi wenyeji wa bara hili la Afrika ni watu pekee wa dunia hii kuwa wapokeaji wa dini hizi mbili.

Hili huwezi kukulikuta katika bara jingine zaidi ya bara Afrika labda unaweza kusema hata kule Latin Amerika lakini kule kuna wahamiaji wengini wa kutoka Spain, Italy, German, Lebanon, Syria na watumwa toka Afrika lakini huku kwetu hakuna hilo lakini ndiyo limekuwa bara la kugombaniwa kusilimishwa au kubatizwa kwa majina ya kigeni, kuvadilishwa tamaduni, desturi na mila hata zili zilizo nzuri za uzazi wa mpango tunazitupa n.k
Ulaya pia ukristo na uislam umeingia kutokea mashariki ya Kati!
 
Huo msikiti umejengwa na watu wa Oman ndio hao waliopo kwenye picha za kufungua.

Nadhani zilikuwepo picha nyingine zaidi zenye watu wa hapo
Msikiti umejenga na waarabu wa Oman kwaajili ya waarabu wa Tanzania.
 
Nioneshe shule ya mzungu wanayosoma watoto bure.
Zipo nyingi. Kama upo mkoa wa Pwani, kule kuna shule inaendeshwa na masista Visiga. Mtoto anapewa kila kitu, mpaka mavazi ya nyumbani, na wanapewa mpaka fedha ya nauli ya kuendea likizo.

Qualifications:

1) mtoto awe msichana
2) awe na uwezo mkubwa wa kimasomo
3) awe anatoka familia zenye kipato duni/familia maskini.
 
Hakuna MTU yeyote hapa Tanganyika au Tanzania ambaye aliteremshwa moja kwa moja toka mbinguni !! Wote ni wahamiaji tu !! Kwanza tujiulize kwani binaadamu wa kwanza alianza anzaje hapa duniani ??!! Walikuwa wanazuka tu katika kila nchi au ilikuwaje hasa ??!!
Binadamu (Homo Sapiens) arguably walianzia East Africa (historically) Olduvai Gorge might be one of the place
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Utakuta salaam zao hasa waislam utawasikia amani iwe kwenu ikitamkwa kwa kiarabu, hapo ndo utaelewa kwanini waafrika wengi hasa wabantu waislamu lugha zao hawazijui.
 
Back
Top Bottom