Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ka
Kama siyo vya bure maana yake vya kulipia,vya kulipia maana yake vinauzwa,kuuza maana yake biashara..umeelewa ewe ngamia!!?..hiyo biashara ya huduma wanafanya Hadi leo..wanauza elimu,afya Kama wakoloni wenzao wanaoendelea kuchukua malighafi leo..pamba,kahawa nk
Ahsannte kwa ufafanuzi,lakini Je unaweza kututajia ndani ya mafundisho ya kiislam ni mtume gani alikua Mwafrika au mtu mweusi?,na kwenye swala zima la mambo ya milo na tamaduni za mavazi naomba usiangalie waislam waliopo kijijini Namichiga na Mbekenyera Ruangwa ambao hali zao za maisha ni hoi taabani,angalia walioko mijini ambao kwangu ndio mabingwa wa kuiga.Waislam wa Tanzania wanakula chakula gani Cha kiarabu!?..mwarabu anakula viazi vitamin,kisamvu Cha karanga na matobolwa Kama mnyamwezi wa tabora!?..aliyekwambia mitume/manabii hawakutokea afrika Bali mashariki ya Kati tu Nani!?..
Muafrika akiwa tajiri, mfano marehem mzee Mengi, anakuwa tishio kwa watawala na wanafanya kila hila kuangusha matajiri wa kiafrika waliopo na kuzuia wasiibuke wengine pia! 😅Swali moja, kwa nini imekuwa hivyo.
Mungu wao haruhusu Mwingereza kuwa katika kanisa hilo?Ndugu zangu,
Mtu anapotaka kujadili jambo lolote nI vyema akafanya utafiti kwanza.
Hao ni viongozi wa Ibadh na asili yao ni Oman.
Mfano mzuri ni huu wa Greek Othodox Church (Hellenic).
Kanisa lao lipo Ali Hassan Mwinyi Road.
Itashangaza kuuliza kwa nini katika kanisa lao hakuna Waingereza.
Hapo hata ukichakaa wataomba msaada wafanyiwe marekebisho madogo madogo hata bili za maji na umeme lazima waombe walipiwe.Kumbe msikiti wenyew ndo mzr hiv View attachment 2257684View attachment 2257685
Hiyo nguvu ya kuchoma Misikiti unayo? Wewe kula, kunywa, nenda haja kalale usubiri kufa. Eti urudi kwenye misingi ya babu zako, misingi gani hiyo?Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.
Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Muafrika akiwa tajiri, mfano marehem mzee Mengi, anakuwa tishio kwa watawala na wanafanya kila hila kuangusha matajiri wa kiafrika waliopo na kuzuia wasiibuke wengine pia! 😅
Nimeandika kepu sio kapu.Faza krismas anavaa kepu? Au hujui kepu ni nini?
Ulaya pia ukristo na uislam umeingia kutokea mashariki ya Kati!Umeeleza kwa ufasaha sana kuhusu mapokeo ya hizi imani za kuja kwa majahazi na manowari, kweli sisi wenyeji wa bara hili la Afrika ni watu pekee wa dunia hii kuwa wapokeaji wa dini hizi mbili.
Hili huwezi kukulikuta katika bara jingine zaidi ya bara Afrika labda unaweza kusema hata kule Latin Amerika lakini kule kuna wahamiaji wengini wa kutoka Spain, Italy, German, Lebanon, Syria na watumwa toka Afrika lakini huku kwetu hakuna hilo lakini ndiyo limekuwa bara la kugombaniwa kusilimishwa au kubatizwa kwa majina ya kigeni, kuvadilishwa tamaduni, desturi na mila hata zili zilizo nzuri za uzazi wa mpango tunazitupa n.k
Msikiti umejenga na waarabu wa Oman kwaajili ya waarabu wa Tanzania.Huo msikiti umejengwa na watu wa Oman ndio hao waliopo kwenye picha za kufungua.
Nadhani zilikuwepo picha nyingine zaidi zenye watu wa hapo
Ulaya pia ukristo na uislam umeingia kutokea mashariki ya Kati!
Zipo nyingi. Kama upo mkoa wa Pwani, kule kuna shule inaendeshwa na masista Visiga. Mtoto anapewa kila kitu, mpaka mavazi ya nyumbani, na wanapewa mpaka fedha ya nauli ya kuendea likizo.Nioneshe shule ya mzungu wanayosoma watoto bure.
Nchi imeishauzwa kwa waarabu. Keshokutwa anaenda uarabuni kuchukua chake. Maccm kama mazuzu yanashangilia tuHiyo ni Bukoba KZ, Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania, KZ!
Ndio nasikia Leo labda nikipata muda nimpitie shehe anipe mawili matatuMbona kuna imam kabisa mwanamke?
Sijui kama umeelewa nilicho uliza hapokwa hyo ulitaka Samia akatae kuwa rais ?
Binadamu (Homo Sapiens) arguably walianzia East Africa (historically) Olduvai Gorge might be one of the placeHakuna MTU yeyote hapa Tanganyika au Tanzania ambaye aliteremshwa moja kwa moja toka mbinguni !! Wote ni wahamiaji tu !! Kwanza tujiulize kwani binaadamu wa kwanza alianza anzaje hapa duniani ??!! Walikuwa wanazuka tu katika kila nchi au ilikuwaje hasa ??!!
Utakuta salaam zao hasa waislam utawasikia amani iwe kwenu ikitamkwa kwa kiarabu, hapo ndo utaelewa kwanini waafrika wengi hasa wabantu waislamu lugha zao hawazijui.Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.
Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.