Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Wewe ndio unaona hivyo lkn wao ni Waarabu na hata wao wanajichukulia hivyo na kuishi hivyo pia, familia na rafiki zao ni Waarabu pia ila wewe kwa sababu ya kujipendejeza kwa mtu asiyekuthamini unawaona wao ni sawa na wewe, inferiority complex inaitwa hiyo, uko rejected lkn bado unajipeleka!

Aisee!!😁 wakitajagwa waarabu huwa povu linawatoka sana. Why???

Ingelikuwa ndio wale jamaa zenu waabudu sanamu la ukutani ndio wanafungua kanisa msingetokwa povu. Ila kwakua ni waarabu/waislamu povu hiloooo.

Hawatakuwa radhi mayahudi na wakristo mpaka mfuate mila zao

Machallah waarabu Allah aendelee kuwapa zaidi na zaidi, wametujengea misikiti mizuri, zahanati, mashule, visima watu wanapata maji n.k. Istiqama Allah awalipe zaidi na zaidi machallah.
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Na kitu ambacho Wazungu na Waarabu walicheza sana na akili zetu ,ni kutuletea hizi dini zao,Daa Mungu aingilie kati.
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Haaaaa haaaaaa ningetamani utembelee waislamu wa ki haya pale bukoba. Wanashinda kwenye Kahawa daily Ati ni waarabu .hafu Muslim hasa wa Zenj wako so brain washed ni Watupu light skin wanaona ndo Kila kitu wao wanasema rangi ya mtume yakhe .
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Baada ya Anglican-yaani church of England kusimika askofu wa kwanza shonga-waangilikana wa kanda ya ziwa akiwemo wasukuma, waha, wagogo, waangaza wakapitisha azimio la kuwataka ati waingereza waondoke wawaachie dini yao- nilishangaa sana.
 
Haaaaa haaaaaa ningetamani utembelee waislamu wa ki haya pale bukoba. Wanashinda kwenye Kahawa daily Ati ni waarabu .hafu Muslim hasa wa Zenj wako so brain washed ni Watupu light skin wanaona ndo Kila kitu wao wanasema rangi ya mtume yakhe .
Hayati Maalim Seif alipita humohumo hahahahahhhh
 
Mjinga...
Inabidi tuwasomeshe hawa ndugu zetu historia ya Uislam.
Mtume SAW anaogoza sala nyuma yake kasimama Bilal, mtu mweusi kutoka Ethiopia.

Mpaka 1964 Amerika mtu mweusi alikuwa hawezi kuingia kanisa la watu weupe.
Maskini ya Mungu hawajui historia chuki dhidi ya Uslam zimewatia upofu.
Hii ni sababu kubwa ya watu weusi kuendelea kuwa vituko ulimwenguni, kwa asilimia 100 akili zetu ni tegemezi (Haziwezi kuamua au kujitegemea katika maamuzi kama binadamu wengine!) Mzee Unatoa mifano ya ajabu kabisa huku ukiwapa credit waarabu sababu waliwapenda weusi! kitu ambacho si kweli hata kidogo na kuwabeza wazungu kisa hadi 1964 walikuwa na ubaguzi madarasani! Ukweli ni kwamba katika historia ya mtu mweusi hakuna Race iliyokuwa kuwa rafiki na watu hawa. Wamekuwa wakifananisha na takataka na binadamu wote ulimwenguni. kwa sasa sisi weusi ni sawa na wafu maana hatuna maamuzi (freedom) kamili katika maisha yetu maana tunatawaliwa kiakili kwenye Dini, uchumi, na jamii. Tujipe pole kubwa! Mtu badala ya kujifunza historia za ndugu zako na kizazi chako unaenda kujifunza historia za watu wa saudi arabia!? au Ulaya? au America! Kweli vichwa vyetu vina bonge la Mav** ndani.
 
Rangi ya mtu yeyote uzuri au ubaya wa sura hauna maana yoyote katika uislam ndo maana katika ibada wanasimama kwa kuchanganyika muhindi,muarabu,muafrika,mlemavu,mtoto,tajiri au maskini suala la kuzingatia rangi hilo ni la kwako binafsi ila katika uislam halina maana yoyote

Mpiga adhana wa kwanza katika uislam anaitwa Bilal ni mtu mweusi mwenye asili ya Ethiopia na alichaguliwa na mtume Muhammad mwenyewe kwahiyo uislam hauna suala kuthamini rangi ya ngozi wala sura hilo ni la upande wa pili ndo maana mnalitafsiri kila sehem
Nipe namba ya Bilal ,usije ukawa unatufunga kamba hapa .
 
Huyo mwenye ndevu nyingi wanafanana sana na viongozi wa Taleban walioko Afghanistan ana undugu nao nini?
Wee jamaa una ufala mwingi Sana siku ukijichanganya anga zangu nakupiga bomu la atomic ha ha
 
Machallah waarabu Allah aendelee kuwapa zaidi na zaidi, wametujengea misikiti mizuri, zahanati, mashule, visima watu wanapata maji n.k. Istiqama Allah awalipe zaidi na zaidi machallah.

Kwa hiyo wewe allah amekunyima ? Kwa nini akujengee Binadamu mwingine na siyo wewe kujijengea ? Mungu alikuumba ili uje kujengewa?
 
Ndugu zangu,
Mtu anapotaka kujadili jambo lolote nI vyema akafanya utafiti kwanza.
Hao ni viongozi wa Ibadh na asili yao ni Oman.

Mfano mzuri ni huu wa Greek Othodox Church (Hellenic).
Kanisa lao lipo Ali Hassan Mwinyi Road.

Itashangaza kuuliza kwa nini katika kanisa lao hakuna Waingereza.
Nakazia Bilal ndio alikuwa Muazini au mpiga adhana wa msikiti wa mtume na alikuwa miongoni mwa watu wake aliowapenda zaidi ...licha ya kuwa mweusi..
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Kiongozi nakupa kongole sana kwa kugusa mahala sahihi kwenye suala nyeti sana la kiimani.Kiufupi wakoloni wote walioleta Imani za kidini kwetu sisi watu weusi wamefanikiwa jambo moja kuu la kutokomeza uhasilia wetu.Jambo la imani ni swala la kiroho,lakini sisi Waafrika kwa upungufu wa fikra tumeporwa hadi utambulishe wetu!!.

Leo hii tazama kwa mfano,wale waliokubali uislam basi wamekariri kila kitu,majina kuvaa,kuongea,kutembea,na kila kitu kutoka kwa waarabu,na wale waliopokea imani za Kikristo,basi nao wamecopy vyote.Waafrika tusipozinduka sasa,basi baada ya miaka 100 ijayo tunarudi utumwani zaidi ya utumwa wa mwanzoni!!!.
 
Mungu ni mmoja hakujawahi kuwa na Mungu mwingine Zaid yake.

Alikuwepo kabla ya dunia, alikuwepo baada ya dunia na atabakia.

kwa hyo kea namna yoyote lazma ningemjua Mungu huyu wa Quran na biblia
Unaamini Mungu huyu kwa vile umefundishwa na dini hizi, vinginevyo ungemjua kwa namna nyingine…. kama ni huyu au mwingine.

Ustaarabu ni tafsiri ya nyakati, leo teknolojia imekuletea 'ustaarabu' mwingine.
 
Ka
Acha uongo mkuu ulitaka vya bure au hujui huduma zinalipiwa, waarabu walijenga nini zaidi ya kambi ndogo ndogo ziitwazo misikiti kwa ajili ya kuwasomesha urabu za kiarabu, shule ipi imechomwa moto au unazungumzia yale mabanda ya ngamia yene mfumo mbovu wa umeme.
Kama siyo vya bure maana yake vya kulipia,vya kulipia maana yake vinauzwa,kuuza maana yake biashara..umeelewa ewe ngamia!!?..hiyo biashara ya huduma wanafanya Hadi leo..wanauza elimu,afya Kama wakoloni wenzao wanaoendelea kuchukua malighafi leo..pamba,kahawa nk
 
Mjinga...
Inabidi tuwasomeshe hawa ndugu zetu historia ya Uislam.
Mtume SAW anaogoza sala nyuma yake kasimama Bilal, mtu mweusi kutoka Ethiopia.

Mpaka 1964 Amerika mtu mweusi alikuwa hawezi kuingia kanisa la watu weupe.
Maskini ya Mungu hawajui historia chuki dhidi ya Uslam zimewatia upofu.
Kaka yetu Mohammed Said,pole sana kwa kuguswa na swala linalohusu iman,kwa mtu yoyote ni lazima liguse hisia zake!!.

Lakini hebu tujaribu kuacha mihemko na turudi kwenye uhalisia,hivi ni jambo gani kubwa linalotuponza sisi watu weusi (Waafrika) kukubali kupokea mafundisho ya kiiman na kutupa kila chetu tulichonacho?,yaani ilivyo,wale walioupokea uislam basi wamegeuka kuwa waarabu pure kasoro rangi tu,kula,kuvaa,majina,na mienendo yote ya maisha.

Na pia hata wengine nao waliopokea upande mwingine nao ni hivyo hivyo,majina,kuongea na mambo yote ya kijamii ni wazungu tu kasoro rangi!!.

Sasa kaka Said,kuamini ni jambo huru (sheria za duniani) na kila mtu anayo haki kuamini apendacho ili mradi iwe kwa ridhaa yake.Kwa upande wangu,dini zote za mapokeo kutoka kwa wakoloni hakuna hata moja iliyo na afya kwa mustakabali wa mtu mweusi kwa siku za usoni!!.

Sababu sioni mantiki,iweje mungu awe ni huyo huyo alieumba ulimwengu wote,sasa kivipi afanye upendeleo kwa wazungu na waarabu eti kuja kutufundisha sisi kumuhusu yeye?,waislam kwenye iman yao wana mitume zaidi ya 125,lakini wote waliteremshwa kwao!!!.Ok tuyaache hayo,maswala ya iman ni mambo ya kiroho,sasa iweje tunaporwa hadi utambulisho (Identity) wa Kiafrika?.

Leo hii kwenye jamii ya mtu mweusi ukizaa mtoto na ukampa jina lenye utambulisho wa Kiafrika,mfano Kitupa,Gumbizi,Marwa,Nalyoto,na mengineyo ya kiasili basi utachekwa na kila mtu kwa kumpa mtoto jina la maajabu na la hovyo.Mtoto mpe jina la Mohammed,Rujaina,Islam,Yussuf,Joseph,Anjel, Good luck na mengine kama hayo ndio utaonekana umeendelea na unakwenda na wakati!!.

Tuamke watu weusi kwani tuendako siko!!!!!!!!!!
 
Hii ni sababu kubwa ya watu weusi kuendelea kuwa vituko ulimwenguni, kwa asilimia 100 akili zetu ni tegemezi (Haziwezi kuamua au kujitegemea katika maamuzi kama binadamu wengine!) Mzee Unatoa mifano ya ajabu kabisa huku ukiwapa credit waarabu sababu waliwapenda weusi! kitu ambacho si kweli hata kidogo na kuwabeza wazungu kisa hadi 1964 walikuwa na ubaguzi madarasani! Ukweli ni kwamba katika historia ya mtu mweusi hakuna Race iliyokuwa kuwa rafiki na watu hawa. Wamekuwa wakifananisha na takataka na binadamu wote ulimwenguni. kwa sasa sisi weusi ni sawa na wafu maana hatuna maamuzi (freedom) kamili katika maisha yetu maana tunatawaliwa kiakili kwenye Dini, uchumi, na jamii. Tujipe pole kubwa! Mtu badala ya kujifunza historia za ndugu zako na kizazi chako unaenda kujifunza historia za watu wa saudi arabia!? au Ulaya? au America! Kweli vichwa vyetu vina bonge la Mav** ndani.
Tena in liquid form ( uha.........ro ) pfuuuuuu
 
Kaka yetu Mohammed Said,pole sana kwa kuguswa na swala linalohusu iman,kwa mtu yoyote ni lazima liguse hisia zake!!.

Lakini hebu tujaribu kuacha mihemko na turudi kwenye uhalisia,hivi ni jambo gani kubwa linalotuponza sisi watu weusi (Waafrika) kukubali kupokea mafundisho ya kiiman na kutupa kila chetu tulichonacho?,yaani ilivyo,wale walioupokea uislam basi wamegeuka kuwa waarabu pure kasoro rangi tu,kula,kuvaa,majina,na mienendo yote ya maisha.

Na pia hata wengine nao waliopokea upande mwingine nao ni hivyo hivyo,majina,kuongea na mambo yote ya kijamii ni wazungu tu kasoro rangi!!.

Sasa kaka Said,kuamini ni jambo huru (sheria za duniani) na kila mtu anayo haki kuamini apendacho ili mradi iwe kwa ridhaa yake.Kwa upande wangu,dini zote za mapokeo kutoka kwa wakoloni hakuna hata moja iliyo na afya kwa mustakabali wa mtu mweusi kwa siku za usoni!!.

Sababu sioni mantiki,iweje mungu awe ni huyo huyo alieumba ulimwengu wote,sasa kivipi afanye upendeleo kwa wazungu na waarabu eti kuja kutufundisha sisi kumuhusu yeye?,waislam kwenye iman yao wana mitume zaidi ya 125,lakini wote waliteremshwa kwao!!!.Ok tuyaache hayo,maswala ya iman ni mambo ya kiroho,sasa iweje tunaporwa hadi utambulisho (Identity) wa Kiafrika?.

Leo hii kwenye jamii ya mtu mweusi ukizaa mtoto na ukampa jina lenye utambulisho wa Kiafrika,mfano Kitupa,Gumbizi,Marwa,Nalyoto,na mengineyo ya kiasili basi utachekwa na kila mtu kwa kumpa mtoto jina la maajabu na la hovyo.Mtoto mpe jina la Mohammed,Rujaina,Islam,Yussuf,Joseph,Anjel, Good luck na mengine kama hayo ndio utaonekana umeendelea na unakwenda na wakati!!.

Tuamke watu weusi kwani tuendako siko!!!!!!!!!!
Waislam wa Tanzania wanakula chakula gani Cha kiarabu!?..mwarabu anakula viazi vitamin,kisamvu Cha karanga na matobolwa Kama mnyamwezi wa tabora!?..aliyekwambia mitume/manabii hawakutokea afrika Bali mashariki ya Kati tu Nani!?..
 
Kaka yetu Mohammed Said,pole sana kwa kuguswa na swala linalohusu iman,kwa mtu yoyote ni lazima liguse hisia zake!!.

Lakini hebu tujaribu kuacha mihemko na turudi kwenye uhalisia,hivi ni jambo gani kubwa linalotuponza sisi watu weusi (Waafrika) kukubali kupokea mafundisho ya kiiman na kutupa kila chetu tulichonacho?,yaani ilivyo,wale walioupokea uislam basi wamegeuka kuwa waarabu pure kasoro rangi tu,kula,kuvaa,majina,na mienendo yote ya maisha.

Na pia hata wengine nao waliopokea upande mwingine nao ni hivyo hivyo,majina,kuongea na mambo yote ya kijamii ni wazungu tu kasoro rangi!!.

Sasa kaka Said,kuamini ni jambo huru (sheria za duniani) na kila mtu anayo haki kuamini apendacho ili mradi iwe kwa ridhaa yake.Kwa upande wangu,dini zote za mapokeo kutoka kwa wakoloni hakuna hata moja iliyo na afya kwa mustakabali wa mtu mweusi kwa siku za usoni!!.

Sababu sioni mantiki,iweje mungu awe ni huyo huyo alieumba ulimwengu wote,sasa kivipi afanye upendeleo kwa wazungu na waarabu eti kuja kutufundisha sisi kumuhusu yeye?,waislam kwenye iman yao wana mitume zaidi ya 125,lakini wote waliteremshwa kwao!!!.Ok tuyaache hayo,maswala ya iman ni mambo ya kiroho,sasa iweje tunaporwa hadi utambulisho (Identity) wa Kiafrika?.

Leo hii kwenye jamii ya mtu mweusi ukizaa mtoto na ukampa jina lenye utambulisho wa Kiafrika,mfano Kitupa,Gumbizi,Marwa,Nalyoto,na mengineyo ya kiasili basi utachekwa na kila mtu kwa kumpa mtoto jina la maajabu na la hovyo.Mtoto mpe jina la Mohammed,Rujaina,Islam,Yussuf,Joseph,Anjel, Good luck na mengine kama hayo ndio utaonekana umeendelea na unakwenda na wakati!!.

Tuamke watu weusi kwani tuendako siko!!!!!!!!!!

Ni ujinga wetu tu, nchi inayoongoza kwa Idadi ya Waislamu Duniani ni Indonesia, lkn Waindonesia hawajioni Waarabu kama hawa Waafrika wetu, hata Malaysia kuna Waislamu wengi tu lkn hawajioni Waarabu.

Mimi nawajua Wasomali ambao hujiona Waarabu mpaka wakutane na Mwarabu Original wa Syria au Emirate na Saudi wakikataliwa na kuitwa abdi (nigger) ndiyo wanajifanya Waafrika, hata Wasudani wengi tu hujiita Waarabu mpaka wakutane na Mwarabu na kukataliwa ndio watakwambia ni Waafrika.

Kwa kukujibu swali lako ni low IQ tu yetu Waafrika kwani unaweza ukachukuwa Dini yoyote ile na bado ukabakiza utamaduni wako!
 
Back
Top Bottom