Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wengi wa hao Waarabu ni wahaya! Ila hawakutajwa kwa majina yao ya kihaya, mfano wa tatu kushoto ni Sheikh Rutasikanirwa'Omugisha AbdulWahab ibn Bunuar al Quraish Ibun Mutakyamirwa al Khatoum (Katoma).
 
Hahaa! Mbona Mengi amekaa sana top 10 ya matajiri, kutokuwa top 10 haimaanishi ndo tusione mabaya ya kwenye picha. Kwa hyo kwenye hiyo picha tunaonesha utajiri wa watu au uzinduzi wa msikiti ndani ya ardhi yetu? Hapo pichani ni km tumealikwa na waarabu.
Baada ya mengi wengine wako wapi?
 
Haya mawazo ni ya kijinga kabisa,baadhi ya hao waarabu ni rangi tu lakini ni watanzania

Wewe ndio unaona hivyo lkn wao ni Waarabu na hata wao wanajichukulia hivyo na kuishi hivyo pia, familia na rafiki zao ni Waarabu pia ila wewe kwa sababu ya kujipendejeza kwa mtu asiyekuthamini unawaona wao ni sawa na wewe, inferiority complex inaitwa hiyo, uko rejected lkn bado unajipeleka!
 
Tunachukiana sababu tunaogopana,
tunaogopana kwasababu hatujajuana
Hatujuani sababu tunatengana,
dunia ni nzuri walimwengu hawana maana​
Maneno mazito hayo kwa wenye kujua maana ya maneno !!
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Umeeleza kwa ufasaha sana kuhusu mapokeo ya hizi imani za kuja kwa majahazi na manowari, kweli sisi wenyeji wa bara hili la Afrika ni watu pekee wa dunia hii kuwa wapokeaji wa dini hizi mbili.

Hili huwezi kukulikuta katika bara jingine zaidi ya bara Afrika labda unaweza kusema hata kule Latin Amerika lakini kule kuna wahamiaji wengini wa kutoka Spain, Italy, German, Lebanon, Syria na watumwa toka Afrika lakini huku kwetu hakuna hilo lakini ndiyo limekuwa bara la kugombaniwa kusilimishwa au kubatizwa kwa majina ya kigeni, kuvadilishwa tamaduni, desturi na mila hata zili zilizo nzuri za uzazi wa mpango tunazitupa n.k
 
Wewe ndio unaona hivyo lkn wao ni Waarabu na hata wao wanajichukulia hivyo na kuishi hivyo pia, familia na rafiki zao ni Waarabu pia ila wewe kwa sababu ya kujipendejeza kwa mtu asiyekuthamini unawaona wao ni sawa na wewe, inferiority complex inaitwa hiyo, uko rejected lkn bado unajipeleka!
MTU ambaye hapendi au anaogopa kujichanganya na Hao jamaa ndio mwenye hiyo inferiority complex maana anakuwa ama hajiamini au anajidharau mwenyewe !!
 
Muhaya ni Mwafrika na hahitaji maelezo, ukimuona unajua ni Muhaya/Mwafrika!
Je unajua kuwa Mwafrika maana yake sio Rangi ?? Mwafrika maana yake ni wa kutoka bara la Afrika hali kadhalika mwarabu ni wa kutoka bara Arabu vivyo hivyo kwa Waamerika ni wa kutoka bara la America lakini ndani ya hayo mabara na Nchi zilizomo humo watu wake ni wenye rangi tofauti tofauti !! Je ulikuwa unalijua hilo ??! Au hujawahi kutoka nje ya Tanzania tangu uzaliwe ??!!
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Gud idea ila kuwabadilsha waafrika kweny issue za dini ni ngum mno
 
KARIBU nipe elimu
Nimeweka Hadith hapo juu Allah akisema anamchukia mtu mweusi, na Kuna Hadith nyingine allah anasema Adam alikuwa akimpiga kulia wanatoka watu weupe na wanaenda janah na akimpiga kushoto wanatoka watu weusi na wanaenda motoni na mwoshoni akasema hajali
 
lakini dini ndo zimeleta ustaarabu.
Au ulitaka mitume na manabii watoke mtwara ndo uamini wametumwa na Mungu?
Unaamini Mungu huyu kwa vile umefundishwa na dini hizi, vinginevyo ungemjua kwa namna nyingine…. kama ni huyu au mwingine.

Ustaarabu ni tafsiri ya nyakati, leo teknolojia imekuletea 'ustaarabu' mwingine.
 
Kuna miskiti iko Tanzania lakini wamiliki na viongozi wake ni waarabu na idadi kubwa ya waumini wa hiyo misikiti ni waarabu hivoni kawaida
 
Kuna miskiti iko Tanzania lakini wamiliki na viongozi wake ni waarabu na idadi kubwa ya waumini wa hiyo misikiti ni waarabu hivoni kawaida
 
Back
Top Bottom