Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Hiyo ni Bukoba KZ, Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania, KZ!


Maaashallah wamependeza sana, Allah awajaalie kheri hawa ndugu zetu, kama ni misikiti tu wanajenga, mashule wanajenga, visima vya maji wanajenga, zahanati wanajenga. 2nawaombea kheri hawa ndugu zetu.

Mleta mada, Allah akuongoze uijue haki.
 
Wao wanajenga Nyumba za ibada ni hela zao na maamuzi yao,wewe jenga hizo Shule na Hospitali hujakatazwa,unataka kuwapangia matumizi ya hela zao?
Wewe ni mwarabu tu. Hatuvitaki hivyo wajenge huko kwao, tutasaswali hata chini ya mti maana mungu hayuko kwenye nyumba za ibada. Tunataka mabarabara na hospitali siyo kutuletea taleban huku.
 
Mpiga adhana wa kwanza katika uislam anaitwa Bilal ni mtu mweusi mwenye asili ya Ethiopia na alichaguliwa na mtume Muhammad mwenyewe
Bilal ni mtumwa na alichaguliwa maana ma bwanyenye waarabu walikuwa hawezi kuamka kombora kwenda kuita watu, muhammad alimtesa huyu jamaa Mpaka muhammad kafa ndio jama akaachiwa huru na Abu
 
Mpaka 1964 Amerika mtu mweusi alikuwa hawezi kuingia kanisa la watu weupe.
Maskini ya Mungu hawajui historia chuki dhidi ya Uslam zimewatia upofu.
Mpaka leo kuna wazungu ambao wanadhani Watu weusi ni subhuman. Kwa waarabu pia. Ila naona kihistoria wazungu ni lesser of the devils angalau tuna black americans ila huwa najiuliza kwa waarabu babu zetu watumwa walikwenda wapi?

Majumuisho ni kuwa Waafrika tujitambue. Tusihusudu Wazungu wala Waarabu zaidi ya kuwa wao ni wanadamu kama sisi. Ifike wakati tujue Waafrika ni Wanadamu kama hao rangi nyingine!
 
Maaashallah wamependeza sana, Allah awajaalie kheri hawa ndugu zetu, kama ni misikiti tu wanajenga, mashule wanajenga, visima vya maji wanajenga, zahanati wanajenga. 2nawaombea kheri hawa ndugu zetu.

Mleta mada, Allah akuongoze uijue haki.
😂😂 ungekaa wewe mwarabu mweusi hata usingependezesha picha. Visima vya kuoshea miguu pale unapokuwa umegusana na vitu vichafu km mwanamke n.k
 
Wewe ni mwarabu tu. Hatuvitaki hivyo wajenge huko kwao, tutasaswali hata chini ya mti maana mungu hayuko kwenye nyumba za ibada. Tunataka mabarabara na hospitali siyo kutuletea taleban huku.
Wewe ni mpumbavu,wazazi wako wana hasara kubwa sana.
 
Wameshajenga shule ngapi za kusoma Watanzania wote?

Kwa karne ya sasa mgeni kutujengea nyumba ya ibada ni aibu, hakuna kitu kirahisi kama kujenga nyumba za ibada ni nguzo na kuta tuu, wenzetu walishaachana na hilo la kujengewa nyumba za ibada na wageni wanachanga wenyewe na wanafanikiwa.

Nchi yetu sio maskini mpaka kupewa msaada wa nyumba ya ibada, kwanza haina thawabu ni sawa sawa na mtu mwenye mikono miwili kuomba hela ya sadaka.

Tutumie sadaka zetu kujenga nyumba za ibada ni sio kujengewa na wageni,
Ndugu zetu waislamu wanapaswa kubadilika kwa kweli.
 
Wewe ni mpumbavu,wazazi wako wana hasara kubwa sana.
Hili povu nitalifulia nguo. Ila wewe ni mwarabu tu ambaye hutaki ndg yako wa kike aguswe na muafrica. Ni makaburu tu mlioiba asili ya waafrika hohehahe na wao kujiona waarabu na kuwakataa watanzania wenzao
 
FaizaFoxy balozi wa waarabu weusi atakuja kukujibu.
Hiyo ni Bukoba KZ, Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania, KZ!

Wengi wa hao Waarabu ni wahaya! Ila hawakutajwa kwa majina yao ya kihaya, mfano wa tatu kushoto ni Sheikh Rutasikanirwa'Omugisha AbdulWahab ibn Bunuar al Quraish Ibun Mutakyamirwa al Khatoum (Katoma).
 
Lakin bukoba inapendezeshwa na majengo kama hayo...misikiti, makanisa na baadhi ya mahoteli...

Pia wakatoliki wana kanisa zuri sana na refu kuliko majengo yote bukoba...


Tatizo la bukoba ni miundombinu ya umma hasa stendi, soko na baadhi ya barabara zimechoka kwelikweliView attachment 2257212
images%20(2).jpg
 
Wengi wa hao Waarabu ni wahaya! Ila hawakutajwa kwa majina yao ya kihaya, mfano wa tatu kushoto ni Sheikh Rutasikanirwa'Omugisha AbdulWahab ibn Bunuar al Quraish Ibun Mutakyamirwa al Khatoum (Katoma).

Muhaya ni Mwafrika na hahitaji maelezo, ukimuona unajua ni Muhaya/Mwafrika!
 
Kunywa maji ndugu umeongea kwa hisia sana 😂.
Sawa ni mtazamo wako hakuna neno. Tunatofautiana mitazamo na si kitu kibaya mradi hatudhuriani.
Hamna wala hisia zozote, nimekutajia mambo ambayo yapo wazi, hayahitaji hata kufikiria sana

Nilitegemea ungetetea hoja yako maana hapa ni jukwaa la kujadiliana vitu tulivyokubaliana
 
Hili povu nitalifulia nguo. Ila wewe ni mwarabu tu ambaye hutaki ndg yako wa kike aguswe na muafrica. Ni makaburu tu mlioiba asili ya waafrika hohehahe na wao kujiona waarabu na kuwakataa watanzania wenzao
Unavyokuaga unatokwa povu hapa juu ya mayahudi ina maana ww ni muisrael?

Naona umeamua kuweka akili zako mfukoni na kutembea na kichwa tu ili kukamilisha kiwiliwili.
 
Back
Top Bottom