Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Na hutawafurahia kamwe! Jichanganye kwenye mahusiano na Ke wa kiarabu ndipo utajua kuwa hujui.
Yani watakutafuta kwa udi na uvumba kukutoa makende na roho yako hata kama una mawe kiasi gani sababu huwa wanatuona waafrika ni nyani au kenge wa bluu tu.
Sijui kama akili zetu zina afya katika bongo maana si kwa kujipendekeza kote huko kujiita Waarabu weusi ili tukubalike lakini tunaishia kuonekana kinyesi tu kwao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] mkuu umenikumbusha Jamaa aliehisi Mdogo wangu wa kike ni Mwarabu na wakaenda kufanya manuva ili asibaguliwe na apendwe yaani kwa kile walichokufanya waarabu Walikuwa hawapingi hata Bure wangempa, matokeo wakajua mwenzangu namie siyo Mwarabu[emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321] walitoka nduko Hadi leo sijawahi kuwaona yaaani hamu ya kuowa iliwaisha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wenzetu wanahesshimika Sana.
 
Mkuu hapo wala sio swala la kubadilisha lugha bali dhana inayojengwa juu yetu naona sio nzuri na inatutafsirisha vibaya. Hivi mjukuu wako leo aje asikie babu aliomba kusaidiwa kanisa/msikiti kwa rafiki zake wanyonyaji wakati huo alikua na shida kila mahali zimemzunguka atatafsiri vipi!?
Hakuna nchi iliyomaliza shida zake zote ndipo ikajenga nyumba za ibada,hata nchi tajiri kuna watu wana shida bado.
 
Mwarabu asili yake ni mtu mweusi. Ni pale waarabu wa asili, weusi walipooana na watumwa weupe wa kizungu, kutoka mashariki ya ulaya, ndio kukapatika machotara wa kiarabu weupe.
Mzungu hamuiti mwarabu white, anamhesabu ni black, kutokana na asili yake, hakuwa white .
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Naunga mkono hoja.
 
Hiyo ni Bukoba KZ, Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania, KZ!

Mwarabu sio white,ni black. Asili ya muarabu ni weusi, ni pale walipooana na wazungu watumwa wa mashariki ya ulaya, ndio kukapatikana hiyo rangi unayoiona.

Ndio ukakuta zipo nchi za kiarabu kama Saudi arabia(maana yake mwarabu mweusi), Sudan(maana yake kwa kiarabu, weusi wengi).
 
Waafrika ni masikini na omba omba, na Masikini na omba omba hawezi kuwa Mbaguzi, sema Waafrika tuna inferiority complex hiyo ndiyo shida lkn siyo ubaguzi, Mwafrika utambagua nani hata kama ukitaka kufanya hivyo ? Utambagua Rostamu ? Utambagua Manji? Utambagua Dewji ? Utaanzia wapi kama hata anakupangia nani akuongoze ?

Usichanganye inferiority complex na ubaguzi, ni vitu viwili tofauti kimoja unahitaji power kingine kinaamanisha wewe ni dhaifu, …
Umesema kweli tatizo letu kubwa ni inferiority complex ! Utajiona kama unabaguliwa kumbe wewe hujiamini tu !!
 
Mjinga...
Inabidi tuwasomeshe hawa ndugu zetu historia ya Uislam.
Mtume SAW anaogoza sala nyuma yake kasimama Bilal, mtu mweusi kutoka Ethiopia.

Mpaka 1964 Amerika mtu mweusi alikuwa hawezi kuingia kanisa la watu weupe.
Maskini ya Mungu hawajui historia chuki dhidi ya Uslam zimewatia upofu.
Tuma picha tuone hiyo ya mtume na mtu mweusi. Tunajua wewe ni mwarabu koko hivyo hiyo picha umeifurahia. Ukitoa msaada usijioneshe sa hao kwa nini wamejilundika pichani wao tu, tenda wema nenda zako sa hawa wametenda na kujionesha kuwa sisi ndo waleta msaada.
 
Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.

Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Katika race iliyopotea ni waarabu,waarabu asili yao ni weusi, walipooana na watumwa wa wa kizungu, wa mashariki, ndio kukapatikana hiyo rangi. Mwarabu wa asili sio mweupe. Ndio ukaona zipo nchi Zina majina ya Saudi Arabia(mwarabu mweusi), Sudani (weusi wengi). Na wapo waarabu weusi, na wengi wapo Kwenye kisiwa cha Scotra(Yemen), hawa wamebaki na uasili wao.
 
Mwarabu sio white,ni black.Asili ya muarabu ni weusi,ni pale walipooana na wazungu watumwa wa mashariki ya ulaya,ndio kukapatikana hiyo rangi unayoiona.
Ndio ukakuta zipo nchi za kiarabu kama Saudi arabia(maana yake mwarabu mweusi),Sudan(maana yake kwa kiarabu,weusi wengi).

Unadanganya, Waarabu ni race na wako kama milioni 300 hivi, Sudani ni Land of the blacks na iliitwa hivyo na Waarabu waliofika hapo sababu ya watu wanaoishi hapo ni weusi.

Usichanganye machotara wamanga na Wapemba vs Waarabu!

Waarabu wenyewe wapo na race wako Syria, Irak, Emirate na Saudia wanaishi Arabian Penisula, wana lugha yao!

Jumla ya Waarabu kama race ni kama milioni 300 Duniani!

Wengi hawa Waarabu wa kuapia wa Tanzania siyo Waarabu na wakienda Syria au Saudia hawakubaliki kama Waarabu!
 
Huyo mwenye ndevu nyingi wanafanana sana na viongozi wa Taleban walioko Afghanistan ana undugu nao nini?
Wewe YEHODAYA acha maneno tusije kusomea ile habari ukageuka jogoo tukutagune wakati wa Idd bure [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtu mweusi tu huyo hata akiwa mburundi. Hawa waarabu walitutawala ovyo sana na hawakutuachia hata shule [emoji16]
Mwarabu asili yake ni mweusi sio mweupe.Ni pale waarabu weusi wa asili,walipooana na wanawake watumwa wa mashariki,wa kizungu,ndio kukapatikana hiyo rangi
Ndio ukaona kuna nchi bado zina majina Arabuni kama Saudi Arabia(mwarabu mweusi),Sudani(weusi wengi).Na wapo waarabu weusi wa asili,na wengi wapo katika kisiwa kinaitwa scotra(Yemen).
 
Mwarabu ni black,mzungu hamhesabu muarabu ni white.Asili ya muarabu ni mweusi,ni pale walipooana na watumwa wa kizungu,waliotoka mashariki ya ulaya,ndio wakapatikana machotara weupe.Mwarabu asili yake ni mweusi.

Unadanganya tena, Pure Arab ni white in color, wanaishi Syria, Emirate, Saudia na hata Irak na Kuwait, usichanganye pure Arab na Wapemba na wamanga hawa Wabongo, hawa mnaowaita Waarabu wakienda Saudia ni third class na hawakubaliwi kama Waarabu!
 
Mwarabu asili yake ni mweusi sio mweupe.Ni pale waarabu weusi wa asili,walipooana na wanawake watumwa wa mashariki,wa kizungu,ndio kukapatikana hiyo rangi
Ndio ukaona kuna nchi bado zina majina Arabuni kama Saudi Arabia(mwarabu mweusi),Sudani(weusi wengi).Na wapo waarabu weusi wa asili,na wengi wapo katika kisiwa kinaitwa scotra(Yemen).
Waarabu wajinga sana, wanachowafanyia wadada zetu wa kibongo wanapokubaliwa kimapenzi 😁😁 kama wana asili ya kiafrica mbona wanabagua sana hasa mtu mweusi kumuoa mwarabu pure?!
 
Unadanganya, Waarabu ni race na wako kama milioni 300 hivi, Sudani ni Land of the blacks na iliitwa hivyo na Waarabu waliofika hapo sababu ya watu wanaoishi hapo ni weusi.

Usichanganye machotara wamanga na Wapemba vs Waarabu!

Waarabu wenyewe wapo na race wako Syria, Irak, Emirate na Saudia wanaishi Arabian Penisula, wana lugha yao!

Jumla ya Waarabu kama race ni kama milioni 300 Duniani!

Wengi hawa Waarabu wa kuapia wa Tanzania siyo Waarabu na wakienda Syria au Saudia hawakubaliki kama Waarabu!
Wewe ndio hujui kitu,hutasikia mzungu hata siku moja kumuita mwarabu white.Mzungu amemuweka muarabu Kwenye kundi la blacks.
Tumia akili,ikiwa Sudani ilikuwa nchi ya weusi,angalia rangi za waarabu wa Sudan,sio kama hiyo ubayosema weupe,waarabu wa Sudan sio weupe.
Ikiwa wasema Sudan,imeitwa nchi ya weusi,ni kwasababu ya waafrika weusi.
Tukija Saudia Arabia(mwarabu mweusi),haiko Afrika,mbona imeitwa jina la mwarabu,mweusi
 
Unadanganya tena, Pure Arab ni white in color, wanaishi Syria, Emirate, Saudia na hata Irak na Kuwait, usichanganye pure Arab na Wapemba na wamanga hawa Wabongo, hawa mnaowaita Waarabu wakienda Saudia ni third class na hawakubaliwi kama Waarabu!
Wanakubalika,na wapo wengi tu,nchi za kiarabu,usidanganye watu,wapo hata waliowahi kutawalakuwa wafalme,na nafasi za juu.
 
Back
Top Bottom