Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Zina faida na hasara zake.
Ila kwa ujumla, uvamizi wa watu weupe kwenye bara letu limetuharibia mfumo wa maisha yetu walioubatiza kama mfumo wa kishenzi. Waafrika hatukua na msamiati wa ukosefu wa ajira, magereza, ulawiti, umaskini, n.k
Ni kweli kabisa, maana mpaka leo sijui kama ungekuwa anajua kusoma na kuandika.
 
@icebreaker Huna habari kwamba zoezi limeshapita? Au kichwa unafugia nywele na chawa?
Kama zoezi limeshapita kwanini unasema "Wange ita na wanawake" au wewe wakati unatoa hilo povu fuvu lako lilikwambia kua zoezi bado? Hizi akili za Panzi hua mnazitoa wapi?
 
Ni kweli kabisa makanisa yaliyojengwa na mkoloni/ mzungu yapo mengi yamebaki kama ya historia kama makanisa pacha ya minara miwili na Anglican zanzibar, Dar es salaam yapo mengi na sehemu nyingi

Lakini kwa sasa unashuhudia baada ya wakristu kujitambua kamwe hawajengewi nyumba za ibada na mzungu

Sisi michango hatutoe chenchi za matumizi au tutegemee matajiri wachache wazawa waliofanya biashara zao.za aina tofauti ,au nyumba za wakfu.

Kwa sasa suala la kushiriki ujenzi wa nyumba ni sehemu ya ibada ambayo kila muumini anashiriki bila kujali hali yake

Utakuwa shuhuda wa kila sehemu mji mpya ukichipuka, kuna makanisa yanajengwa na wazawa yenye viwango na ramani za kisasa na sio kuzungushia ukuta wa matofali tuu

Kama tunaweza kujenga majumba ya kuishi mahekalu, tukaweka furniture za garama halafu mahala pa kuabudu pawe pachafu au tusubiri wageni au matajiri watujengee( Naongea kama Mtanzania na sii muumini wa dini)

Watanzania tubadilike tuulinde utu wetu na tumshukuru Mungu kwa maendeleo tuliyoyafikia. Sisi sasa ni wa kwenda kujenga kwa misaada nchi nyingine ambazo ni maskini au zenye waamini wachache na sio fikra za kutegemea tena wageni.
 
Huyo mwenye ndevu nyingi wanafanana sana na viongozi wa Taleban walioko Afghanistan ana undugu nao nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Labda tujue maana ya ubaguzi ni nini?

Labda tujue kwanza maana ya ubaguzi, ubaguzi tunapozungumzia hapa ni kuwa na chuki ama upendeleo kwa mtu kutokana na rangi yake, kabila, dini
Sasa kati ya watu wanaoonyesha upendeleo ama chuki hizi ni Waafrika na Waarabu
Uwe masikini ama mbaguzi ni mbaguzi tu

Hauwezi kuwa Mbaguzi kama wewe ni masikini, omba omba na unamtegemea Binadamu mwingine ili uishi.
Kama ni swala la chuki kila binadamu Dunia hii kuna mtu anamchukia mahali hivyo huo siyo sawa na ubaguzi.

Ili uwe na Mbaguzi ni lazima pia uweze kubagua sasa Mwafrika na Mtanzania mweusi atambagua nani? Viongozi wenyewe wanapangwa na Wahindi na Waarabu, sasa utambagua nani ? Na ndo maana tunajipendekeza kwa Waarabu, Wahindi, Wazungu au hata Wachina.

Labda nikuulize house girl au shamba boy wako nyumbani kwako anaweza kuwa Mbaguzi kwako ? House girl unayemlipa kumlisha, kumvesha hata kumpa sehemu ya kulala anaweza kukubagua ?

Hivyo usichanganye inferiority complex na Ubaguzi, Ubaguzi ni power, ni mtu mwenye power tu ndio anaweza kubagua!
 
Huyo ostadh mwenye uchebe mwingi, anafaa kwa matumizi ya binadamu.
 
Halafu Wazungu wakimbagua Obama unalalamika

Wazee wote wa Tanzania wana asili ya nje ya Tanzania kasoro Mzee Ally Hassan Mwinyi

hata bin Mrisho ana asili ya Umanyema na ndio hilo jina limetokea

Kambarage kwa kina Kagame

Mkapa kwa kina Bakili Muluzi

JPM kwa kina Ntibantunganya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Mjinga...
Inabidi tuwasomeshe hawa ndugu zetu historia ya Uislam.
Mtume SAW anaogoza sala nyuma yake kasimama Bilal, mtu mweusi kutoka Ethiopia.

Mpaka 1964 Amerika mtu mweusi alikuwa hawezi kuingia kanisa la watu weupe.
Maskini ya Mungu hawajui historia chuki dhidi ya Uslam zimewatia upofu.
Mzee Said mbona nawe chuki dhidi ya ukristo zimekufanya kuwa makengeza. Kweli nyani hajioni..
 
Ni kweli kabisa, maana mpaka leo sijui kama ungekuwa anajua kusoma na kuandika.
Tusome historia. Una hakika gani hakukua na jamii za weusi waliojua kusoma na kuandika kabla ya uvamizi wa watu weupe? Tunapoongelea uvamizi tunazungumzia bara lote la Afrika. Yumkini maisha tuliyokua nayo yalikua mazuri kuliko mfumo waliotuletea.
 
To be honest hilo kosa kwenye hiyo picha watakuwa wameliona baada ya picha kuwekwa JF,Hata kama ni watu wa Oman wamejenga ingependeza wangechukuliwa wawakilishi kadhaa wa kagera .

Hao wawakilishi wa Kagera wametoa hata shilingi? Hao wawakilishi wa kagera wataonekana nyakati za ibada, ila walioko hapo kwenye picha ni waliotoa pesa za ujenzi.
 
Avo...
Kwa nini unataka kujadili jambo usilolijua?
Istiqama wana shule na hospitali nyingi hapa Tanzania.

Waislam wamekuwa wakijenga misikiti yao toka aza.
Naona tabu kueleza nani waliojenga makanisa hapa Tanganyika.

Sipendi mabishano yasiyo na tija.
Uislam hauna mgeni sote ni ndugu hayo ndiyo mafunzo yetu.

Wenye hali nzuri Uislam unawafunza wakunjue mikono kwa wale wasiokuwanacho.
Si kwa kujega misikiti tu bali kwa kutoa kila aina ya msaada.
Mzee unakufuru kwakuwatukuza waarabu kuliko unavyomtukuza muumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa makanisa yaliyojengwa na mkoloni/ mzungu yapo mengi yamebaki kama ya historia kama makanisa pacha ya minara miwili na Anglican zanzibar, Dar es salaam yapo mengi na sehemu nyingi

Lakini kwa sasa unashuhudia baada ya wakristu kujitambua kamwe hawajengewi nyumba za ibada na mzungu

Sisi michango hatutoe chenchi za matumizi au tutegemee matajiri wachache wazawa waliofanya biashara zao.za aina tofauti ,au nyumba za wakfu.

Kwa sasa suala la kushiriki ujenzi wa nyumba ni sehemu ya ibada ambayo kila muumini anashiriki bila kujali hali yake

Utakuwa shuhuda wa kila sehemu mji mpya ukichipuka, kuna makanisa yanajengwa na wazawa yenye viwango na ramani za kisasa na sio kuzungushia ukuta wa matofali tuu

Kama tunaweza kujenga majumba ya kuishi mahekalu, tukaweka furniture za garama halafu mahala pa kuabudu pawe pachafu au tusubiri wageni au matajiri watujengee( Naongea kama Mtanzania na sii muumini wa dini)

Watanzania tubadilike tuulinde utu wetu na tumshukuru Mungu kwa maendeleo tuliyoyafikia. Sisi sasa ni wa kwenda kujenga kwa misaada nchi nyingine ambazo ni maskini au zenye waamini wachache na sio fikra za kutegemea tena wageni.
Unaongelea kujengwa nyumba za ibada kwa misaada ni kutokujitambua, yaani tujitegemee, vipi kuhusu misaada ya madawa, vyoo vya mashule, msaada wa bajeti, msaada wa kujengewe mabarabara, SGR. Hapo vp?

Hiyo picha ingekua ni ufunguzi wa Kanisa na kwenye hiyo picha ni wazungu tupu wala msingekuja kutokwa povu hapa,endeleeni tu kuumia.
 
Back
Top Bottom