Mwanafalsafa
Platinum Member
- Jun 24, 2007
- 673
- 865
Siku sisi waafrika tutakapoachana na hizi falsafa za kigeni ndo tutakapoanza kuheshimika na kuanza kutumia akili zetu vizuri.
Ni sawa kabisa hiyo picha kujaa Waarabu maana Uislam ni falsafa yao. Mwafika ukakae hapo unatafuta nini? Wewe ni mtumwa tu wa kifikra kama unaamini katika Mungu wa Ibrahim.
Ona li-afrika jinga jingine litumwa la fikra hili hapa:
Ni sawa kabisa hiyo picha kujaa Waarabu maana Uislam ni falsafa yao. Mwafika ukakae hapo unatafuta nini? Wewe ni mtumwa tu wa kifikra kama unaamini katika Mungu wa Ibrahim.
Ona li-afrika jinga jingine litumwa la fikra hili hapa: