Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Waislamu wa Tanzania, where are Black People?

Jina la Tanzania limeanza 1964 sio Tanzania imeanza 1964…siku hizi shule huwa mnajifunza nini ?


kwa hiyo mimi nikisema nimezaliwa Dar es salaam nakuwa Muongo kwa kuwa nimezaliwa kabla ya huu mji kupewa jina la Dar es salaam?

kwa hiyo tukisema wageni walivamia Pwani ya Tanganyika tangu 1490 tunakuwa waongo kwa kuwa wakati huo hili eneo lilikuwa haliitwi Tanganyika?

Na hapo ndipo shida ilipo, nchi yetu kama tuijuavyo leo hii kwa mipaka ya Kijiografia ilihusisha Rwanda na Burundi ya leo yote iliitwa German East Afrika, hivyo unatumia kigezo gani kusema familia ya Nyerere au Magufuli hawana asili ya Tanzania kama Rwanda na Burundi zote tulikuwa nchi moja?
 
Yaani kwa Kasi hii ya kuzaana hiyo race itatowekaje? Wewe sema meza kuu huwezi onekana kwa sababu za umaskini wako..

Top ten ya matajiri Bongo hakuna Hata mweusi mmja,sisi tunajua majungu na fitina tuu.
Yaani kwa Kasi hii ya kuzaana hiyo race itatowekaje? Wewe sema meza kuu huwezi onekana kwa sababu za umaskini wako..

Top ten ya matajiri Bongo hakuna Hata mweusi mmja,sisi tunajua majungu na fitina tuu.
Hahaa! Mbona Mengi amekaa sana top 10 ya matajiri, kutokuwa top 10 haimaanishi ndo tusione mabaya ya kwenye picha. Kwa hyo kwenye hiyo picha tunaonesha utajiri wa watu au uzinduzi wa msikiti ndani ya ardhi yetu? Hapo pichani ni km tumealikwa na waarabu.
 
Katika race iliyopotea ni waarabu,waarabu asili yao ni weusi,walipooana na watumwa wa wa kizungu,wa mashariki,ndio kukapatikana hiyo rangi.Mwarabu wa asili sio mweupe.Ndio ukaona zipo nchi Zina majina ya Saudi Arabia(mwarabu mweusi),Sudani (weusi wengi).Na wapo waarabu weusi,na wengi wapo Kwenye kisiwa cha Scotra(Yemen),hawa wamebaki na uasili wao.
Miji kama Sur na Salalah huko Oman ni miji ya waarabu ambao ni weusi kabisa.
 
Mjinga...
Inabidi tuwasomeshe hawa ndugu zetu historia ya Uislam.
Mtume SAW anaogoza sala nyuma yake kasimama Bilal, mtu mweusi kutoka Ethiopia.

Mpaka 1964 Amerika mtu mweusi alikuwa hawezi kuingia kanisa la watu weupe.
Maskini ya Mungu hawajui historia chuki dhidi ya Uslam zimewatia upofu.
Ache kudanganya , bilal alikuwa mtumwa wa muhammad , mpaka muhammad anakufa kwa kulishwa sumu, bilali akarudi kwa Alie mnunu anamlilia Sana amuachie huru,
 
Mjinga...
Inabidi tuwasomeshe hawa ndugu zetu historia ya Uislam.
Mtume SAW anaogoza sala nyuma yake kasimama Bilal, mtu mweusi kutoka Ethiopia.
Bilal kanunuliwa akawa mtumwa wa muhammad mpaka muhammad kafa
Poor Bilal akarudi kwa Alie mnunua akamuomba na kumlilia amuachie huru apo Bilal ni Mzee tayari

Huyu hapa Bilal karudi kwa Abu bakr baada ya Muhammad kufariki anamlilia Abu bakr amuachie huru

Bilal said to Abu Bakr, "If you have bought me for yourself then keep me (for yourself), but if you have bought me for Allah's Sake, then leave me for Allah's Work." -Sahih Bukhari 5:57:99
 
Fugo...
Nitasemea Uislam kwa kuwa ndiyo dini yangu.

Mimi babu zangu hawakulazimishwa kunga Uslam na kumumini Mungu Mmoja.
Walingia Uislam kwa khiyari zao wenyewe nan si kwa kuwa ni wajinga.


Sisi Waislam hatuna lugha hiyo yako ya kupiga vita dini.
Uzoefu unaonyesha kuwa wenye fikra hizi ukiwachunguza utawakuta ni Wakristo.

Hawa hujitoa katika Ukristo kwa sababu zao na kuanza kupiga vita dini na wakautia Uislam katika hizo chuki zao.

Kwa kawaida hawa watautukana Ukristo lakini sharti na lazima pia waubughudhi Uislam.
Huyu ndugu yetu atambue kuwa katiba ya Tanzani iko wazi kabisa kuhusu dini.

Ikiwa yeye hakuridhika na Ukristo ambayo ndiyo dini yake hana sababu ya kushambulia ian nyingine.
We utakuwa muislam wa sayari nyingine. Waislamu tunaishi nao ktk jamii zetu, wanajiona wao ndo km vile wanaishi kwa Mungu wakati ni wa kuja tu walikuta dini km kristo zilishakuwepo enzi na enzi.
 
Hiyo ni Bukoba KZ, Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania, KZ!

Wawe kwenye picha ya wafadhili wa msikiti ili iweje. Tafuta pesa acha ujinga, ukiwa na hela unajenga msikiti na picha unapiga mwenyewe
 
Bilal kanunuliwa akawa mtumwa wa muhammad mpaka muhammad kafa
Poor Bilal akarudi kwa Alie mnunua akamuomba na kumlilia amuachie huru apo Bilal ni Mzee tayari

Huyu hapa Bilal karudi kwa Abu bakr baada ya Muhammad kufariki anamlilia Abu bakr amuachie huru

Bilal said to Abu Bakr, "If you have bought me for yourself then keep me (for yourself), but if you have bought me for Allah's Sake, then leave me for Allah's Work." -Sahih Bukhari 5:57:99
Hujui English, soma vizuri, na kama hujui, tafuta msomi wa kiislamu, akueleweshwe, kupitia kwa lugha ya kiarabu.
 
Ndugu zangu,
Mtu anapotaka kujadili jambo lolote nI vyema akafanya utafiti kwanza.
Hao ni viongozi wa Ibadh na asili yao ni Oman.

Mfano mzuri ni huu wa Greek Othodox Church (Hellenic).
Kanisa lao lipo Ali Hassan Mwinyi Road.

Itashangaza kuuliza kwa nini katika kanisa lao hakuna Waingereza.
Si huwa mnasema hamna matabaka wala madhehebu kwa sababu kitabu kilishushwa kama kilivyo hakijatiwa mkono na mtu na kinahifadhiwa mioyoni mwa watu na tafsiri ni moja namna ya kusali ni moja sasa hayo matabaka ni ya wapi?
 
kulikuwa na mfumo gani wa elimu kabla ya wakoloni? watu waliishi vipi? kulikuwa na mfumo wa maji safi, nyumba bora, usafiri wa haraka? umeme? mifumo ya sheria na utoaji haki?

kama haya maisha tunayaoishi unaona ni mabaya kuliko ya zamani, kwani wewe nani kakunyima kusihi maisha ya zamani? umelazimishwa kuwa na smartphone? umelazimishwa kuishi nyumba ya umeme? umelazimishwa kutumia usafiri wa gari? nenda porini huko ukaishi kama mababu zako walivyoishi wala hakuna mtu atakuzuia mzee
Kunywa maji ndugu umeongea kwa hisia sana 😂.
Sawa ni mtazamo wako hakuna neno. Tunatofautiana mitazamo na si kitu kibaya mradi hatudhuriani.
 
Muhammad alisema Kati ya watu Allah anawachukia ni watu weusi, bisha nilete ushahidi
Atachukiaje asili yake?
6f9774d1-c3e9-4a3d-8fd3-a93918bb31e1.jpg
 
Halafu Wazungu wakimbagua Obama unalalamika

Wazee wote wa Tanzania wana asili ya nje ya Tanzania kasoro Mzee Ally Hassan Mwinyi

hata bin Mrisho ana asili ya Umanyema na ndio hilo jina limetokea

Kambarage kwa kina Kagame

Mkapa kwa kina Bakili Muluzi

JPM kwa kina Ntibantunganya
Hakuna MTU yeyote hapa Tanganyika au Tanzania ambaye aliteremshwa moja kwa moja toka mbinguni !! Wote ni wahamiaji tu !! Kwanza tujiulize kwani binaadamu wa kwanza alianza anzaje hapa duniani ??!! Walikuwa wanazuka tu katika kila nchi au ilikuwaje hasa ??!!
 
Hujui English,soma vizuri,na kama hujui,tafuta msomi wa kiislamu,akueleweshwe,kupitia kwa lugha ya kiarabu.
Usijifiche kwenye lugha , Bilal alinunuliwa na Abu ,tajiri ambae ndie alimpa zawadi muhammad Bilal , Yani binadamu mweusi Bilal alitolewa zawadi muhammad akamtumikisha mpaka kafa ndio Bilal akarudi kwa Abu kumuomba amuachie huru
 
Lutemi,
Huwezi kuwafurahia Waarabu kwa kuwa ni Waislam.
Haishangazi.

Umetosheka na Wazungu.
Waarabu wa Shia, suni, bohara Ismail? Je hao Waarabu wanampenda Aisha mke mdogo wa mudi, au wanampenda imam au mudi mwenyewe ama dada yake mudi Fatima?
 
Kwahiyo unataka kusema huko China Japan na Korea hakuna
amani kwa sababu ya karate na kung fu?
Sidhani kama wanafundishia kwenye nyumba za ibada huko ulikokutaja. Kuna mambo ya kijamii na ya kiimani. Sa karate na imani ya Mungu wapi na wapi?
 
Back
Top Bottom