My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Mkuu, Mobutu Seseseko alikuwa mpagani siyo mkristoNitajie muislamu aliyevunja nyumba ya mtu kwa kiburi au aliyetia maiti za raia wake kwenye sandarusi ukiacha rais amini wa Uganda tu.
Marais wote makatili Ni wakristu Kama Mobutu, Nguema, na huyo na wengine
ya kishetani
Islam Dini
Dini Ya Haki
Acha chuki ww mm mbona sina hayo majini wakati akina gwajima wenu ndo wanayafugamali zao unajua walikopata? ili uwe muislamu kamili lazima uwe na majini ndani ya nyumba
Huyu ni FaizafoxyKama unauza nyapu huko pm useme tu, nani wa kukufuata pm?
Wewe ni zaidi ya Faiza Foxy au Marelia Sugu hapa JF?
Hawa wote ni wafia dini na hakuna mwenye mpango na pm zao.
Unajitekenya mwenyewe na kujitia dole mwenyewe halafu unanusa mwenyewe.
Insanity.
unahitaji ukomboziAcha chuki ww mm mbona sina hayo majini wakati akina gwajima wenu ndo wanayafuga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Kwa kungonoka na beberu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mali zao unajua walikopata? ili uwe muislamu kamili lazima uwe na majini ndani ya nyumba
Achana na wahindi na waarabu wewe Fanya utafiti kidogo,,,nenda Sehemu yoyote yenye hizi dini mbili (eg. Tanga,Dar,Morogoro,Kigoma) then angalia ni watu gani wanaishi maisha magumu ya kushindwa kusomesha, kula vizuri, kuvaa vizuri, makazi nakadhalikaElezea kwa undani mkuu
Uislamu haujakataza kufuga mbwa.Ukweli Ni kwamba Kuna watu wengi sana Wana majina yanayoendana na ya waislamu lkn watu hao sio waislamu.
Hivi unaweza kusema Naseeb nimuislamu ?
Uislam unaruhusu kufuga mbwa?
Uislam unaruhusu kuchukua mke wa mtu?
Uislam unaruhusu wizi au kutembea na kina delicious?
Tumesikia zahanati + hospitali za kikristo, za kiislam zipo?uongo kupita kiasi lete ushahidi.
chukua mfano mdogo tu siku ya ijumaa matajiri wa kiislam wanavyo lisha masikini mijini. Utayapata hayo jumapili?
Wachina na wazungu waliopo bongo wakichukua uraia itakuwaje?kwani uhindi na uarabu ndio duni yao?
Ukisifia waislam kumbuka Wakristo, Rastafarian na wapagane hawatafurahi hivyo watasema wajitenge na hao watu na ubaguzi kuanza.Mbona hakuna sehemu nimetaja dini nyingine tofauti na Uislamu?
Na nimeutaja kwa kuusifia. Nimefanya vibaya kuusifia Uislamu na Waislamu wenyewe!!?
[emoji706][emoji706][emoji706]unahitaji ukombozi
ππππ,Si unaona tumeshika sehemu nyingi kwenye utumishi wa umma shule imetubebaNyie Si ndo mlikuaga mnasema EDUCATION IS BETTER THAN MONEY[emoji4]
Bora...Inshallah namimi ipo siku nitakua Muislamu rasmi.
Hivyo haviwezi tofautiana sababu kwa asilimia kubwa ni sehemu ya tamaduniTofautisha race na dini.
Utajua hujui kwa wafia msalabaThey dominate and represent Tanzania in many aspects of life:
1. Football
70% of Simba, Yanga and Azam first eleven teams are dominated by Muslim players.
[UPDATE from DeepPond]:
Not to mention the likes of Mbwana Samatta who shines our name internationally!
- Azam FC inadhaminiwa na Bakhresa.
- Yanga inadhaminiwa na GSM.
- Simba inadhaminiwa na Mo.
View attachment 2049955
2. Boxing
Nothing to say here. Check these names:
Hassan Mwakinyo
Dullah Mbabe
Twaha Kiduku
View attachment 2049956
3. Basketball
Kuna anaemjua successful basketball player other than Hashim Thabit?
View attachment 2049957
4. Muziki
[emoji3][emoji3] Tuseme nini hapa.
Muziki genres karibu zote hapa kuanzia Taarab, Dansi, Urban, Singeli zote ziko dominated nao.
Chibu Dangote, Alikiba, Konde, Raymond Shaaban, Lovebyte, Zuchu, Mbosso, Aslay, Marioo.
View attachment 2049959
Tuendelee?? Alichoki, Late Banza Stone, Mwinjuma, Nasma Kidogo, Malkia Khadija Kopa, Mzee Yusuph, Isha Mashauzi, Late TX Moshi, Late Marijani jabali la muziki, Komandoo Hamza Kalala.
5. Wealth:
Top ten billionaire list in Tanzania is dominated by them. I don't want to mention them. Wanafahamika.
View attachment 2049961
5. Leadership/Governance
Historians (and political experts) agree that awamu zilizotawaliwa na Muslim presidents ndizo zilikua na economic reforms, political stability, hata diplomatic relations na nchi za nje ziliimarika.
Don't mention Ugandan war ilitokea awamu gani, don't mention mauaji ya Mwembechai yalitokea awamu gani.
View attachment 2049963
Food for Thought: Is it a coincidence that all Muslim Presidents are still alive up to date!!!
========β ======
UPDATE: 6. Struggle for Independence:
Ni vigum mno, sana tena sana kutenganisha juhudi za kupigania uhuru wa Tanzania (both mainland and Zanzibar) na uislamu.
Kwenye baraza la wazee TANU mwaka 1961, liliundwa na watu 15, waislamu walikua 13 (JKN yule paleeeee)
View attachment 2051407