Waislamu wanatubeba sana!!

Kumbe anayosemaga mzee Mohamed Said kuwa waislam wanaonewa na kutengwa yote siyo sahihi.

Waislam ndio wanaokula keki ya nchi.

Labda mzee Mohamed Said anachokitafuta ni roho za watu wasiokuwa waislam ili afurahishe nafsi yake.
kwa fikra za kiwango (finyu sana) chako ulichokionesha, huwezi muelewa Mohamed Said hata iweje. Au unajifanya tu humuelewi.
 
Nyerere pimbi kabisa, aliwekwa pale IKULU na Waislamu.

Ghafla akawageuka akatumia UKATOLIKI wake kupenyeza mfumo Kristo kila sekta!

mfumo kristo ndio ukoje jaman!!!

yaani waislam hawa waliosoma,wenye ushawishi na utajiri wa mali wanazubaa mpaka wanazidiwa mikakati na wakristo!!!!!

mwisho mpaka wanaibuka wazee wenye matatizo ya kufikiri kama mzee ilunga na kuendelea kueneza chuki zao kipuuzi kabisa,zina sound kwenye vichwa vya baadhi ya wapuuzi na kuishi humo.
 
Habari zenu wakuu,hivi kiujumla duniani katika utajiri,michezo,umaarufu,elimu,teknolojia ni wapi wanaongoza? Mfano kwa uchumi kuna Elon Musk,Jeff Bezos, Bill gates etc,kitechnology ni nchi za kikristu mfn USA, German, UK,etc,kimichezo Wingereza, Brazil, USA etc,pia wanasayansi wakubwa ni kina Newton,Einstern,Elon Musk etc,kwa umaarufu mpaka sasa kwa hiki kizazi ni Cristian Ronaldo na Messi,vipi kwa waislam?

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 

huo ndio uhalisia, Nchi hii udini ni pale tu Waislamu wanapopata nafasi hata ikiwa ni za 50-50, Lakini upande mwengine hata wakiwa 90% ni poa tu.
CUF na sasa ACT siku zote utasikia vinaitwa vyama vya kidini kisa tu kwenye manegment yao viongozi waislamu ni wengi kwama maana labda 70%. Wakati huohuo Chadema na CCM unaweza kuta 80% mpaka 90% ni upande wapili ila hujawahi kusikia malalamiko.
 
Kwenye majukwaa mengine,nilikua nakuona very intelligent na kukupa vyeo vyote,lakini kwa bandiko hili nakuvua vyeo vyote,unaamini kwenye dini tulizoletewa na wageni[emoji15][emoji15]
 
Achana kbisa na Al marhum ilunga,yule alikua so intelligent kwenye Mambo ya dini,hakuna kiislamu anaemchukia yule lbda nyie waesotholonike tu
 
Chuki zitakuua
Nikuulize wewe ukisemwa vibaya utakaa kimya?
 
Wakati unaanzisha huu uzi inaonekana ulizima data kichwani maana sioni matumizi ya akili zaidi ya ubcbg
 
Achana kbisa na Al marhum ilunga,yule alikua so intelligent kwenye Mambo ya dini,hakuna kiislamu anaemchukia yule lbda nyie waesotholonike tu

nazungumzia waislam wenye akili timamu,sio maamuma wanaoweza hata kujilipua.

yule anawezakuwa alikuwa na elimu kubwa sana ktk uislam ila alikosa hekima,kitu kinachomtofautisha mbwa na binaadam.

kwakweli mkristo yeyote atakayemsikiliza ilunga,lazima ahoji upeo wa baadhi y ma waislam,tofauti ya ilunga na gaidi mwingine ni mic tu.
 
Nimeandika nikafuta.

Lakini imenipasa nifupishe tu comment yangu kwa kuwaambia waislam wote.
"Nendeni shule, nchi yoyote duniani inaongozwa na wataalamu ambao pia wengi wao wako kwenye vyombo vya maamuzi"

Kama na hapo hamjanielewa basi mtakuwa na mapepo
 
Haya endelea na fikra zako
 
Kwahiyo unasema huyo James alikua Muislamu? Maana hata mazishi yake yaliongozwa na Kanisa!!
Nyie watu wabaya sana mnakula nyama ya nguruwe mpaka imekuwa haishikiki kwa bei! Dar kilo 12,000/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…