Waislamu wanatubeba sana!!


Kuna shida sana katika fikra za mtu mweusi!!

Nadhan ndo maana Dunia haitaacha kumtenga na kumbagua!!

Wakati nchi nyingine zikiwaza technologia kuna mtu anawaza dini za wazungu na waarabu ambazo c utaifa wala urace???


Sasa waisilamu kwan nn?? Uislam n ideology au iman ya dini lakni watu n wale wale waafrica watanzania!!!
Uislam si taifa wala kabila ??

# kuna haja ya africa kueliminate kuondoa hizi pple zenye frozen mind za ideology ya kidini!!? Ni kama wazimu fulan!!

Hata saud arabia hawajawai jiona waislam vs wakristo n wote wasaudia[emoji38][emoji3]

Tulitawaliwa mara ya kwanza kwa sababu ya mindset za ivi tutatawaliwa tena na mchina!! Kisa uozo mlioujaza watu weusi vichwan
 
Inafikirisha Sana. Naipenda JF.
 

Nadhani ni kosa kuanza kutambuana kwa Dini. Nadhani ni vizuri kutambuana kwa ability ya mtu husika na sio vinginevyo.

Halafu kitu ulichokosea umechukua majina machache Kila sehemu kuonesha ya kwamba hawa ndio wapo pekee yao. Umechukua majina maarufu ukahitimisha.Ungetuletea idadi yote ya wachezaji mpira ligi kuu sio Simba na Yanga na Azam tu au wanamuziki wote tukajua idadi.
 
Lakini bado mnalalamika kuwa mnaonewa ngoja aje mzee wetu Mohamed atuje kidogo
 
Hebu wewe nitajie mchezaji wa mpira wa kikapu 'basketball' anayejulikana zaidi ya Hashim Thabit.
 
Hebu wewe nitajie mchezaji wa mpira wa kikapu 'basketball' anayejulikana zaidi ya Hashim Thabit.
Anayejulikana wapi?. Ungeniambia Kwanza NBA au TBF. Mtu kashachuja na hakuwa na impact yeyote kwenye basketball. Wewe shida yako ni dini, unatukuza watu kiss dini zao na sio ability.
 
Mtoa mada kaja na facts sio umbea sasa wewe badala ya kumjibu kwa fact unaleta taarabu.

Kwa maana hiyo huo ndo ukweli kutoka kwa mleta mada.
Fact zipi? Majina yana uhusiano na dini? Nenda Hong Kong mfano mzuri pia nenda Uarabuni majina ya kiarabu hayana uhusiano na dini, yanatumiwa na dini zote.

Hapa ndio utagunduwa ujinga wa mtu mweusi ulipojikita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…