Waislamu wanavyopitia hukumu ya Pilato huko Palestina na India

Waislamu wanavyopitia hukumu ya Pilato huko Palestina na India

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Fujo za kidini huko Palestina na India zimekuwa na athari kubwa kwa jamii ya Waislamu, zikichangia matatizo makubwa ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Hali hizi ni matokeo ya mizozo ya muda mrefu, ambapo Waislamu mara nyingi wanajikuta katika hali ngumu ya kimaisha kutokana na changamoto za kimaadili, kisiasa, na hata kiusalama;

WAISLAMU Vs WAYAHUDI

Huu mgogoro unafahamika ulimwenguni, nami nitauelezea kwa uchache. Mgogoro wa Israel na Palestina umeendelea kwa miongo kadhaa, ukihusisha vita, ukaliaji wa ardhi, na migogoro ya kidini na kisiasa kati ya Wayahudi na Waislamu. Fujo hizi zimesababisha Waislamu wengi wa Palestina kupoteza ardhi zao, makaazi, na haki zao za msingi. Ukandamizaji wa kijeshi na vikwazo vya kiuchumi pia umechangia kuzorota kwa hali ya maisha.

Miundombinu ya afya, elimu, na huduma za msingi imeharibiwa katika maeneo mengi ya Palestina, hasa Gaza.

Vikwazo vya kiuchumi na ukaliaji wa ardhi vimezuia maendeleo ya kiuchumi, na kusababisha kiwango cha juu cha umaskini.

Waislamu wa Palestina mara nyingi hukumbana na vikwazo katika kutekeleza ibada zao, hasa katika maeneo ya kidini kama Msikiti wa Al-Aqsa. Na hii ni kutokana na wao kugombania ardhi inayoaminika kuwa ni yao kutoka enzi za manabii.
Vita kati ya Waislamu na Wayahudi imesababisha vifo na vilema kwa maelfu ya watu huko Gaza na Maeneo jirani.


WAISLAMU Vs WAHINDU

Enzi za utawala wa dola ya Mughals (1526-1857), dola la Mughal lilitawala sehemu kubwa ya India kwa karne kadhaa. Ingawa watawala wa Mughal walikuwa Waislamu, walijitahidi kuunda utawala wa kidini wa mseto. Hata hivyo, baadhi ya viongozi wa Wahindu waliona utawala wa Mughal kama uvamizi wa Kiislamu, jambo lililopanda mbegu za chuki.
Baadae uliingia Utawala wa Kiingereza (1858-1947).
Waingereza walitumia mbinu ya "gawanya na utawale" (divide and rule), kuchochea migawanyiko ya kidini kati ya Wahindu na Waislamu ili kuimarisha utawala wao. Matumizi ya sera hizi yaliongeza chuki na kuimarisha migawanyiko iliyokuwepo.

Wakati India ilipopata uhuru kutoka kwa Uingereza, taifa la India liligawanywa katika nchi mbili: India (ambayo kimsingi ni ya Wahindu) na Pakistan (kwa Waislamu). Mgawanyiko huu uliambatana na vurugu kubwa ambapo mamilioni ya watu walilazimishwa kuhama, na maelfu kuuawa katika mapigano ya kidini. Ukosefu wa maridhiano baada ya mgawanyiko huu ulisababisha mivutano kuendelea.

Baada ya miaka kadhaa baada ya mgawanyiko wa Taifa la India kutengeneza Nchi ya Pakistan na India, kulizalishwa falsafa za Hindutva. Hindutva ni itikadi ya kisiasa inayotetea Utaifa wa Kihindu, yani kuwepo kwa taifa moja la Wahindu tu. Vyama vya kisiasa kama Bharatiya Janata Party (BJP) vimechochea mvutano wa kidini kwa kuhimiza dhana ya India kuwa taifa la Wahindu, huku jamii za wachache, hasa Waislamu, zikionekana kama wageni au tishio.

Mwaka 1992, kulitokea vurugu zilizopelekea uharibifu wa Msikiti wa Babri na kundi la Wahindu wenye msimamo mkali ulisababisha machafuko makubwa. Wahindu wanadai msikiti huo ulijengwa mahali ambapo awali palikuwa na hekalu la Lord Ram. Tukio hili lilichochea migogoro mikubwa zaidi ya kidini nchini India.

Mwaka 2002 kulitokea mauaji ya kutisha huko Gujarat, machafuko haya yalizuka baada ya treni ya Wahindu kuchomwa moto, ambapo Waislamu walilaumiwa kwa tukio hilo. Machafuko yaliyofuata yalipelekea vifo vya maelfu ya Waislamu.

Mpaka hivi karibuni matukio ya mauaji yamekuwa yakiendelea kutokea huko India hasa maeneo yanayokaliwa na dini hizi mbili za Wahindu na Waislamu. Wahindu wakiwaona Waislamu kama wavamizi wa ardhi za Kihindu, na mara kadhaa waislamu wamekuwa wakishutumiwa kuoa wanawake wa Kihindu na kuwabadilisha Dini kuwa waislamu.
 
Waislamu wana migogoro na wayahudi
Waislamu wana migogoro na wahindu
Waislamu wana migogoro wachina
waislamu wana migogoro na wakristo
waislamu wana migogoro wenyewe kwa wenyewe shia na sunni.


Nb, ukiweza kuishi na muislamu kwa amani basi wewe unaweza kuishi ata na koboko chumba kimoja na hasikudhuru.
 
Waislamu wanajiona wao ndio wa mwenyezi Mungu hakuna mwingine kama wao ni wapuuzi wataendelea kuuliwa kila siku watulie tu kama wenzao wa qwatar,UAE na SAUD sio kujifanya wanapigania mwenezi Mungu kila siku nani hana Mungu

USSR
 
Waislamu wana migogoro na wayahudi
Waislamu wana migogoro na wahindu
Waislamu wana migogoro wachina
waislamu wana migogoro na wakristo
waislamu wana migogoro wenyewe kwa wenyewe shia na sunni.


Nb, ukiweza kuishi na muislamu kwa amani basi wewe unaweza kuishi ata koboko chumba kimoja na hasikudhuru.
mpaka na wapagani wana mgogoro nao
 
Waislamu wanajiona wao ndio wa mwenyezi Mungu hakuna mwingine kama wao ni wapuuzi wataendelea kuuliwa kila siku watulie tu kama wenzao wa qwatar,UAE na SAUD sio kujifanya wanapigania mwenezi Mungu kila siku nani hana Mungu

USSR
ni wapuuzi, wanajua ni wao tu ndio wanajua kutumia bakora, jambia na bunduki
 
Ukishakuwa muislam hata akili ya ubinadamu inaondoka kabsa kila kitu unachokiangalia unakiangalia kwa jicho la kidini tu kiufupi dini ya kiislam imejikita kwenye ubaguzi,ukatili,ushirikina, kujiona wao ndo wenye haki zote ndo maana hata wanaweza kufunga barabara wakaanza kusali ila wengine wakifanya hivyo wanalalamika ni watu wasiokuwa na ustaarabu duniani kote uislam ni janga la kifikra kwa wanadamu wote waliochagua kuwa katika hiyo dini
 
Ukishakuwa muislam hata akili ya ubinadamu inaondoka kabsa kila kitu unachokiangalia unakiangalia kwa jicho la kidini tu kiufupi dini ya kiislam imejikita kwenye ubaguzi,ukatili,ushirikina, kujiona wao ndo wenye haki zote ndo maana hata wanaweza kufunga barabara wakaanza kusali ila wengine wakifanya hivyo wanalalamika ni watu wasiokuwa na ustaarabu duniani kote uislam ni janga la kifikra kwa wanadamu wote waliochagua kuwa katika hiyo dini
Uislamu ni ubaguzi

USSR
 
Fujo za kidini huko Palestina na India zimekuwa na athari kubwa kwa jamii ya Waislamu, zikichangia matatizo makubwa ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Hali hizi ni matokeo ya mizozo ya muda mrefu, ambapo Waislamu mara nyingi wanajikuta katika hali ngumu ya kimaisha kutokana na changamoto za kimaadili, kisiasa, na hata kiusalama;

WAISLAMU Vs WAYAHUDI

Huu mgogoro unafahamika ulimwenguni, nami nitauelezea kwa uchache. Mgogoro wa Israel na Palestina umeendelea kwa miongo kadhaa, ukihusisha vita, ukaliaji wa ardhi, na migogoro ya kidini na kisiasa kati ya Wayahudi na Waislamu. Fujo hizi zimesababisha Waislamu wengi wa Palestina kupoteza ardhi zao, makaazi, na haki zao za msingi. Ukandamizaji wa kijeshi na vikwazo vya kiuchumi pia umechangia kuzorota kwa hali ya maisha.

Miundombinu ya afya, elimu, na huduma za msingi imeharibiwa katika maeneo mengi ya Palestina, hasa Gaza.

Vikwazo vya kiuchumi na ukaliaji wa ardhi vimezuia maendeleo ya kiuchumi, na kusababisha kiwango cha juu cha umaskini.

Waislamu wa Palestina mara nyingi hukumbana na vikwazo katika kutekeleza ibada zao, hasa katika maeneo ya kidini kama Msikiti wa Al-Aqsa. Na hii ni kutokana na wao kugombania ardhi inayoaminika kuwa ni yao kutoka enzi za manabii.
Vita kati ya Waislamu na Wayahudi imesababisha vifo na vilema kwa maelfu ya watu huko Gaza na Maeneo jirani.


WAISLAMU Vs WAHINDU

Enzi za utawala wa dola ya Mughals (1526-1857), dola la Mughal lilitawala sehemu kubwa ya India kwa karne kadhaa. Ingawa watawala wa Mughal walikuwa Waislamu, walijitahidi kuunda utawala wa kidini wa mseto. Hata hivyo, baadhi ya viongozi wa Wahindu waliona utawala wa Mughal kama uvamizi wa Kiislamu, jambo lililopanda mbegu za chuki.
Baadae uliingia Utawala wa Kiingereza (1858-1947).
Waingereza walitumia mbinu ya "gawanya na utawale" (divide and rule), kuchochea migawanyiko ya kidini kati ya Wahindu na Waislamu ili kuimarisha utawala wao. Matumizi ya sera hizi yaliongeza chuki na kuimarisha migawanyiko iliyokuwepo.

Wakati India ilipopata uhuru kutoka kwa Uingereza, taifa la India liligawanywa katika nchi mbili: India (ambayo kimsingi ni ya Wahindu) na Pakistan (kwa Waislamu). Mgawanyiko huu uliambatana na vurugu kubwa ambapo mamilioni ya watu walilazimishwa kuhama, na maelfu kuuawa katika mapigano ya kidini. Ukosefu wa maridhiano baada ya mgawanyiko huu ulisababisha mivutano kuendelea.

Baada ya miaka kadhaa baada ya mgawanyiko wa Taifa la India kutengeneza Nchi ya Pakistan na India, kulizalishwa falsafa za Hindutva. Hindutva ni itikadi ya kisiasa inayotetea Utaifa wa Kihindu, yani kuwepo kwa taifa moja la Wahindu tu. Vyama vya kisiasa kama Bharatiya Janata Party (BJP) vimechochea mvutano wa kidini kwa kuhimiza dhana ya India kuwa taifa la Wahindu, huku jamii za wachache, hasa Waislamu, zikionekana kama wageni au tishio.

Mwaka 1992, kulitokea vurugu zilizopelekea uharibifu wa Msikiti wa Babri na kundi la Wahindu wenye msimamo mkali ulisababisha machafuko makubwa. Wahindu wanadai msikiti huo ulijengwa mahali ambapo awali palikuwa na hekalu la Lord Ram. Tukio hili lilichochea migogoro mikubwa zaidi ya kidini nchini India.

Mwaka 2002 kulitokea mauaji ya kutisha huko Gujarat, machafuko haya yalizuka baada ya treni ya Wahindu kuchomwa moto, ambapo Waislamu walilaumiwa kwa tukio hilo. Machafuko yaliyofuata yalipelekea vifo vya maelfu ya Waislamu.

Mpaka hivi karibuni matukio ya mauaji yamekuwa yakiendelea kutokea huko India hasa maeneo yanayokaliwa na dini hizi mbili za Wahindu na Waislamu. Wahindu wakiwaona Waislamu kama wavamizi wa ardhi za Kihindu, na mara kadhaa waislamu wamekuwa wakishutumiwa kuoa wanawake wa Kihindu na kuwabadilisha Dini kuwa waislamu.
Umeandika kishabiki mno kiasi cha kjionesha kuwa, na wewe ni miongoni mwa waparestine wajinga

Ili upate historia kamili ya Parestina na Uisilam,, ni mhimu uzigatie ujio wa Dini ya Uislam,

Ukilizingatia hilo, usingeandika huo ujinga, kwa sababu ungejikuta ukisema mapigano hayo ni kati ya Israel na Parestina na siyo Islam na Uyahudi

Nasema hvi kwa sababu, historia inaonyesha, Kama ni dini, Waparestina ambao blla ya shaka ndio hao Wayebusi, ama, wafilisti n.k

Hawakuwa na dini pindi Wayahudi wanaingia hapo wakiongozwa na Musa na kufikishwa hapo Israel na mkono wa Mungu kupitia Joshua

Hao watu waliokutwa hapo, walikuwa waabudu masanamu, na baada ya miaka mingi kupita, ndio huo Uislamu ukaja kupitia mtume Mo!

Sasa hayo Wayahudi kupiga Waislamu ni uwongo dhahiri ukiongozwa na mapenzi ya dini ambapo pia ni ujinga kwa sababu, hata Parestina wapo Wakristo kama ambavyo Israel ina Wakristo pia,


Kama suala ni wayahudi na Waislamu wa Palestine, kwa nini unawatenga Wakristo wa Parestine ukiwajumuisha kwenye Waislamu na ambapo wote ni waathirika?
 
Waislamu wanajiona wao ndio wa mwenyezi Mungu hakuna mwingine kama wao ni wapuuzi wataendelea kuuliwa kila siku watulie tu kama wenzao wa qwatar,UAE na SAUD sio kujifanya wanapigania mwenezi Mungu kila siku nani hana Mungu

USSR
Nyie msiokua waislam hamtauliwa ila nawahakikishia hamtaishi milele
 
Back
Top Bottom