Waislamu wanavyopitia hukumu ya Pilato huko Palestina na India

Waislamu wanavyopitia hukumu ya Pilato huko Palestina na India

Hapa tu niliona kuna mushkel
Hakuna mushkel.... Vita ya Palestina na Israel ni sawa sawa na vita ya Waislam na Wayahudi... Tofauti ni maeneo ya kijiografia tu, na vita inachaguzwa na dini hizo mbili
 
Hiiii ni wapalestina na waisraeli mkuu…
Hiii vita si ya kidini….ila wanaopigana wana dini….na ukumbuke pia Palestinian na Israel kuna Dini zaidi ya hizo ukizozitaja.
Braza... Wapalestina na Waisrael ni maneno tu yanayoashiria maeneo ya kijiografia, ila hiyo vita ni ya Muislamu na Muyahudi... Na ndio maana mataifa ya kiislamu kama Iran na yenyewe yanashiriki kupambana na Israel, na Kwa sababu taifa la kiyahudi ni moja ndio maana huoni mataifa mengine yakimtetea Israel tofauti na Marekani ambaye ni mshirika wake... Ila kusingekuwepo Uislamu na Uyahudi kusingekuwepo na hiyo vita

Hao wote wanagombania maeneo ya Masinagogi na misikiti ambapo kila mtu anaamini aliachiwa urithi... Ni kama kugombani urithi
 
Fujo za kidini huko Palestina na India zimekuwa na athari kubwa kwa jamii ya Waislamu, zikichangia matatizo makubwa ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Hali hizi ni matokeo ya mizozo ya muda mrefu, ambapo Waislamu mara nyingi wanajikuta katika hali ngumu ya kimaisha kutokana na changamoto za kimaadili, kisiasa, na hata kiusalama;

WAISLAMU Vs WAYAHUDI

Huu mgogoro unafahamika ulimwenguni, nami nitauelezea kwa uchache. Mgogoro wa Israel na Palestina umeendelea kwa miongo kadhaa, ukihusisha vita, ukaliaji wa ardhi, na migogoro ya kidini na kisiasa kati ya Wayahudi na Waislamu. Fujo hizi zimesababisha Waislamu wengi wa Palestina kupoteza ardhi zao, makaazi, na haki zao za msingi. Ukandamizaji wa kijeshi na vikwazo vya kiuchumi pia umechangia kuzorota kwa hali ya maisha.

Miundombinu ya afya, elimu, na huduma za msingi imeharibiwa katika maeneo mengi ya Palestina, hasa Gaza.

Vikwazo vya kiuchumi na ukaliaji wa ardhi vimezuia maendeleo ya kiuchumi, na kusababisha kiwango cha juu cha umaskini.

Waislamu wa Palestina mara nyingi hukumbana na vikwazo katika kutekeleza ibada zao, hasa katika maeneo ya kidini kama Msikiti wa Al-Aqsa. Na hii ni kutokana na wao kugombania ardhi inayoaminika kuwa ni yao kutoka enzi za manabii.
Vita kati ya Waislamu na Wayahudi imesababisha vifo na vilema kwa maelfu ya watu huko Gaza na Maeneo jirani.


WAISLAMU Vs WAHINDU

Enzi za utawala wa dola ya Mughals (1526-1857), dola la Mughal lilitawala sehemu kubwa ya India kwa karne kadhaa. Ingawa watawala wa Mughal walikuwa Waislamu, walijitahidi kuunda utawala wa kidini wa mseto. Hata hivyo, baadhi ya viongozi wa Wahindu waliona utawala wa Mughal kama uvamizi wa Kiislamu, jambo lililopanda mbegu za chuki.
Baadae uliingia Utawala wa Kiingereza (1858-1947).
Waingereza walitumia mbinu ya "gawanya na utawale" (divide and rule), kuchochea migawanyiko ya kidini kati ya Wahindu na Waislamu ili kuimarisha utawala wao. Matumizi ya sera hizi yaliongeza chuki na kuimarisha migawanyiko iliyokuwepo.

Wakati India ilipopata uhuru kutoka kwa Uingereza, taifa la India liligawanywa katika nchi mbili: India (ambayo kimsingi ni ya Wahindu) na Pakistan (kwa Waislamu). Mgawanyiko huu uliambatana na vurugu kubwa ambapo mamilioni ya watu walilazimishwa kuhama, na maelfu kuuawa katika mapigano ya kidini. Ukosefu wa maridhiano baada ya mgawanyiko huu ulisababisha mivutano kuendelea.

Baada ya miaka kadhaa baada ya mgawanyiko wa Taifa la India kutengeneza Nchi ya Pakistan na India, kulizalishwa falsafa za Hindutva. Hindutva ni itikadi ya kisiasa inayotetea Utaifa wa Kihindu, yani kuwepo kwa taifa moja la Wahindu tu. Vyama vya kisiasa kama Bharatiya Janata Party (BJP) vimechochea mvutano wa kidini kwa kuhimiza dhana ya India kuwa taifa la Wahindu, huku jamii za wachache, hasa Waislamu, zikionekana kama wageni au tishio.

Mwaka 1992, kulitokea vurugu zilizopelekea uharibifu wa Msikiti wa Babri na kundi la Wahindu wenye msimamo mkali ulisababisha machafuko makubwa. Wahindu wanadai msikiti huo ulijengwa mahali ambapo awali palikuwa na hekalu la Lord Ram. Tukio hili lilichochea migogoro mikubwa zaidi ya kidini nchini India.

Mwaka 2002 kulitokea mauaji ya kutisha huko Gujarat, machafuko haya yalizuka baada ya treni ya Wahindu kuchomwa moto, ambapo Waislamu walilaumiwa kwa tukio hilo. Machafuko yaliyofuata yalipelekea vifo vya maelfu ya Waislamu.

Mpaka hivi karibuni matukio ya mauaji yamekuwa yakiendelea kutokea huko India hasa maeneo yanayokaliwa na dini hizi mbili za Wahindu na Waislamu. Wahindu wakiwaona Waislamu kama wavamizi wa ardhi za Kihindu, na mara kadhaa waislamu wamekuwa wakishutumiwa kuoa wanawake wa Kihindu na kuwabadilisha Dini kuwa waislamu.
Ukiwaza nje ya box maana yake huyo mungu wanayemuhubiri waislamu ni mdhaifu sana hawezi kuwasaidia nabkuwapigania watu wake.
 
Nyie msiokua waislam hamtauliwa ila nawahakikishia hamtaishi milele
Hakuna mtu atakayeishi milele kwenye uso wa Dunia... Iwe kwa Nadharia ya Dini au nadharia ya sayansi... Hakuna anayeweza kutoboa milele
 
Waislamu wana migogoro na wayahudi
Waislamu wana migogoro na wahindu
Waislamu wana migogoro wachina
waislamu wana migogoro na wakristo
waislamu wana migogoro wenyewe kwa wenyewe shia na sunni.


Nb, ukiweza kuishi na muislamu kwa amani basi wewe unaweza kuishi ata na koboko chumba kimoja na hasikudhuru.
Sahihi sana; waislamu hawawezi kuishi na yeyote, hata kule kwao Uarabuni, kiongozi yeyote lazima awatawale kwa mkono wa chuma, ukijifanya unajua demokrasia tu, watachoma hadi barabara hao watu; kwa ufupi wana aleji sana na amani.
 
Waislamu wana migogoro na wayahudi
Waislamu wana migogoro na wahindu
Waislamu wana migogoro wachina
waislamu wana migogoro na wakristo
waislamu wana migogoro wenyewe kwa wenyewe shia na sunni.


Nb, ukiweza kuishi na muislamu kwa amani basi wewe unaweza kuishi ata na koboko chumba kimoja na hasikudhuru.
Kobaz wanapenda sana kuingilia Maisha ya watu na wanajiona wao ni kama kundi flani special hapa Dunian wengine wote takataka.
 
Braza... Wapalestina na Waisrael ni maneno tu yanayoashiria maeneo ya kijiografia, ila hiyo vita ni ya Muislamu na Muyahudi... Na ndio maana mataifa ya kiislamu kama Iran na yenyewe yanashiriki kupambana na Israel, na Kwa sababu taifa la kiyahudi ni moja ndio maana huoni mataifa mengine yakimtetea Israel tofauti na Marekani ambaye ni mshirika wake... Ila kusingekuwepo Uislamu na Uyahudi kusingekuwepo na hiyo vita

Hao wote wanagombania maeneo ya Masinagogi na misikiti ambapo kila mtu anaamini aliachiwa urithi... Ni kama kugombani urithi
Huijui historia yao mkuu; wameanza kugombana hao na kupigana kabla hata uislam haujaja duniani, Goliath na Daudi kulikua na Uyahudi na Uislam? Kwa ufupi wewe unaijua historia ya kuanzia mwaka 1948, rudi nyuma huko hadi miaka 1000 BC unaelewa why hawa wanagombana. Umeitaka Iran na Uislam? Iran ilipelekewa Uislam kutoka Saudia, Wasaudia, Misri, Kuwait, Iraq, Egypt hawana time na Wapalestina, hao sio Waislamu? Iran na Wayahudi ugomvi wao ulianza miaka 500 BC, enzi hizo watu pekee waliokua wana mwabudu Mungu wa manabii kama Adam, Musa, Nuhu, Ibrahim nk walikua ni Waisrael pekee yao, wengine wote tuliobakia tulikua na miungu yetu including Wazungu, Iran, Saudia nk cause Uislam haukuwepo duniani
 
Huijui historia yao mkuu; wameanza kugombana hao na kupigana kabla hata uislam haujaja duniani, Goliath na Daudi kulikua na Uyahudi na Uislam? Kwa ufupi wewe unaijua historia ya kuanzia mwaka 1948, rudi nyuma huko hadi miaka 1000 BC unaelewa why hawa wanagombana. Umeitaka Iran na Uislam? Iran ilipelekewa Uislam kutoka Saudia, Wasaudia, Misri, Kuwait, Iraq, Egypt hawana time na Wapalestina, hao sio Waislamu? Iran na Wayahudi ugomvi wao ulianza miaka 500 BC, enzi hizo watu pekee waliokua wana mwabudu Mungu wa manabii kama Adam, Musa, Nuhu, Ibrahim nk walikua ni Waisrael pekee yao, wengine wote tuliobakia tulikua na miungu yetu including Wazungu, Iran, Saudia nk cause Uislam haukuwepo duniani
Wewe ndio unaamini hivyo, ila Waislamu wanaamini uisilamu umekuwepo Tangu dunia inaumbwq
 
Wewe ndio unaamini hivyo, ila Waislamu wanaamini uisilamu umekuwepo Tangu dunia inaumbwq
Waislamu wa kwa mtogole ndio wana amini hvo; calendar za Kiislamu kutoka Uarabu zinaonesha hadi mwaka, hawa wa huku wanaujua Uislam kuliko wa Saudia? Hi habari ya kwamba Uislam umeanza miaka mingi kabla ya Mohammed wameanza kuaminishana baada ya Islamic conference iliofanyika Abuja Nigeria mwaka 1992, Tanzania pia tulipeleka wajumbe, walitokea msikiti wa kwa Mtoro, waanzilishi wa Barukta
 
Back
Top Bottom