Waislamu wanavyopitia hukumu ya Pilato huko Palestina na India

Umeandika kimehemko ya kidini ya uislamu
 
Waislamu wanajiona wao ndio wa mwenyezi Mungu hakuna mwingine kama wao ni wapuuzi wataendelea kuuliwa kila siku watulie tu kama wenzao wa qwatar,UAE na SAUD sio kujifanya wanapigania mwenezi Mungu kila siku nani hana Mungu

USSR

Itakuwa mungu wao allahu ni dhaifu ndiyo maana mpaka sasa wanampigania au kumtetea. Angekuwa kama Mwenyezi Mungu Muumba wq Mbingu na Nchi Yeye anasema kisasi ni chake. Kwa maana Yeye ana uwezo wa kujitetea na kuhukumu au kuadhibu kwa haki. Yaani bila kumpunguzia mtu kipimo cha adhabu au kumzidishia au kumpendelea ama kumuonea. Yeye anatoa kipimo kamili kwa malipo kamili kwa kila mtu. Hivyo ata mtu akidhihaki wala huna sababu ya kuvimba naye. Achana naye, Mungu mwenyewe anajua namna ya kumpa stahiki na stahili yake.
 
Huyo MWENYEZI MUNGU unazungumzia hapa ainaitwa JEHOVAH BABA WA MILELE MFALME WA WAFALME

NI HATARI SANA HUYO MWAMBA ALIIPASUA BAHARI YA SHAM KWA MKONO WAKE HODARI

NDIYE ALIYE MPIGA PHARAOH NA JESHI LAKE
 
Haya mambo hayajaanza jana wakati nipo bwana mdogo miaka hiyoo moja ya mikoa ya Pwani wakati nasoma shule ya msingi alhamis ilikua ni siku ya masomo ya dini sisi tulifundishwa mambo yetu tu kuhusu vitabu vyetu, tabia njema na kuwapenda wengine, ajabu muda wa kipindi ukiisha tunaporudi darasani kwa vipindi vya kawaida( kitaaluma) wenzetu wao ni " nyieee makafiri msiguse daftari zetu ,nyiee makafiri kaeni madawati yenu" wakati huo pengine kwa sababu ya umri wetu sikuona tatizo sana ila kwa sasa kuna vitu nimeelewa,

Dini hii inapenda kupandiza chuki sanaaa ,na ndio maana wakipewa maneno kidogo hawafikirii haooo wanajilipua tu
 
Uzi uishie hapa tupate muda wa kutafakari hili Neno Lenye Hekima Nyingi.
Mungu ni Upendo.
Na anawapenda watu wote kwakuwa kawaumba kwa hiyari yake.
Kinyume na hapo sio Neno la Mungu.
 
Huyo MWENYEZI MUNGU unazungumzia hapa ainaitwa JEHOVAH BABA WA MILELE MFALME WA WAFALME

NI HATARI SANA HUYO MWAMBA ALIIPASUA BAHARI YA SHAM KWA MKONO WAKE HODARI

NDIYE ALIYE MPIGA PHARAOH NA JESHI LAKE

Swadaktaa,
Yeye hahitaji kiumbe dhaifu, binadamu anayeweza kufa apigane kwa ajili yake. Yeye anawaambia binadamu wamtii yeye na binadamu kupendana. Halafu anasema, "huwezi kusema unampenda Mungu ambaye hujawahi kumuona, halafu ukamchukia binadamu mwenzako unayeishi naye kila siku".
 
Naam ndo huyo huyo ameketi juu mawingun
 
Hiiii ni wapalestina na waisraeli mkuu…
Hiii vita si ya kidini….ila wanaopigana wana dini….na ukumbuke pia Palestinian na Israel kuna Dini zaidi ya hizo ukizozitaja.
Hapa tu niliona kuna mushkel
 
Dini ya waislamu imebuniwa juzi na muarabu na kukuta dini zingine, Sasa badala ya kuishi vizuri na dini ilizokuta, imeanzisha chokochoko kote.
 
Kwa wasio mjua Mhaya wanadhani ni muislam, mi ninachoweza kusema, kama haya ameyaandika kutoka moyoni, basi iman ya kiubinadam imeanza kumuingia na kuona mateso wanayopitia wapalestina. Ni hatua nzuri, ubinadamu kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…