Waislamu wanawajibika kukabiliana na ukweli huu mchungu

Waislamu wanawajibika kukabiliana na ukweli huu mchungu

Wewe ndiye ulieanza vitimbi matusi na mizaha kwa ulichomjibu mwenzako pale juu.

Umetoa wapi guts za kumwambia yeye yupo na shetani na wewe upo na Mungu wakati unavuta pumzi hii hii anayovuta yeye?lengo langu siyo kubishana na wewe kama utakuwa umenielewa sawa hukunielewa pia sawa
Suala la kuvuta pumzi moja lisikuchanganye kwasababu Allah ashasema rehma yake imekienea kila kitu, mpaka kufikia hatua unamkuta mtu anafanya maasi ambayo shaytwan amempambia na wakati huohuo anapata rehma za Allah kama pumzi, nguvu n.k.
 
Suala la kuvuta pumzi moja lisikuchanganye kwasababu Allah ashasema rehma yake imekienea kila kitu, mpaka kufikia hatua unamkuta mtu anafanya maasi ambayo shaytwan amempambia na wakati huohuo anapata rehma za Allah kama pumzi, nguvu n.k.
Then usimuhukumu mwenzako as longer as wote yeye na wewe hakuna anayeijua hatma yake,in short hapo ulipo huijui dakika moja mbele kitakutokea nini.

Ishi kwa kiasi usiishi kwa kisasi kwamba yule hajui mimi najua,hii itakusaidia sana ukiifuata.
 
Then usimuhukumu mwenzako as longer as wote yeye na wewe hakuna anayeijua hatma yake,in short hapo ulipo huijui dakika moja mbele kitakutokea nini.

Ishi kwa kiasi usiishi kwa kisasi kwamba yule hajui mimi najua,hii itakusaidia sana ukiifuata.
Na bila shaka hujui kutofautisha kati ya kumuhukumu mtu na kumwambia mtu ukweli. Siku zote anayezipinga aya za Allah na na kuziita kwa kejeli kama alivosema huyo mpambe wako "Kitabu cha kutengeneza magaidi", moja kwa moja huyo HAJUI NA ANAMUUNGA MKONO SHAYTWAN. Hakuna muda wa kuanza kufichaficha eti nimuache katika upotofu wake bali nisipomwbia nitakuwa nimebeba dhima ya kuulizwa kwamba kwanini sikusema.
 
Na bila shaka hujui kutofautisha kati ya kumuhukumu mtu na kumwambia mtu ukweli. Siku zote anayezipinga aya za Allah na na kuziita kwa kejeli kama alivosema huyo mpambe wako "Kitabu cha kutengeneza magaidi", moja kwa moja huyo HAJUI NA ANAMUUNGA MKONO SHAYTWAN. Hakuna muda wa kuanza kufichaficha eti nimuache katika upotofu wake bali nisipomwbia nitakuwa nimebeba dhima ya kuulizwa kwamba kwanini sikusema.
Acheni ujinga wenu
Kwani kasema uongo si huo ndio ukweli wewe huoni magaidi yanajificha kupitia dini yenu..maana yake ni rahisi uislamu kumhifadhi gaidi.


Sema dini zote ni utapeli tu! Huwezi kuniambia duniani hapa kwamba ukiwa muislam basi Mungu anakusajilu moja kwa moja peponi na vipi kuhusu wakristo, budha, shinto, n.k na wanamwamini Mungu wao kwamba Mungu huyo atachukua dini ipi aache ipi?

Kuna mambo ukitumia akili za kawaida huwezi fanya!

Nawapongeza mna utaratibu mzuri wa mtu akufa ni kuzika chapu na suala la Ndoa mpo vizuri kwa kweli! Kama babu zetu walivyo fanya walioa wanawake wengi kwa sababu za kiuchumi na kimazingira kipindi hicho..


Ila mambo ya kufunga na kuitana kafili na mengine ! Huwa mnafeli sana!
 
Kitabu cha kutengeneza magaidi

1717478810586.jpeg
 
Ushauri kwa waislamu wote.

Kama unataka kujua na kulielewa vyema kitabu chako basi ni vyema ukajifunza lugha halisi iliyotumika kuandika Quran, tafsiri nyingi sikuhizi zina utata mwingi.
Lakini kwa nini Allah awatese waumini namna hii? Kweli ni lazima kila mwanadamu muislam ajue kiarab ndipo aelewe Quran/Uislam? Kwa nini basi kama ni hivi Allah angewafanya wanadamu wote wazungumze kiarab ili wote wawe sawa.

Maana kwa sasa waislam ambao kiarab siyo lugha yao mama wanateseka sana kuujua Uislam. Na pengine wasiujue kabisa kwa usahihi hadi waage dunia
 
Suala la kuvuta pumzi moja lisikuchanganye kwasababu Allah ashasema rehma yake imekienea kila kitu, mpaka kufikia hatua unamkuta mtu anafanya maasi ambayo shaytwan amempambia na wakati huohuo anapata rehma za Allah kama pumzi, nguvu n.k.
Jazakallah khair
 
Lakini kwa nini Allah awatese waumini namna hii? Kweli ni lazima kila mwanadamu muislam ajue kiarab ndipo aelewe Quran/Uislam? Kwa nini basi kama ni hivi Allah angewafanya wanadamu wote wazungumze kiarab ili wote wawe sawa.

Maana kwa sasa waislam ambao kiarab siyo lugha yao mama wanateseka sana kuujua Uislam. Na pengine wasiujue kabisa kwa usahihi hadi waage dunia
Kujua kusoma Quran ni wajibu wa kila Muislamu, kwenye hilo hakuna kisingizio.
 
Sote tunajua kuwa miongoni mwa changamoto zinazotukabili waislamu wengi ni kuielewa Quran, na shida ni kwamba tukipata tafsiri tunapata ambazo hazijaelezewa

Hivyo nawapa darsa za Quran iliyoelezewa na atakayeona zitamfaa ILI AZIPATE anahitajika awe na BANDO TU(MBs)

Hizo darsa zinapatikana hapa 👉 TAFSIR YA QURAN ILIYOELEZEWA
Qur'an haihitaji tafsiri ya yeyote yule.
 
Vitimbi unavyohitaji kuanzisha ni cha mtoto kwani wamepita wangapi waliojaribu kumzuilia Allah uwongo naye Allah akawaangamiza na leo tunawataja kwa mabaya. Kumbuka wewe uko na shaytwan na mimi niko na muumba.
Ha ha ha.... Uongo mtupu. Tena uongo hasa na ndugu zenu majini.
 
Sote tunajua kuwa miongoni mwa changamoto zinazotukabili waislamu wengi ni kuielewa Quran, na shida ni kwamba tukipata tafsiri tunapata ambazo hazijaelezewa

Hivyo nawapa darsa za Quran iliyoelezewa na atakayeona zitamfaa ILI AZIPATE anahitajika awe na BANDO TU(MBs)

Hizo darsa zinapatikana hapa 👉 TAFSIR YA QURAN ILIYOELEZEWA
Tatizo liko kwenye Quran yenu, imejaa ngono, chuki, ukatili na uuaji. Sasa viongozi wenu huwaficha ukweli hasa ulioandikwa kwe Quran na Sunnah za Mtume. Mfano Quran 3:47 Gibril alimtokea mariam kama kijana wa kiume, akatumia vidole vyake kumpandisha ny*ge; Quran 66:12 yasema Allah alimtokea mariam na akapuliza kwenye V*gina yake; sikiliza hapo pia kumbe Mohammed alitokewa na gibril akiwa kama kijana wa kiume. Hizi facts zote viongozi wenu wanazificha.
Pia sikiliza Huyo Sheik wa kishia akichambua uchafu ulioko kwenye Sahih Al-bukhari

View: https://youtu.be/2CMfhMIx_Zk?si=yT6yss27djRauMmf


View: https://youtu.be/ElY8sRu9Hi0?si=hmzDwinXJjEft7WH
 
Back
Top Bottom