Japo mimi si mtaalamu wa dini, ninaamini kabisa hamna dini yoyote inayofundisha waumini wake kwenda kubomoa nyumba za inada wa waumini wa dini nyingine. Waliohusika na ubomoaji wa makanisa wamefanya hivyo kwa kusukumwa na misukumo mingine nje ya imani ya dini ya kiislamu.
si suala alinalohitaji mtu kuwa na elimu kubwa ili aone.Makanisa yanachomwa dunia nzima na waislam kila wakipandisha hasira.Ni njia imetumika ubana Ukristu kwa miaka.Huwa nchi za kiiislam km Egypt wana sheria zinahitaji kibali ,kwa ujenzi au hata kufany marekebisho ktk kanisa....sasa whats happen hawa jamaa wakipandisha hasira, huwa wanachoma halafu upelelezi unafanyika na hao wahalifu wa kidini huwa hawapewi adhabu kabisa au awanapata kidogo sana,kutokana na watu kuja na sababu kuwa walikuwa ni wahuni ,na mara nyingine mashinikizo ya wenye siasa kali kuwa watu wao waachiwe huru otherwise watafanya mauaji na vitisho vingine vya namna hiyo.
Pia ,ujue kuwa uislam una mafundisho mengi yanayohimiza kuangamiza wasio waislam,sasa njia za kunagamiza ni nyingi.Na usitegemee kukuta mambo yote yakawa yameandikwa specifically.Km mabomu wanayotumia hayakuandikwa ila mauaji yameandikwa.
Yaweza kuwa msukumo wa kisiasa, kikabila, kidini au ubinafsi kwa ujuma.
Sasa mbona unakubali tena, kuwa ni sababuza kidini...Pia uje wanauamsho wamesajiliwa km taasisi ya kidini.
Makanisa Zanzibar yamekuwepo kwa miaka na waislamu wamekuwepo kwa miaka iweje leo hii tabia ya kujoma makanisa izuke. Nimewasikia wasomi mbalimbali wa kiislamu wakinukuliwa na vyombo mbalimabli vya habari wakibainisha kwamba Kuraani inakataza kufanya uharibifu katika misikiti, makanisa na masinagogi ambamo jina la mungu linatamkwa kwa wingi.
Mimi ningependa kuona vyombo vya dola vinachunguza kwa kina waliohusika katika uharibifu huo mkubwa na kuwachukulia hatua inayostahili.
Utasikia hizo story for years na bado haitoisha sikia uchomaji ,mauaji etc...Waislam hawaruhusiwi shuhudia against muislam mwenzao.Uliona pakistan kwa nini walimhifadhi osama na sasa wanawahukumu waliosaidia kuuwa kwake.Si walikuwa wakijifanya wanasaidia war on terror?
Hao wanaosema hivyo, wana maeneo at least wakiwa wenyewe wanapogeza hilo na kuwatakia mwendo mwema.
Sidhani km sehemu litajwapo jina la Mungu kunazuia muislam kupaharibu,haiwezekani dunia nzima waislam wasiwe wanajua hayo wanayosema hao wasomi.Wao wapo kulinda dini kwa loloto...ama kwa uongo mtakatifu() au hata mauaji ...
{unaopoozea makafir}.
Pia mafundisho yanayopuuza maandiko na mafundisho ya dini nyingine yanapunguzia wafuasi wao,heshima mbele ya wengine, wakiongezewa na mahubiri km yajulikanavyo juu ya dini nyingine si haba kuona waislam wakiwa waaribifu wa maisha ya wengine.
Pia ukiweza soma Quran, na hadith kwa lugha uijuayo halafu uone kama wakuambiacho ni kweli au hata hao wachomaji uone ni kwanini wanjiamini kufanya wafanyalo.