Waislamu wazindua Jukwaa la KATIBA

Waislamu wazindua Jukwaa la KATIBA

Ndio shida ya kurukia mambo yasiyokuhusu. Nashukuru leo nimejua kuwa wewe sio mTanzania ila unachochea tu magomvi ya kidini kwa manufaa ya shetani aliyekutuma. Nani aliyesema kuwa serikali haina nia ya kujenga hospitali zake? Kama unaona serikali haijengi hospitali, basi ni kwa kuwa na uwezo mdogo wa kufanya hivyo kwa wakati. Hebu niambie kwa kutumia hizo hizo akili zako ulizotumia kuandika hapa juu: Kwa kipindi ambacho serikali itasitisha kutoa 91bn kugharamia dawa na gharama za uendeshaji kwenye MoU, wananchi wanaotibiwa kwenye hospitali hizo watakuwa hawaumwi mpk ujenzi wa hospitali za serikali ukamilike au wafe tu?

Shida yako ni kuleta ushabiki kwenye jambo ambalo linahitaji sera. Pamoja na kanisa kujitahidi kufikisha huduma kwa jamii zilizopo mbali na huduma, hilo halijafanikiwa kwa kuwa Tanzania ni kubwa na idadi ya watu inaongezeka kila leo. Kwa hiyo ukiwa na akili hata kidogo utaona kuwa serikali hata ikiwa na uwezo wa kujenga hospitali, basi itajenga kwanza ktk maeneo yale ambayo hayana hata za kanisa na sio kuanza ku-replace za kanisa kwa kuwa tu kuna watu ambao kwao elimu na hekima ni tatizo kwa hiyo hawataki. Ikajenge Hospitali mpya pembeni ya Teule Mission Hospital au ikajenge zahanati Mafia ambako hakuna hata moja ya maana sbb kanisa halijafika huko?

Naomba nikupe mfano wa hai wa tatizo lenu la kiitikadi: (tafadhali soma kwa makini na zingatia kuwa natumia muda wangu ili tu uelewe): Jana hapa hapa JF ktk moja kati ya THREAD lukuki za Malaria Sugu kuna moja ilikuwa inazungumzia matatizo ya uongozi ya kisiwa cha Mafia. Kama kawaida Uislamu kuonewa haukukosekana ndani ya uzi huu (as far as Malaria Sugu was the author), na matatizo mengine lukuki in form of manung'uniko kama ilivyo kawaida. Ipo sehemu ktk huo uzi inayoshutumu uongozi wa kisiwa kugawa kiwanja kwa kanisa bila kuzingatia kuwa 99.9% ya wakazi wa Mafia ni Waislamu.

Sasa turudi kwenye My Perspective: Kisiwa cha Mafia kinakaliwa na Waislamu (kwa mujibu wa Malaria Sugu), na ni dhambi kwa kanisa kupewa kiwanja huko. Kisiwa cha Mafia hakina maendeleo, na huu ni ukweli. Sasa tujiulize jambo: Kuna misikiti mingapi na madrassa Mafia? Tunaposema kuwa hamna utashi wa kufanya mambo ya maendeleo siku zote huonekana tunawatukana au kuwaonea. Lkn wkt jana MS anaongea ujinga hapa, alijiona labda ndio anajua saana solution ya matatizo ya Mafia. Sasa amini nawaambia, kama KANISA litaingia Mafia (kama MS hatazuia kanisa kupewa kiwanja), basi ni suala la wakati tu, utaona Zahanati na Shule ya Ufundi mahali hapo. Hiyo ndio namna kanisa hufanya mambo yake.

Najua badala ya kutafakari utarukia mwenye kubisha lkn acha nikwambie: Ukiwa Mafia, kama ukapatwa na serious health problem, kimbilio ni Zahanati ya Mission ya Mchuki. Mchuki si kisiwani bali ni huku Ikwiriri (Rufiji) na inamilikiwa na Kanisa la Pentekoste. Mchuki haipewi ruzuku (Mou) lkn inategemewa na watu hadi wa nje ya Rufiji km Mafia hadi Kilwa. Ndio hospitali inayoongoza hapa nchini kwa kufanya operation za mabusha. Sioni kama kuna utashi wa viongozi wa dini ya kiislamu (huko Mafia) wa kuona waumini wao wanaishi maisha yenye ufani. Na hii ni kwa sababu elimu ipo nyuma kwao. Sasa nyinyi mliopo nje ya nchi badala ya kuwasaidia mawazo na tija waislamu wa hapa, nyie mnatumia fursa ya kuwa kwao nyuma kiufahamu kuleta manung'uniko na chuki.

Mimi sijui wewe ni wa nchi gani lkn naaamini una nchi ulikotoka au kama uko Qatar ndio kwenu, basi fanyeni mambo yatakayoupa uislamu sura ya dini yenye kuleta maendeleo na sio manung'uniko. Jamii za kiislamu hutambulika kirahisi kwa ID ya ufukara na ujinga badala ya tija na maendeleo, na kisiwa cha Mafia ni mfano. Ufadhili mnaoutoa kujenga misikiti, madrassa na ugaidi ungepanuliwa kidogo na kufadhili huduma za jamii pia. Hii itawajengea Waislamu wa Tanzania utamaduni wa kupenda elimu na maendeleo badala ya mafundisho ya chuki mnayoyagharamia sasa.

Na pia nikuombe, Mambo ya Tanzania tuachie watanzania wenyewe ikiwa huna nia ya kusaidia.

Waarabu tuna usemi mmoja. nitauweka katika tafsiri isiyo rasmi kwa kimombo.

The right question is usually better than a right answer for a wrong question.

Sasa suala langu kwako Kabla ya MoU hiyo ya mwaka 1992. Je wananchi ambao ni watanganyika walikuwa wanapata wapi tiba?
Suala hili lianzia kabla ya uhuru wenu 1961 na baada ya uhuru wenu 1961.

nasubiri jibu lako hapa.

lakini kwa kuongeza. Je unaona ni busara kwa serikali yenu kuwa tegemezi kwa kanisa? Na kwanini wasijenge hospital zao wenyewe?


Fikiri kabla kuandika.

 
Mkuu hayo mahesabu yako hapo juu nadhani umeyafanya ukiwa kwenye kashata na kahawa.
Hebu tupe kitu kamili kama:- costs za ku plan/kujenga miundombinu ya shule/chuo/hospitali . costs za kununua vifaa kama vitabu, projectors , vifaa vya labs/upasuaji, vifaa vya kutunza madawa pamoja na gharama ya dawa zenyewe. Gari la wagonjwa . Costs za ku maintain majengo na vifaa vyote kwa mwaka . Costs za mishahara nk nk. Ukiweza kugawanya gharama zote hizo kwenye hizo 91BN halafu u kapata idadi ya shule ,vyuo na hospitali hiyo, wewe utakuwa ni mtaalam kweli lakini najua huwezi kwa sababu hujui jinsi hivyo vitu vinavyoendeshwa .


Kwa hakika unaongea usichokijua.

Tembele hospitali yoyote ile ya dini kama Bugando, KCMC au hata zile za wilaya kule Kagera mfano mzuri ile ya kule Ngara. Utaona hospitali nzima inaendeshwa na Serikali kuanzia mishahara wa madaktari, wauguzi na wafanyakazi wengine, madawa, gari la wagonjwa na hata upanuzi wa majengo unafanywa na Serikali kupitia halmashauri zake au serikali kuu. Kwa lugha nyepesi all operational cost zinafanywa na Serikali.

Kanisa linapewa Bilioni 91 kwa ajili ya admin cost. Je ni sawa hapo?

Kuhusu gharama za kujenga District Hospital naomba upitie bajeti yenu ya 2011/2012 ya wizara ya Afya na ustawi wa jamii imeainishwa humo kuwa ni kati ya bilioni 4 mpaka 7 ikijumuisha na vifaa vya hospital. naomba unyambue kwenye bajeti kisha utaliona hilo.
 
Malengo ya jukwaa la katiba.

[1] Tanzania ijiunge na OIC

[2] Tanzania ianzishe mahakama ya Kadhi.

[3] Tanzania ifunge ubalozi wa Vatican.

[4] Tanzania ianzishe mfumo wa kugawana madaraka nusu kwa nusu ie baraza la mawaziri likiwa na mawaziri 20 kumi wakristo kumi waislamu
 
Wajameni, hilo jukwaa limezinduliwa leo au limegoma kuzinduka, au lisomewe rugya?
 
Malengo ya jukwaa la katiba.

[1] Tanzania ijiunge na OIC

[2] Tanzania ianzishe mahakama ya Kadhi.

[3] Tanzania ifunge ubalozi wa Vatican.

[4] Tanzania ianzishe mfumo wa kugawana madaraka nusu kwa nusu ie baraza la mawaziri likiwa na mawaziri 20 kumi wakristo kumi waislamu

(5) Mahospitalini idadi ya madaktari iwe sawa kwa sawa
(6) Idadi ya wanafunzi wanaojiunga vyuo vya elimu ya juu iwe sawa kwa sawa.
(7) idadi ya wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na form one shule za serikali iwe sawa kwa sawa
(9) idadi ya shule za binafsi kwa wakristo na waislamu iwe sawa kwa sawa
 
Malengo ya jukwaa la katiba.

[1] Tanzania ijiunge na OIC

[2] Tanzania ianzishe mahakama ya Kadhi.

[3] Tanzania ifunge ubalozi wa Vatican.

[4] Tanzania ianzishe mfumo wa kugawana madaraka nusu kwa nusu ie baraza la mawaziri likiwa na mawaziri 20 kumi wakristo kumi waislamu

Tanzania ifunge balozi za Iran na Saudia kwa sababu ni nchi za kidini kama Vatcan!
 
Waarabu tuna usemi mmoja. nitauweka katika tafsiri isiyo rasmi kwa kimombo.

The right question is usually better than a right answer for a wrong question.

Sasa suala langu kwako Kabla ya MoU hiyo ya mwaka 1992. Je wananchi ambao ni watanganyika walikuwa wanapata wapi tiba?
Suala hili lianzia kabla ya uhuru wenu 1961 na baada ya uhuru wenu 1961.

nasubiri jibu lako hapa.

lakini kwa kuongeza. Je unaona ni busara kwa serikali yenu kuwa tegemezi kwa kanisa? Na kwanini wasijenge hospital zao wenyewe?


Fikiri kabla kuandika.


ivi waarabu wa Oman,mambo ya uku Tanzania kwetu yanawahusu nini??
 
Je una uhakika wa unachokisema.
Je unaijua Mou yenyewe na unajua kanisa linakwapua kiasi gani toka katika Serikali masikini ya Tanganyika.

MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Fisadi EL. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.


Jiulize kama Serikali ingekuwa kila mwaka kutokana na pesa hizo ingekuwa inajenga hospitali 2 na labda chuo kimoja na secondari 3. Je sasa ingekuwa imefikia wapi?

Kwanini wazidi kukodi kwa kanisa? Kwa mwenye akili timamu atajiuliza kama kanisa waliweza kujenga kwanini washindwe kuviendeleza?



Unaweza kuwa na ushahidi mzuri.Je pesa alizokusanya Babu Loliondo wa KKkt Zinanufaisha wakatoliki?.Pesa walizopewa BAKWATA wamepata Shura ya Maimamu?.Wakati wa Uchaguzi Shura walitaka kuandamana BAKWATA wakapinga.Sasa hivi kuna fungu limetolewa na Rais kushughurikia mchakato wa Kadhi lakin akina Shehe Ponda wapo Diamond kutaka kadhi awe kwenye katiba mpya.Pengo na Mfuti wana diplomati paspoti lakin wengine hawana!.Napenda kukwambia acha kudhani kwamba Wakristo ni Katoliki,KKT,Anglikan.Wakristo hawana Mkataba na serikali bali Wakristo wanamkataba na YESU KRISTO katika misingi ya kumukiri
 
Unaweza kuwa na ushahidi mzuri.Je pesa alizokusanya Babu Loliondo wa KKkt Zinanufaisha wakatoliki?.Pesa walizopewa BAKWATA wamepata Shura ya Maimamu?.Wakati wa Uchaguzi Shura walitaka kuandamana BAKWATA wakapinga.Sasa hivi kuna fungu limetolewa na Rais kushughurikia mchakato wa Kadhi lakin akina Shehe Ponda wapo Diamond kutaka kadhi awe kwenye katiba mpya.Pengo na Mfuti wana diplomati paspoti lakin wengine hawana!.Napenda kukwambia acha kudhani kwamba Wakristo ni Katoliki,KKT,Anglikan.Wakristo hawana Mkataba na serikali bali Wakristo wanamkataba na YESU KRISTO katika misingi ya kumukiri

hivi hili kongamano limeishia wapi? au kulikuwa hakuna waandishi wa habari?
 
Mkuu nakupongeza kwa kuandika kiadirifu na kueleza fact,binafsi sikufahamu,but your pts speaks the naked fact which wengi wa hawa watu amefunga akili zao,they've vowed nt to understand and choose to live intheir continued illusion,that they alwayz should have enemies,hili tatizo huwa limen'gan'gania rohoni kwenye utu wao! I ussually hardly understand these people,hivi utakuwa na adui ambaye yeye hakuoni kuwa wewe ni adui? Wajua spending much of time,money and other resources kujadili upuuzi kwao nikawaida! Man! Better have strategy for development,muwe na kitu mtaongezewa,km hamjui kutumia hata akhli mliyopewa bure,nayo mnanyan'ganywa nahao wanaofikiria on behalf.
 
Waarabu tuna usemi mmoja. nitauweka katika tafsiri isiyo rasmi kwa kimombo. The right question is usually better than a right answer for a wrong question. Sasa suala langu kwako Kabla ya MoU hiyo ya mwaka 1992. Je wananchi ambao ni watanganyika walikuwa wanapata wapi tiba? Suala hili lianzia kabla ya uhuru wenu 1961 na baada ya uhuru wenu 1961. nasubiri jibu lako hapa. lakini kwa kuongeza. Je unaona ni busara kwa serikali yenu kuwa tegemezi kwa kanisa? Na kwanini wasijenge hospital zao wenyewe? Fikiri kabla kuandika. [/QU Arab,u seem to be very short thought-maniac,Billionair-elimu tulompa huyu allien inamtosha,he needs to rd it time and again! Kifupi ni hv,ingekuwa,haitakuwa though,waislam ndo wenye hzo huduma,watu wengi wangepotea,we angalia shule yao,hospitali zao na huduma zao zinavyo-collaps,angalia maadili yao,madawa ya kulevya,ushoga,majini,uchawi-ushetani vyote vyao,kuuliza kwanini wengine waendelee badala ya kwa nini wao hawaendelei!
 
Kwa hakika unaongea usichokijua. Tembele hospitali yoyote ile ya dini kama Bugando, KCMC au hata zile za wilaya kule Kagera mfano mzuri ile ya kule Ngara. Utaona hospitali nzima inaendeshwa na Serikali kuanzia mishahara wa madaktari, wauguzi na wafanyakazi wengine, madawa, gari la wagonjwa na hata upanuzi wa majengo unafanywa na Serikali kupitia halmashauri zake au serikali kuu. Kwa lugha nyepesi all operational cost zinafanywa na Serikali. Kanisa linapewa Bilioni 91 kwa ajili ya admin cost. Je ni sawa hapo? Kuhusu gharama za kujenga District Hospital naomba upitie bajeti yenu ya 2011/2012 ya wizara ya Afya na ustawi wa jamii imeainishwa humo kuwa ni kati ya bilioni 4 mpaka 7 ikijumuisha [/QU Ni lini ulitembelea huko we allien? Anzisha na wewe hospitali uone km ni rahisi namna hiyo. Hizi institutions zinajiendesha kwa pesa yao,acha kupotosha! Rais-muislam aliwaasa muache kunun'gunika,jengeni miundombinu yenu mtaheshimiwa,siyo kuogopwa kwa kujilipua.
 
Malengo ya jukwaa la katiba. [1] Tanzania ijiunge na OIC [2] Tanzania ianzishe mahakama ya Kadhi. [3] Tanzania ifunge ubalozi wa Vatican. [4] Tanzania ianzishe mfumo wa kugawana madaraka nusu kwa nusu ie baraza la mawaziri likiwa na mawaziri 20 kumi wakristo kumi waislamu [/QU Professionalism hapo haipo,just dini! Sisi wakristu hatu-intertain ujinga hata km ni mkristu anahusika,Pope hakukosea,'islam is a backward devilish revoluion' hebu angalia,ni lipi kati ya hayo lita-boost uchumi? Si mnaona rais alivyo kuwa ombaomba wkt resources ya kutosha tunazo!
 
Malengo ya jukwaa la katiba.

[1] Tanzania ijiunge na OIC

[2] Tanzania ianzishe mahakama ya Kadhi.

[3] Tanzania ifunge ubalozi wa Vatican.

[4] Tanzania ianzishe mfumo wa kugawana madaraka nusu kwa nusu ie baraza la mawaziri likiwa na mawaziri 20 kumi wakristo kumi waislamu

very true ndo wanachotaka
 
mbona waislamu wana Mwongozo wao Mzuri wa Qurani na Sunnah ambao umekusanya mambo yote ya maisha,uongozi na siasa,nk,sasa wana haja gani ya kutaka mwongozo wa kibinaadamu? kwa sababu katiba kila muda fulani inarekebishwa,nawashauri waislamu kuwa huu utaratibu wa kibinaadamu wa kujitungia sheria na mwongozo kwao wao hauwafai,watosheke na Qur'ani.
 
Isitoshe,nakumbusha kuna sheikh Mmoja Aitwa Salum Barahiani tayari kazunguruka Karibu mikoa yote akieleza Qur'ani inavyosema kuhusu katiba za kibinaadamu,na akiwataka waislamu wabaki na Qur'ani yao inawatosha.
Pia nalimsikia Sheikh Mussa Kileo akiwa katika msikiti fulani maeneo ya kinondoni akisema :Matatizo ya waislamu si katiba,wala kubadilishwa kwa katiba,na hata katiba iliopo ikibadilishwa bado waislamu wataendelea kuwa na matatizo yao,na akabainisha kuwa tatizo msingi la Waislam ulimwenguni kote ni kuyaweka pembeni mafunisho ya Qur'ani na kuwa mbali na maisha yao,cha kufanya ni kuyageuza maisha yao yaendane sambamba na mafundisho ya dini yao.na hatimaye kupatikana Khalifah (kiongozi Mkuu wa kidini na kisiasa wa Kiislam.
 
Ina maana matatizo ya waislamu ni hayo ya kuwa na kadhi ? mbona Rais kawapa ruhusa kuwa na kadhi wao au wanataka kadhi wa Serikali?kama ndivyo basi serikali hii si ya kiislamu,wafanye kampeni ije serikali yao
 
Back
Top Bottom