Waislamu huwa mnanichekesha sana mnapojenga hoja. Huwa ninajiuliza hivi huko misikitini huwa kuna watu wa aina gani. NO wonder all muslims educated huwa hawasiklizi mawaidha baada ya sala!
Hizo pesa zinazotolewa na serikali ni kwenye taasisi za kikristu zinazotoa huduma kwa jamii. Sio kwaajili ya kuendeleza/kuendesha ukristu kama makanisa. FYI hiyo MoU haimo kwenye katiba ya nchi na haijavunja kipengele chochote cha katiba. Endeleeni kuwadanganya waislamu kwamba hospitals na shule zote za kikristu zimepatikana kutokana na MoU. Mtabaki watu wa kulalamika milele.
Imagine kama Mkoa wa Kagera hospitali zote za wilaya ni DDH (District Desgnated Hopital). Eti leo serikali iache kuzi subside hizo DDHs na ianze kujenga za kwake, hivi hiyo malaria, UKIMWI, Pneumonia, TB, ARS, etc yatakuwa yanawasubiri tu nyinyi waislamu hadi hizo hospitali zitakapomalizika?!
Mimi ninafikiri MoU hiyo ifutwe tu halafu kila mgonjwa atakayekwenda DDHs, Bugando, Agha Khan, KCMC etc aononesha cheti cha ubatizo kama anacho analipa 1/2 of the cost, kama mtu hana au ana sigida kwenye paji la uso analipa x 10 of Christians ili kufidia wakristu kwasababu ya kutumia huduma zao. Na hivyo hivyo kwenye mashule, kama watoto wa wakristu let say wanalipa 100,000/- per years as school fees, basi waislamu walipe x10 times, 1,000,000/- Nafikiri tukifanya hivi haya malalamiko yatakwisha na waislamu watatia akili kichwani na kujenga hospitals na mashule yao badala ya kuendelea kuwaonea husuda wakristu tu kwa mali zao.