kisakapwike
New Member
- Jan 13, 2012
- 4
- 0
Day dreaming!
Malengo ya jukwaa la katiba.
[1] Tanzania ijiunge na OIC
[2] Tanzania ianzishe mahakama ya Kadhi.
[3] Tanzania ifunge ubalozi wa Vatican.
[4] Tanzania ianzishe mfumo wa kugawana madaraka nusu kwa nusu ie baraza la mawaziri likiwa na mawaziri 20 kumi wakristo kumi waislamu
ivi waarabu wa Oman,mambo ya uku Tanzania kwetu yanawahusu nini??
Nadhani hata JK alishawahi kuwahimiza viongozi wa dini pamoja na waumini wao kutoa mchango wao kwenye katiba mpya ila wasiingize mambo ya dini maana yataleta mafarakano...sasa wenzetu sijui wanatumia viungo gani vya mwili kufikiria!?
ndugu unaweza kuwa na macho kisha usitambue unachokitazama. Sasa hy mahakama ya kadhi wasifikiri ndio shuluhusho. Je watamudu uendeshaji wake? Wajaribu kufikiria tanzania sio saudia. TAFAKARI CHUKUA HATUA"
....Kuchoma makanisa na kutisha wabara waishio visiwani , kulazimisha nchi iwape nguvu ya dola ktk Mahakama ya kadhi(ili kumbana muislam aliyeamua kutokuwa mmoja wa mabo hayo, mjane asiye mmoja wao) ni zaidi ya mambo yao...unless una reverse logic hutaona nini kinaleta shida hapa......
Kwa hakika hasa hii ni picha ndogo ya picha kubwa ya kazi ambazo bakwata ilitakiwa kufanya. Wengi wanawasiwasi kua waislam kama wataachiwa kupanga mambo yao wanaweza kua tishio kwa jamii nyingine ingawaje hawaelezi hasa kwanini wana wasiwasi huo.
Nature ya uislam haihamaisishi kumfanyia uadui mtu mwengine yoyote. Lakin mpaka waislam watakapopewa nafasi na wao wenyewe watakapo jipanga na kupuuza tofauti zao ndogondogo ambazo hazina msingi watakua ktk position ya kulionyesha hilo kama reality.
......
very true ndo wanachotaka
At least hiyo ni hatua moja sahihi ya kuelekea right direction. Hili lilitakiwa lifanyike mapema na sio ktk kujadili katiba tu ispokua kujadili mengi ambayo waislam yanawahusu kama waislam na yanayowahusu kama raia wa kawaida.
Kwa hakika hasa hii ni picha ndogo ya picha kubwa ya kazi ambazo bakwata ilitakiwa kufanya. Wengi wanawasiwasi kua waislam kama wataachiwa kupanga mambo yao wanaweza kua tishio kwa jamii nyingine ingawaje hawaelezi hasa kwanini wana wasiwasi huo.
Nature ya uislam haihamaisishi kumfanyia uadui mtu mwengine yoyote. Lakin mpaka waislam watakapopewa nafasi na wao wenyewe watakapo jipanga na kupuuza tofauti zao ndogondogo ambazo hazina msingi watakua ktk position ya kulionyesha hilo kama reality.
Wakati umefika Bakwata ifanye kazi zake kwa ufanisi na kila mtu apewe jukumu linalostahili na vigezo vinavyostahili. Kwa mfano ni muhimu ktk kujadili swala la katiba wakapatikana wataalam ambao wanaifahamu vizuri sheria ya nchi na wanafahamu vizuri sheria let say ya kiislam. Hapo wataweza kufanya balance kua kitu wanachojaribu kukiproposal kinaweza kweli kikafanyiwa kazi ktk secular government?
Vinginevyo busara itumike ktk kuyaadress marekibisho yanaykusudiwa ktk njia ambazo yanaweza kupatiwa ufumbuzi. Hao yote ni magumu kufanyika bila ya elimu ya kutosha. Jaribuni kuwahusisha wataalam mbalimbali ili juhudi hizi muhimu zisipotee bure. Good luck
....Kuchoma makanisa na kutisha wabara waishio visiwani , kulazimisha nchi iwape nguvu ya dola ktk Mahakama ya kadhi(ili kumbana muislam aliyeamua kutokuwa mmoja wa mabo hayo, mjane asiye mmoja wao) ni zaidi ya mambo yao...unless una reverse logic hutaona nini kinaleta shida hapa.
By the way,hakuna mahali muislam nashindwa kamilisha nguzo 5 za dini yake,+sunna.hayo mengine ni mafunzo ya dini yawe convincing enough kwa mfuasi kufuata sheria bila shuruti, na itakapofikia kahitaji shuruti basi si muuni tena.Kuendelea tumia dola mdhibiti ni makosa ambayo hata religious police wa Saudi Arabia wameanza kuwa embarassing to the community,that has always tried to perfect their life by more religious adherence with no avail.
Japo mimi si mtaalamu wa dini, ninaamini kabisa hamna dini yoyote inayofundisha waumini wake kwenda kubomoa nyumba za inada wa waumini wa dini nyingine. Waliohusika na ubomoaji wa makanisa wamefanya hivyo kwa kusukumwa na misukumo mingine nje ya imani ya dini ya kiislamu.
Yaweza kuwa msukumo wa kisiasa, kikabila, kidini au ubinafsi kwa ujuma.
Makanisa Zanzibar yamekuwepo kwa miaka na waislamu wamekuwepo kwa miaka iweje leo hii tabia ya kujoma makanisa izuke. Nimewasikia wasomi mbalimbali wa kiislamu wakinukuliwa na vyombo mbalimabli vya habari wakibainisha kwamba Kuraani inakataza kufanya uharibifu katika misikiti, makanisa na masinagogi ambamo jina la mungu linatamkwa kwa wingi.
Mimi ningependa kuona vyombo vya dola vinachunguza kwa kina waliohusika katika uharibifu huo mkubwa na kuwachukulia hatua inayostahili.
si suala alinalohitaji mtu kuwa na elimu kubwa ili aone.Makanisa yanachomwa dunia nzima na waislam kila wakipandisha hasira.Ni njia imetumika ubana Ukristu kwa miaka.Huwa nchi za kiiislam km Egypt wana sheria zinahitaji kibali ,kwa ujenzi au hata kufany marekebisho ktk kanisa....sasa whats happen hawa jamaa wakipandisha hasira, huwa wanachoma halafu upelelezi unafanyika na hao wahalifu wa kidini huwa hawapewi adhabu kabisa au awanapata kidogo sana,kutokana na watu kuja na sababu kuwa walikuwa ni wahuni ,na mara nyingine mashinikizo ya wenye siasa kali kuwa watu wao waachiwe huru otherwise watafanya mauaji na vitisho vingine vya namna hiyo.
Pia ,ujue kuwa uislam una mafundisho mengi yanayohimiza kuangamiza wasio waislam,sasa njia za kunagamiza ni nyingi.Na usitegemee kukuta mambo yote yakawa yameandikwa specifically.Km mabomu wanayotumia hayakuandikwa ila mauaji yameandikwa.
Sasa mbona unakubali tena, kuwa ni sababuza kidini...Pia uje wanauamsho wamesajiliwa km taasisi ya kidini.
Utasikia hizo story for years na bado haitoisha sikia uchomaji ,mauaji etc...Waislam hawaruhusiwi shuhudia against muislam mwenzao.Uliona pakistan kwa nini walimhifadhi osama na sasa wanawahukumu waliosaidia kuuwa kwake.Si walikuwa wakijifanya wanasaidia war on terror?
Hao wanaosema hivyo, wana maeneo at least wakiwa wenyewe wanapogeza hilo na kuwatakia mwendo mwema.
Sidhani km sehemu litajwapo jina la Mungu kunazuia muislam kupaharibu,haiwezekani dunia nzima waislam wasiwe wanajua hayo wanayosema hao wasomi.Wao wapo kulinda dini kwa loloto...ama kwa uongo mtakatifu() au hata mauaji ...
{unaopoozea makafir}.
Pia mafundisho yanayopuuza maandiko na mafundisho ya dini nyingine yanapunguzia wafuasi wao,heshima mbele ya wengine, wakiongezewa na mahubiri km yajulikanavyo juu ya dini nyingine si haba kuona waislam wakiwa waaribifu wa maisha ya wengine.
Pia ukiweza soma Quran, na hadith kwa lugha uijuayo halafu uone kama wakuambiacho ni kweli au hata hao wachomaji uone ni kwanini wanjiamini kufanya wafanyalo.
Ndugu yangu najua umekereka na yaliyofanyika Zanzibar kama mimi na watu wengine walivyokerwa. Pamoja na hivyo, jaribu kushuka chini kidogo na kupunguza hasira ili tujadili sote tukiwa neutral.
Kuna haja ya kutofautisha uislamu na waislamu kama ilivyo kwa ukristo na wakristo. Sina haja ya kutoa mifano ya namna dini hizi zilivyotumika ndivyo sivyo katika kuhalalisha maslahi fulani ya kiuchumi au kisiasa. Nikupe mfano wa namna wafanyabiashara ya utumwa walivyotumia ndivyo sivyo mafundisho ya ukristo kuhalalisha biashara ya utumwa. Walitumia habari ya watoto wa nabii Nuhu kuhalalisha utumwa wa milele wa waafrika kwa wazungu na waasia. Walisema kwamba yule Hamu aliyemchungulia baba yake akiwa uchi na kulaaniwa ni chanzo cha kizazi cha waafrika na Shamu waasia wakati yule mmoja aliyebaki wazungu. Wakahitimisha kwa kusema kwamba kuna uhalali wa kihistoria wa waafrika kuwa watumwa wa wazungu na waasia kutokana na laana ya Mungu. Mtu akilitizama hili kwa hasira tu anaweza kuhusisha mafundisho ya biblia na utumwa kitu ambacho hakiwezi kupikika pamoja. Ni hivyo hivyo waarabu walitumia mafundisho ya kiislamu isivyo kuhalalisha utumwa wa waafrika kwa dhana kwamba ni makafiri.
Tunachoweza kujifunza hapo ni kwamba kuwepo kwa watu wanaotumia uislamu au ukristo wao kufanya uhalifu hakumaanishi kwamba hayo ndiyo mafundisho ya dini husika.
Suala la kuchunguza ni la msingi maana misingi ya haki na uadilifu inataka mtu asihesabiwe mkosaji mpaka mahakama imuone hivyo. Tumewasikia waislamu Zanzibar wakikanusha kuhusika na uchomaji wa makanisa na kusisitiza kwamba hilo lilifanywa na watu wengine kwa maslahi yao. Inapotokea kama hivyo tutajuaje nani anasema ukweli bila uchunguzi huru kufanyika na hatimaye wahusika kufikishwa katika vyombo vinavyo husika? Kuna njia gani ya mkato tunayoweza kutumia bila kuathiri haki za wengine?
Jambo la msingi ambalo lingejadiliwa sambamba na kufanya uchunguzi na kuchukua hatua zinazostahili ni kuweka mikakati ya kuzuia tatizo kama hilo kutokea tena maana kinga no bora kuliko tiba.
Issue ni kwamba unachojaribu sema hapa ndicho wao wanchokielewa na kukiamini?Ingekuwa ndivyo basi pasingekuwa na pattern moja, ambayo inatuweka njia panda ktk kuwaamini,kimatendo, kwa maneno na hata kifikra.