Waitara awataka Upinzani wahamie CCM

Hajui maana ya uhuru yule karume wa zanzibar alihoji sasa yupo wapi?
Membe alihoji alifanywa nn?
Mzee makamba na kinana nini
Mzee jumbe kiliwakuta?
Wakati mwingine tuwe tunapima kiwango cha ulevi kabla hawajaingia bungeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…