Uchaguzi 2020 Waitara: M/kiti CCM Mkoa Mara ana tumbo kama pipa, simuogopi

Uchaguzi 2020 Waitara: M/kiti CCM Mkoa Mara ana tumbo kama pipa, simuogopi

Jamaa ameamua kukimbia Ukonga!? Au ameona itakuwa ngumu kupita kura za maoni? Maana hii ya juzi baada ya kuhama alipitishwa kwa mbeleko ya mwenyekiti.
 
Asiseme Kama pipa bali liko km simtank
 
Kuna maswali matatu kabla sijachangia;
1. Kwa nini Waitara katika wabunge wote waliohama kutoka upinzani ndiyo mbunge wa upinzani pekee aliyepata nafasi ya u-Naibu Waziri ?
2. Kwa nini Waitara anajiamini kiasi hicho kuwa haogopi hata Mwenyekiti wa CCM-Mkoa kugombea na kushinda Jimbo la Tarıme ?

Jibu liko hapa:
Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwa
NOW I KNOW......
 
Kuna maswali matatu kabla sijachangia;
1. Kwa nini Waitara katika wabunge wote waliohama kutoka upinzani ndiyo mbunge wa upinzani pekee aliyepata nafasi ya u-Naibu Waziri ?
2. Kwa nini Waitara anajiamini kiasi hicho kuwa haogopi hata Mwenyekiti wa CCM-Mkoa kugombea na kushinda Jimbo la Tarıme ?

Jibu liko hapa:
Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwa
Dah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna maswali matatu kabla sijachangia;
1. Kwa nini Waitara katika wabunge wote waliohama kutoka upinzani ndiyo mbunge wa upinzani pekee aliyepata nafasi ya u-Naibu Waziri ?
2. Kwa nini Waitara anajiamini kiasi hicho kuwa haogopi hata Mwenyekiti wa CCM-Mkoa kugombea na kushinda Jimbo la Tarıme ?

Jibu liko hapa:
Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda nyumbani kwa
Waitara is a grown up pig..soon atachinjwa watu wapikie rost.....
CHAPOMBE anajisahau sana
 
Samwel Kiboye a.k.a namba tatu, hakika kazi ipo kwa waitara.
 
Huyu ni mgeni CCM, anaanza mapema kampeni!, bado haijui CCM, asipojifunza, asubiri atafunzwa!.
P
Polepole alisema CC imeamua kuwa kwa majimbo yanayoongozwa na upinzani ni ruksa kuanza vurugu za uchaguzi kabla ya wakati,marufuku ni kwa majimbo yanayoongozwa na CCM, hivyo huyo mhamiaji yupo sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna maswali mawili kabla sijachangia;
1. Kwa nini Waitara katika wabunge wote waliohama kutoka upinzani ndiyo mbunge wa upinzani pekee aliyepata nafasi ya u-Naibu Waziri ?
2. Kwa nini Waitara anajiamini kiasi hicho kuwa haogopi hata Mwenyekiti wa CCM-Mkoa kugombea na kushinda Jimbo la Tarıme ?

Jibu liko hapa:
Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda. nyumbani kwa Tundu Lissu. Hivyo kama malipo ya kazı aliyofanya alizawadiwa nafasi ya kuwa Naibu Waziri TAMISEMI. Na ni sababu hiyo hiyo inayomfanya ajiamini kuwa hata Mkutano Mkuu wa Mkoa wa Mara ukimpitisha mtu mwingine, itakapofika kwenye mchakato wa mwisho Jiwe atakata aliyeshinda na kurngiza jina la Waitara.
Duh, mikono yake imejaa damu ya Tundu Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh. Mwita Mwikwabe Waitara amesema hamuogopi mtu hata kama ana kitambi kama pipa, aliyasema hayo katika kikao na wajumbe wa CCM wilayani Tarime alipoendelea kusisitiza adhma yake ya kugombea ubunge wa Tarime Vijijini.

Alienda mbali na kusema hao wanaompinga yeye walikuwa wapi 2014 wakati CCM ikipoteza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Pia ameuliza walikuwa wapi wakati CCM ikipoteza majimbo yote mawili ma halmashauri zote? Kasema yeye amejitolea kuipa CCM uhai, na hakuna jiwe ambalo ataacha kuligeuza na haogopi na kutishwa na mtu ndani au nje ya CCM, lazima ashinde na kuwa mbunge wa Tarime Vijijini.

Isikilize video clip attached umsikilize moja kwa moja.
View attachment 1374587
Sawa hamna shida

Sent using Self-propelled Artillery
 
Kapicha ka tumbo kama pipa tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumbo hili hapa
images%20(2).jpeg
images%20(3).jpeg
IMG_2496.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahaha wananchi wanapiga tu makofi hata pale walipoambiwa lengo kuu ni kuufanya mkoa wa Mara kuwa kijani, hahahaha halafu mkiwa masikini mnalalamika wakati msemaji hakuna hata neno la maana aliloongea kusaidia mkoa wa Mara zaidi ya kuufanya kuwa kijani..

Siasa za hivi inatakiwa ifike mahala tuzikatae na mtu akileta siasa hizi apigwe mawe, wagombea waje na mbinu na mikakati yakukwamua watu na kutatua shida mbalimbali.
 
Nimekumbuka coment ya paschal mayalla juzi
Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh. Mwita Mwikwabe Waitara amesema hamuogopi mtu hata kama ana kitambi kama pipa, aliyasema hayo katika kikao na wajumbe wa CCM wilayani Tarime alipoendelea kusisitiza adhma yake ya kugombea ubunge wa Tarime Vijijini.

Alienda mbali na kusema hao wanaompinga yeye walikuwa wapi 2014 wakati CCM ikipoteza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Pia ameuliza walikuwa wapi wakati CCM ikipoteza majimbo yote mawili ma halmashauri zote? Kasema yeye amejitolea kuipa CCM uhai, na hakuna jiwe ambalo ataacha kuligeuza na haogopi na kutishwa na mtu ndani au nje ya CCM, lazima ashinde na kuwa mbunge wa Tarime Vijijini.

Isikilize video clip attached umsikilize moja kwa moja.
View attachment 1374587
 
Kuna maswali mawili kabla sijachangia;
1. Kwa nini Waitara katika wabunge wote waliohama kutoka upinzani ndiyo mbunge wa upinzani pekee aliyepata nafasi ya u-Naibu Waziri ?
2. Kwa nini Waitara anajiamini kiasi hicho kuwa haogopi hata Mwenyekiti wa CCM-Mkoa kugombea na kushinda Jimbo la Tarıme ?

Jibu liko hapa:
Huyu Mwita Waitra amepata kuteuliwa kuwa Naibu Waziri kwenye Serikali ya Jiwe kama shukrani za Jiwe kwa kumsaliti Tundu Lissu. Akiwa Bungeni mnamo tarehe 7/ Septemba/ 2017 yeye ndiye alikuwa anawasiliana na Makonda kuhusu movement za Lissu toka Bungeni kwenda. nyumbani kwa Tundu Lissu. Hivyo kama malipo ya kazı aliyofanya alizawadiwa nafasi ya kuwa Naibu Waziri TAMISEMI. Na ni sababu hiyo hiyo inayomfanya ajiamini kuwa hata Mkutano Mkuu wa Mkoa wa Mara ukimpitisha mtu mwingine, itakapofika kwenye mchakato wa mwisho Jiwe atakata aliyeshinda na kurngiza jina la Waitara.
Umesema yaliyomo yamo,kunaonekana ukweli maana siyo kwa huba hizi za wakuu miongoni kwa suspects wa tukio LA kinyama dhidi ya Mh.Lissu.
 
Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh. Mwita Mwikwabe Waitara amesema hamuogopi mtu hata kama ana kitambi kama pipa, aliyasema hayo katika kikao na wajumbe wa CCM wilayani Tarime alipoendelea kusisitiza adhma yake ya kugombea ubunge wa Tarime Vijijini.

Alienda mbali na kusema hao wanaompinga yeye walikuwa wapi 2014 wakati CCM ikipoteza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Pia ameuliza walikuwa wapi wakati CCM ikipoteza majimbo yote mawili ma halmashauri zote? Kasema yeye amejitolea kuipa CCM uhai, na hakuna jiwe ambalo ataacha kuligeuza na haogopi na kutishwa na mtu ndani au nje ya CCM, lazima ashinde na kuwa mbunge wa Tarime Vijijini.

Isikilize video clip attached umsikilize moja kwa moja.
View attachment 1374587
Hivi kumbe anabodyguard kabisa.
 
Back
Top Bottom