Uchaguzi 2020 Waitara: M/kiti CCM Mkoa Mara ana tumbo kama pipa, simuogopi

Jamaa ameamua kukimbia Ukonga!? Au ameona itakuwa ngumu kupita kura za maoni? Maana hii ya juzi baada ya kuhama alipitishwa kwa mbeleko ya mwenyekiti.
 
Asiseme Kama pipa bali liko km simtank
 
NOW I KNOW......
 
Dah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waitara is a grown up pig..soon atachinjwa watu wapikie rost.....
CHAPOMBE anajisahau sana
 
Samwel Kiboye a.k.a namba tatu, hakika kazi ipo kwa waitara.
 
Hakuna furaha ya kweli ndani ya CCM,wote hawa wanaojifanya kushangilia hafanyi hivyo kwa kupenda kwao, ni posho imepita ndo inayoshangilia, akija mwenye dau kubwa shangwe nazo zitaongezeka.
 
Huyu ni mgeni CCM, anaanza mapema kampeni!, bado haijui CCM, asipojifunza, asubiri atafunzwa!.
P
Polepole alisema CC imeamua kuwa kwa majimbo yanayoongozwa na upinzani ni ruksa kuanza vurugu za uchaguzi kabla ya wakati,marufuku ni kwa majimbo yanayoongozwa na CCM, hivyo huyo mhamiaji yupo sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, mikono yake imejaa damu ya Tundu Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa hamna shida

Sent using Self-propelled Artillery
 
hahahahaha wananchi wanapiga tu makofi hata pale walipoambiwa lengo kuu ni kuufanya mkoa wa Mara kuwa kijani, hahahaha halafu mkiwa masikini mnalalamika wakati msemaji hakuna hata neno la maana aliloongea kusaidia mkoa wa Mara zaidi ya kuufanya kuwa kijani..

Siasa za hivi inatakiwa ifike mahala tuzikatae na mtu akileta siasa hizi apigwe mawe, wagombea waje na mbinu na mikakati yakukwamua watu na kutatua shida mbalimbali.
 
Nimekumbuka coment ya paschal mayalla juzi
 
Umesema yaliyomo yamo,kunaonekana ukweli maana siyo kwa huba hizi za wakuu miongoni kwa suspects wa tukio LA kinyama dhidi ya Mh.Lissu.
 
Hivi kumbe anabodyguard kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…