Waitara ni Jembe, aamua kuifuta CHADEMA Mkoa wa Mara

Waitara ni Jembe, aamua kuifuta CHADEMA Mkoa wa Mara

Mundamushimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
754
Reaction score
432
Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CHADEMA na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CHADEMA wamehama na kwenda NCCR Mageuzi

Chanzo TBC ARIDHIO
 
Hivi toka matukio hayo yaanze hadi Leo hao Chadema hawajaisha tuu na ikafa?
Wameondoka wabunge na chaguzi za marudio zikafanywa katafunua lakini Chadema WAPO TUU!

Madiwani wakajivua kwa makundi makundi tena kwa kashfa nzito lakini Chadema WAPO TUU!

Wakawashambulia na kuwaua viongozi na wengine kuwajeruhi kwa risasi lakini Chadema WAPO TUU!

Wamekuwa wakiwafukuza na kuwafungia Bungeni wasishiriki vikao vingi lakini Chadema WAPO TUU!

Wamekuwa wakiwazulia kesi mbalimbali mahakamani kuanzia ugaidi hadi uchochezi lakini Chadema WAPO TUU!

Na fungakazi ni majuzi wamewahukumu kifungo au faini kubwa sana milioni 350 lakini hakuna hata shilingi ya chama iliyotumika pamoja na kwamba makosa waliyohukumiwa nayo ni ya kikazi, bali chama kinachosemwa kimekimbiwa na watu faini hiyo ilichangiwa na hao hao ndani ya siku NNE. Na Chadema WAPO TUU!

Sasa mtueleze hiyo Chadema mnayo sema ina sambaratishwa ni IPI?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunawapongeza kwa kutimiza wajibu wao kikatiba
Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CDM na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CDM wamehama na kwenda NCCR Mageuzi

Chanzo TBC ARIDHIO

In God we Trust
 
Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CDM na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CDM wamehama na kwenda NCCR Mageuzi

Chanzo TBC ARIDHIO

Huyu mtu sijui Chadema kilimfanya nini hasa?

Kaacha Chadema,kaenda CcM akawa waziri anakula maisha!

No one touched him

Now,he is coming after CDM crazy!

He got no respect from me,personally!
 
Hivi toka matukio hayo yaanze hadi Leo hao Chadema hawajaisha tuu na ikafa?
Wameondoka wabunge na chaguzi za marudio zikafanywa katafunua lakini Chadema WAPO TUU!

Madiwani wakajivua kwa makundi makundi tena kwa kashfa nzito lakini Chadema WAPO TUU!

Wakawashambulia na kuwaua viongozi na wengine kuwajeruhi kwa risasi lakini Chadema WAPO TUU!

Wamekuwa wakiwafukuza na kuwafungia Bungeni wasishiriki vikao vingi lakini Chadema WAPO TUU!

Wamekuwa wakiwazulia kesi mbalimbali mahakamani kuanzia ugaidi hadi uchochezi lakini Chadema WAPO TUU!

Na fungakazi ni majuzi wamewahukumu kifungo au faini kubwa sana milioni 350 lakini hakuna hata shilingi ya chama iliyotumika pamoja na kwamba makosa waliyohukumiwa nayo ni ya kikazi, bali chama kinachosemwa kimekimbiwa na watu faini hiyo ilichangiwa na hao hao ndani ya siku NNE. Na Chadema WAPO TUU!

Sasa mtueleze hiyo Chadema mnayo sema ina sambaratishwa ni IPI?



Sent using Jamii Forums mobile app
9

Eti Chadema wapo tu!
Wapo kwa sababu ya ruzuku.Subiri iishe uone kama watabaki.
 
Back
Top Bottom