Waitara ni Jembe, aamua kuifuta CHADEMA Mkoa wa Mara

Waitara ni Jembe, aamua kuifuta CHADEMA Mkoa wa Mara

Furaha ya Watanzania ni kufutwa kwa Chadema October

Hawa vijakazi wa mabeberu tumewachoka
Kijana, ndani ya CCM tokea kale vijana wetu walijawa na weledi na staha. Pia mijadala mingi kijana aliyeisemea CCM (tokea TANU) alisisimua kwa mtiririko wa hoja.
Sasa nyie ni product ipi? Mbona hamna hoja ni post nyingi tuu za kuropokaropoka mpaka chama kinaaibika mitandaoni?
Hebu acheni kufedhehesha chama na sio mbaya kujifunza kwa wenzenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
October 2020 kutakuwa na kupatwa kwa CHADEMA ambao kutaonekana kwa Tanzania yote
 
HUYU WAITARA CHADEMA WALIJICHANGANYA WENYEWE, MWAKA 2010 ALISHINDA UCHAGUZI JIMBO LA TARIME AKAPEWA 300M AKAKUBALI KUSHINDWA, UCHAGUZI HUU ULIJAA MAGARI YA POLISI KILA MTAA ILIFIKIA HATUA POLISI WAKAWEKWA KWENYE MAHEMA.
 
Fupa lilomshinda Magufuli, huyo Mlevi mbwa ataliweza wapi.
 
Hivi toka matukio hayo yaanze hadi Leo hao Chadema hawajaisha tuu na ikafa?
Wameondoka wabunge na chaguzi za marudio zikafanywa katafunua lakini Chadema WAPO TUU!

Madiwani wakajivua kwa makundi makundi tena kwa kashfa nzito lakini Chadema WAPO TUU!

Wakawashambulia na kuwaua viongozi na wengine kuwajeruhi kwa risasi lakini Chadema WAPO TUU!

Wamekuwa wakiwafukuza na kuwafungia Bungeni wasishiriki vikao vingi lakini Chadema WAPO TUU!

Wamekuwa wakiwazulia kesi mbalimbali mahakamani kuanzia ugaidi hadi uchochezi lakini Chadema WAPO TUU!

Na fungakazi ni majuzi wamewahukumu kifungo au faini kubwa sana milioni 350 lakini hakuna hata shilingi ya chama iliyotumika pamoja na kwamba makosa waliyohukumiwa nayo ni ya kikazi, bali chama kinachosemwa kimekimbiwa na watu faini hiyo ilichangiwa na hao hao ndani ya siku NNE. Na Chadema WAPO TUU!

Sasa mtueleze hiyo Chadema mnayo sema ina sambaratishwa ni IPI?



Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wafuasi wa ccm hawajitambui, eti maelfu kwa maelfu wamehama hapa Musoma! Sijui anaongelea Musoma ya Chato au Lumumba?
 
Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CDM na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CDM wamehama na kwenda NCCR Mageuzi

Chanzo TBC ARIDHIO
Weka picha
 
hahahaha!! Kama chadema imekufa mnaogopa nin kuwaruhusu wafanye mikutano na mnataka mfanye nyie tu? Kwann mnakuwa wanyonge mkisikia tume huru ya uchaguz? Upumbavu ni pale mwenyekit wa tim anapotaka refa amuandae yeye makamisaa pia na uwanja uwe wake afu refa alale kwake siku ya kuamkia mech kisha akapita mtaan na kujisifu kuwa anatim imara
 
Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CDM na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CDM wamehama na kwenda NCCR Mageuzi

Chanzo TBC ARIDHIO
Waitara anashida ni mlevi wa kupindikia hana pointi na misimamo ni msaka maslahi na fursa. Hata CCM naomba isimuamini sana.
 
Chadema ni chama imara wakati wowote tangi vyama vingi vianze hayo ni maoni yangu..vilikuwepo nccr mageuzi vikapita tlp ndio usiseme cuf kwiishaa
Sasa kila siki hoja ni kuidhoofisha chadema kwa propaganda lkn ilijidhihilisha wazi walipo changiwa fine
Simba na Yanga kwenye siasa za Tanzania ni chadema na ccm
 
Back
Top Bottom