mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Mimba zilizopatikana kwnye mbio za Mwenge ndio kama yako.Matokeo ya mimba za kwenye mapagara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimba zilizopatikana kwnye mbio za Mwenge ndio kama yako.Matokeo ya mimba za kwenye mapagara
Eti Waitara aibomoa cdm! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
In God we Trust
'kufikili' ndio nini ?Unamnunulia au ndio uwezo wako wa kifikili unawaza pombe tu. Mfyuuuu
well said !Hivi toka matukio hayo yaanze hadi Leo hao Chadema hawajaisha tuu na ikafa?
Wameondoka wabunge na chaguzi za marudio zikafanywa katafunua lakini Chadema WAPO TUU!
Madiwani wakajivua kwa makundi makundi tena kwa kashfa nzito lakini Chadema WAPO TUU!
Wakawashambulia na kuwaua viongozi na wengine kuwajeruhi kwa risasi lakini Chadema WAPO TUU!
Wamekuwa wakiwafukuza na kuwafungia Bungeni wasishiriki vikao vingi lakini Chadema WAPO TUU!
Wamekuwa wakiwazulia kesi mbalimbali mahakamani kuanzia ugaidi hadi uchochezi lakini Chadema WAPO TUU!
Na fungakazi ni majuzi wamewahukumu kifungo au faini kubwa sana milioni 350 lakini hakuna hata shilingi ya chama iliyotumika pamoja na kwamba makosa waliyohukumiwa nayo ni ya kikazi, bali chama kinachosemwa kimekimbiwa na watu faini hiyo ilichangiwa na hao hao ndani ya siku NNE. Na Chadema WAPO TUU!
Sasa mtueleze hiyo Chadema mnayo sema ina sambaratishwa ni IPI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hovyo siwezi ongea na mtu mwenye utapiamloMimba zilizopatikana kwnye mbio za Mwenge ndio kama yako.
Kwa uandishi wako na mahaba yako unapumua kwa shida
Waitara ni jembe
9
Eti Chadema wapo tu!
Wapo kwa sababu ya ruzuku.Subiri iishe uone kama watabaki.
Umenena mkuu
Kijana, ndani ya CCM tokea kale vijana wetu walijawa na weledi na staha. Pia mijadala mingi kijana aliyeisemea CCM (tokea TANU) alisisimua kwa mtiririko wa hoja.
Sasa nyie ni product ipi? Mbona hamna hoja ni post nyingi tuu za kuropokaropoka mpaka chama kinaaibika mitandaoni?
Hebu acheni kufedhehesha chama na sio mbaya kujifunza kwa wenzenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamuulize Wasira atakwambia habari za cdmOctober 2020 kutakuwa na kupatwa kwa CHADEMA ambao kutaonekana kwa Tanzania yote
Jimbo lake la ukonga ndiyo jimbo linaloongoza kwa miundombinu mibovu zaidi barabara kwa asilimia kubwa yaani nitashangaa kama atachaguliwa tena,sijaona cha maana anachofanya halafu watu wanampa sifa kijinga.Mwambieni Bara bara ya Moshi Bar Mombasa haifai kabisa.
Aache kuendekeza Bia. Atakuja kudondokea pua
Sultan Mbowe anachungulia kwa mbali yanayoendelea huko Mara, na kusema hiiiiiiiiiii!Watu wanaota ndoto ambazo hazipo.
Tunawapongeza kwa kutimiza wajibu wao kikatiba
In God we Trust
Hofu wanayo CCM.mbowe hana wasi hata kidogo,kuku wako manati ya nini.Sultan Mbowe anachungulia kwa mbali yanayoendelea huko Mara, na kusema hiiiiiiiiiii!