Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #21
Mbona mawazo yanapingana hapo juu....amekutupia virago, anatesa na wengine....lakini bado anakuwaza na kukupigia ganzi?
Huko ni kutafuta ugonjwa wa moyo bure bilashi. Au ule msemo wa "mwenye mapenzi haoni ingawa macho anayo" unafanyakazi yake kwako?
Ushauri, kwanza kamuone daktari wa macho kabla hujachukua hatua yoyote nyengine.
labda ni Mr Rocky nini ambaye unamuwazawaza naye anakuwazawaza? Smile, [MENTION=10703]Mr Rocky
ndo ivo tumeishia tu kumezeana mate.....
pole kaka......
hata mimi kuna mtu habanduki mawazoni mwangu humu jf
na kuwa nae siwezi wala sitaki ,wala yeye hataki ..... hata situation hairuhusu.... soo painful
Ruta hebu mwambie afunguke aise
Mkuu moyo unakpoumia na mwili nao unakuwa dhaifu
Ni bora kupata kile kiumizacho moyo kuliko kuzidi kuumia
Hata kama kiko ndani ya miiba na michongoma jitahidi tuu uchomwe nayo ili kupata kile utakacho
maumivu ya moyo kuumia hayavumiliki
Ukisikia ukubwa dawa ndio hivyooo! ungeanza na visamaki vidogo vidogo, wewe umekimbilia PAPA mwenzangu,ndio mana unapenda sana nyimbo za ma LOVE kumbeeeeeeeeeee sana nimekupata Ruta. LOL
labda kwa vile alinitema labda ndiyo maana namwona wa maana......................pengine angelinikubali nami one day ningelimtupia virago vyake.......life is complex...........................maybe it is better the way life has turned out for both of us...........
Sijui mama huyu kanifanyizia nini kwani najisikia amenielemea,
Tangia akiwa kinda nilimpenda kikwelikweli naye kujulishwa.....
Naye nahisi alinipenda japo hakunambia kiuwaziwazi........
Walakini wapambe wake walimjongelea naye kunitupia virago,
Wajamani huyu mama sasa habanduki mawazoni kwangu!
Kutokana na majukumu siko radhi kumshtua
Ninaamini naye huniwazawaza pamoja anipigia ganzi
Sijui ana nini huyu mama mbona anitawala hivyo?
Mengi hutafakari na hamu ya kurudisha siku kunizingira,
Wajamani huyu mama sasa habanduki mawazoni kwangu!
Sijui ni lipi ningeliboresha ili hadi leo tungelikuwa sote.
Najua yu mtaani akitesa na mwingineo bila zengwe
Mara kwa mara hutikisa kichwa kwa majonzi na kutaabika
Kisa nikumkosa kuwa ndani ya maisha yangu na kutojua la kufanya
Wajamani huyu mama sasa habanduki mawazoni kwangu!
La kushangaza ni kuwa hata wakati wa mahaba ni yeye kutia fora!
Nisipofanya hivyo sipatwi na mpango wa nyevu endelevu!
Hivi haya ayajua au mie tayari amenikitisha kwenye kapu lake?
Mie sitamtonya kwa kukhofu kuanzisha vagi....acha niteseke tu mwaya!
Wajamani huyu mama sasa habanduki mawazoni kwangu!
Inspired by this piquant narrative......I can't get her out of my mind
..........jisomee mwenyewe kama waujua umombo au ridhika na hamirojo yangu
Mr ROcky kwani hadi leo hujui yakuwa smile anakumezea mate mno..............ila anakhofu kukuambia usije ukamkataa.......... Smile, [MENTION=10703]Mr Rocky
haitosaidia bro ....Hebu funguka ias e
Mtaje bana kwa nini unaogopa kumtaja
huyo hapana ... anapendwa na wengi...smile jaribu Kum-PM The Finest.......................u never know what is in store for you unless you try..............@he Finest, [MENTION=48795]Smile
haitosaidia bro ....
pole sana Ruta funguka tu utoe hilo jaka la moyo ulilobeba.
Mkuu Ruta hiyo ulioandika ni shairi au kitugani?
Nareserve my comments hapo Ruta
naomba nisiseme
haitosaidia bro ....