wajamani huyu mama sasa habanduki mawazoni kwangu............

wajamani huyu mama sasa habanduki mawazoni kwangu............

Mbona mawazo yanapingana hapo juu....amekutupia virago, anatesa na wengine....lakini bado anakuwaza na kukupigia ganzi?

Huko ni kutafuta ugonjwa wa moyo bure bilashi. Au ule msemo wa "mwenye mapenzi haoni ingawa macho anayo" unafanyakazi yake kwako?

Ushauri, kwanza kamuone daktari wa macho kabla hujachukua hatua yoyote nyengine.

Hakuna migongano ni kuwa hakusikiliza moyo wake ila alikuwa mwathirika wa peer pressure tu.........KWA HIYO HUENDA ANANIWAZAWAZA LAKINI WAPAMBE ANAWAKHOFU..[MENTION]@MAMMAMIA[/MENTION]
 
labda ni Mr Rocky nini ambaye unamuwazawaza naye anakuwazawaza? Smile, [MENTION=10703]Mr Rocky

Ruta hebu mwambie afunguke aise
Mkuu moyo unakpoumia na mwili nao unakuwa dhaifu
Ni bora kupata kile kiumizacho moyo kuliko kuzidi kuumia
Hata kama kiko ndani ya miiba na michongoma jitahidi tuu uchomwe nayo ili kupata kile utakacho
maumivu ya moyo kuumia hayavumiliki
 
Last edited by a moderator:
ndo ivo tumeishia tu kumezeana mate.....


  • A%20S%20kiss.gif
    ..................ACHA NIKUTUPIE BUSU SMILE UFARIJIKE KUWA BADO WAMO

 
Ruta hebu mwambie afunguke aise
Mkuu moyo unakpoumia na mwili nao unakuwa dhaifu
Ni bora kupata kile kiumizacho moyo kuliko kuzidi kuumia
Hata kama kiko ndani ya miiba na michongoma jitahidi tuu uchomwe nayo ili kupata kile utakacho
maumivu ya moyo kuumia hayavumiliki

labda kwa vile alinitema labda ndiyo maana namwona wa maana......................pengine angelinikubali nami one day ningelimtupia virago vyake.......life is complex...........................maybe it is better the way life has turned out for both of us...........
 
Hebu funguka ias e
Mtaje bana kwa nini unaogopa kumtaja

Mr ROcky kwani hadi leo hujui yakuwa smile anakumezea mate mno..............ila anakhofu kukuambia usije ukamkataa...........[MENTION]Smile, Mr Rocky[/MENTION]
 
Last edited by a moderator:
Ukisikia ukubwa dawa ndio hivyooo! ungeanza na visamaki vidogo vidogo, wewe umekimbilia PAPA mwenzangu,ndio mana unapenda sana nyimbo za ma LOVE kumbeeeeeeeeeee sana nimekupata Ruta. LOL

I am in pain.........................bila ya yule mama nimekwisha kabisa............
 
labda kwa vile alinitema labda ndiyo maana namwona wa maana......................pengine angelinikubali nami one day ningelimtupia virago vyake.......life is complex...........................maybe it is better the way life has turned out for both of us...........

It might be better but sometime u have to listen kile ambacho moyo wako wakuambia
May be kuna vitu aliviona akashindwa kuvumilia
May be aliona bado uko macho juu
May be hakuweza kuvumilia namna ulivyokuwa unawaangalia mashoga zake
May be hakuweza kuvumilia kuchelewa kwako kutoa maamuzi
May be aliona huna mpango wa kuwa nae permanent haraka
May be aliona mapenzu kwake hujayapa kipaumbele
May be nyingi tuu Ruta
 
:confused2::confused2::confused2:

smile jaribu Kum-PM The Finest.......................u never know what is in store for you unless you try..............[MENTION]@he Finest, Smile[/MENTION]
 
Last edited by a moderator:
Sijui mama huyu kanifanyizia nini kwani najisikia amenielemea,
Tangia akiwa kinda nilimpenda kikwelikweli naye kujulishwa.....
Naye nahisi alinipenda japo hakunambia kiuwaziwazi........
Walakini wapambe wake walimjongelea naye kunitupia virago,
Wajamani huyu mama sasa habanduki mawazoni kwangu!

Kutokana na majukumu siko radhi kumshtua
Ninaamini naye huniwazawaza pamoja anipigia ganzi
Sijui ana nini huyu mama mbona anitawala hivyo?
Mengi hutafakari na hamu ya kurudisha siku kunizingira,
Wajamani huyu mama sasa habanduki mawazoni kwangu!

Sijui ni lipi ningeliboresha ili hadi leo tungelikuwa sote.
Najua yu mtaani akitesa na mwingineo bila zengwe
Mara kwa mara hutikisa kichwa kwa majonzi na kutaabika
Kisa nikumkosa kuwa ndani ya maisha yangu na kutojua la kufanya
Wajamani huyu mama sasa habanduki mawazoni kwangu!

La kushangaza ni kuwa hata wakati wa mahaba ni yeye kutia fora!
Nisipofanya hivyo sipatwi na mpango wa nyevu endelevu!
Hivi haya ayajua au mie tayari amenikitisha kwenye kapu lake?
Mie sitamtonya kwa kukhofu kuanzisha vagi....acha niteseke tu mwaya!

Wajamani huyu mama sasa habanduki mawazoni kwangu!


Inspired by this piquant narrative......I can't get her out of my mind


..........jisomee mwenyewe kama waujua umombo au ridhika na hamirojo yangu





Mkuu Ruta hiyo ulioandika ni shairi au kitugani?
 
pole sana Ruta funguka tu utoe hilo jaka la moyo ulilobeba.

chauro naona mnafurahisa mkiwa na sauti kubwa juu yetu lengo ni kututawala...............na ndiyo maana kuna wakati unaona kidosho unampenda sana lakini ukiona mwelekeo wake ni kukuthibiti unaamua acha aende zake na ubaki na maumivu kheri ulie kulikoni akutawale baada ya kujua kuwa kumbe roho yako yadundia kwake...........[MENTION]@chauro[/MENTION]
  • :disapointed:
............LOL
 
Mkuu Ruta hiyo ulioandika ni shairi au kitugani?

mohammed Shossi..........chungulia ujumbe mengineyo mwachie ngoswe.................[MENTION]@mohammed shossi[/MENTION]
 
Back
Top Bottom