Sawa, alitolewa Mauro, akawekwa Messi, Aguero, Paulo Dyabala, walifika wapi Argetina na mpira gani walicheza? Ok, Akatolewa Sane akawekwa Muller na reus alicheza mpira gani Germany na aliishia wapi?Tumemuweka Sammata tumecheza nini na tumefika wapi? Tujitafakari tunakwama wapi.. Samata hataki kuumia kwa viposho vyetu halafu akasugue bench Genk..