Wajameni!! Tatizo la Stars ni Kocha pamoja na Mapro!!

Wajameni!! Tatizo la Stars ni Kocha pamoja na Mapro!!

World Cup 2018 Argetina aliachwa Mauro Icardi top scorer Serie A, Germany aliachwa Leroy Sane sembuse Samata..Acha kukariri wewe Bashite...
Hao wanakuwa na mbadala wa kutosha ndugu
 
Kwaio angekuepo icardi au messi ndo team zao zingefanya vzur? Kwaio na kina messi na wao walikua wana ogopa kuumia?
Sawa, alitolewa Mauro, akawekwa Messi, Aguero, Paulo Dyabala, walifika wapi Argetina na mpira gani walicheza? Ok, Akatolewa Sane akawekwa Muller na reus alicheza mpira gani Germany na aliishia wapi?Tumemuweka Sammata tumecheza nini na tumefika wapi? Tujitafakari tunakwama wapi.. Samata hataki kuumia kwa viposho vyetu halafu akasugue bench Genk..
 
Back
Top Bottom