Wajameni!! Tatizo la Stars ni Kocha pamoja na Mapro!!

Wajameni!! Tatizo la Stars ni Kocha pamoja na Mapro!!

Louis II

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2018
Posts
3,030
Reaction score
4,647
Napata mfadhaiko mkubwa pale timu yetu ya taifa inapofungwa tena kiboya kabisa....kwa ugunduzi wangu mwembamba, nimegundua kuwa Tatizo la Timu yetu ya taifa kufanya vibaya ni huyu Kocha (Amunike).

Katika ya mechi hii na Carbo Verdè, nilitegemea mabadiliko na usahihishaji wa makosa yaliyojitokeza kwenye mechi yetu na Uganda but kocha ameamua kuwa mbishi na misimamo yake inayogharimu future ya timu yetu

*Thomas Ulimwengu? Wa kazi gani?


*David Mwantika? Real?

Kiukweli Hawa Mapro wameshakuwa mzigo kwa timu yetu...wanachojua kwa sasa nikujipiga selfie na kupost ista tu!!!

Naangalia mpira hapa hamu imepungua, Inatia kinyaa.....Kichuya, Yondani, Mkude, Ajibu,Kapombe (Unawaachaje hao halafu utarajie miujiza?)

UPDATE
Kufungwa na Lesotho kumedhihirisha nilichokisema hapo juu.....kifupi kocha hatuna zaidi ya ubabaishaji tu.
 
Napata mfadhaiko mkubwa pale timu yetu ya taifa inapofungwa tena kiboya kabisa....kwa ugunduzi wangu mwembamba, nimegundua kuwa Tatizo la Timu yetu ya taifa kufanya vibaya ni huyu Kocha (Amunike).

Katika ya mechi hii na Carbo Verdè, nilitegemea mabadiliko na usahihishaji wa makosa yaliyojitokeza kwenye mechi yetu na Uganda but kocha ameamua kuwa mbishi na misimamo yake inayogharimu future ya timu yetu

*Thomas Ulimwengu? Wa kazi gani?
*Mbwana Samatta? Huyo mfanyakazi wa Genk?


*David Mwantika? Real?

Kiukweli Hawa Mapro wameshakuwa mzigo kwa timu yetu...wanachojua kwa sasa nikujipiga selfie na kupost ista tu!!!

Naangalia mpira hapa hamu imepungua, Inatia kinyaa.....Kichuya, Yondani, Mkude, Ajibu,Kapombe (Unawaachaje hao halafu utarajie miujiza?)

Hivi Iddi Chilunda kaitwa?
 
Tunajitoa kwenda kuumiza makario yetu kwenye vibanda mitaa kwaajili ya kushabikia nchi yetu alafu eti wao wanatuangusha! Nini sasa nini jamani?
 
Watanzania tuache kuongea sana, bali tujipange na kuachana ushabiki maandazi. Mchezaji akipiga chenga tu taifa zima linamsifia, ndio madhara yake haya tunapata aibu.
 
Napata mfadhaiko mkubwa pale timu yetu ya taifa inapofungwa tena kiboya kabisa....kwa ugunduzi wangu mwembamba, nimegundua kuwa Tatizo la Timu yetu ya taifa kufanya vibaya ni huyu Kocha (Amunike).

Katika ya mechi hii na Carbo Verdè, nilitegemea mabadiliko na usahihishaji wa makosa yaliyojitokeza kwenye mechi yetu na Uganda but kocha ameamua kuwa mbishi na misimamo yake inayogharimu future ya timu yetu

*Thomas Ulimwengu? Wa kazi gani?
*Mbwana Samatta? Huyo mfanyakazi wa Genk?


*David Mwantika? Real?

Kiukweli Hawa Mapro wameshakuwa mzigo kwa timu yetu...wanachojua kwa sasa nikujipiga selfie na kupost ista tu!!!

Naangalia mpira hapa hamu imepungua, Inatia kinyaa.....Kichuya, Yondani, Mkude, Ajibu,Kapombe (Unawaachaje hao halafu utarajie miujiza?)
Acha upuuzi, Samata unamwachaje ukiwa kama kocha? Tatizo watz mnachojua ni mdomo tu ....mmeshazoea mpira wa magazeti tu
 
Watekajii kama kweli wapoi ebhu wamnyakue airpot ikiwezekana ata kabla hajatokaa nje
 
Game plan imegoma kabisa team imepoteana mapema tulipopigwa goli la kwanza. ukiangalia kiungo hakuna ubunifu kabisa.
 
Ningependekeza taifa stars ifutwe kqa muda wa miaka kumi. Muda huo walelewe vijana watakao kuja kuqa wachezaji wa timu ya taifa.
Hawa waliocheza leo hakuna lolote kwakweli
Yaani hapa nataka kupasuka nimefula hasira. Nimeangalia kipindi cha kwanza nimeishiwa hamu kabisa. Upumbavu gani huu?
 
Kulikuwa na wachezahi wazuri benchi. Sijui kwann alinzisha haya maboga wkt benchi majembe yalikuwapo
Game plan imegoma kabisa team imepoteana mapema tulipopigwa goli la kwanza. ukiangalia kiungo hakuna ubunifu kabisa.
 
Back
Top Bottom