Wajane walindwe kwa wivu mkubwa

Wajane walindwe kwa wivu mkubwa

Hizi dhuluma zipo hata kwa watu wenye kipato cha chini. Unakuta jamaa alioa mke huku anao watoto kwa mke wa kwanza. Baba akifariki tu watoto na ndugu wa mume wanainuka na kuwa kinyume na mke wa baba yao kuhusu mgawo wa mali na umiliki. Wengine huthubutu kumfukuza kabisa mke wa ndugu yao ili asitambuliwe katika kupata mgao wa mirathi.

Mara hakuwa na ndoa, mara hakutulia kwenye ndoa yake na dhuluma zingine nyingi. Mbaya zaidi marehemu afe aache watoto wadogo mke wake hakuna rangi ataacha kuona kutoka kwa ndugu wa mume wake hata kama walifunga ndoa halali. Kuna mama mmoja mume wake alipofariki aliuza nyuma chapchap akasepa bila ndugu wa mume wake kujua.

Alinunua nyumba nyingine aishi na watoto wake. Ndugu waliambulia manyoya tu nyumba ilishauzwa siku nyingi na mali za kuhamishika alihamisha fasta. Ndio maana ndoa za siku wanawake wana mpango wa pembeni bila waume zao kujua.

Ikitokea mume kafa mwanamke hana wasiwawasi kwani tayari alishajenga kwao na ana miradi inayoendeshwa na ndugu zake bila mume kufahamu.
 
Kuna kitu kinaitwa pre nuptial agreement ie makubaliano kabla ya ndoa wenzetu hii kitu wanazingatia sana hasa kwa wale wanaoingia kwenye ndoa ambayo mwenza alikua na ndoa nyingine au maisha yake Sasa sisi tunachukulia suala la ndoa kihisia zaidi badala ya mantiki. Wanandoa sio ndugu wakati wowote wanaweza kuachana Sasa inakua vizuri mkiweka makubaliano ya kimaandishi lolote linapotokea either kifo au talaka ktk kugawana haki na wajibu
 
Tumeshuhudia wajane wakidhalilishwa Kwa sheria zetu mbovu K- Lyn na Vicky Kamata ni wachache kati ya wengi. Ni wakati Sasa Sheria itungwe ili kuwalinda wajane baada ya Waume zao kufariki.

Suala hili halivumiliki
Mkuu jitahidi kutofautisha Wajane na Slay Queens. Sheria zetu zipo vizuri sana katika kuwalinda na kutetea haki za wajane pindi Waume zao wanapofariki.


Ila unachokililia sasa kitapelekea Wajane wadhulumiwe haki zao na Slay Queens ndiyo wanufaike na mali za Wajane.
Nawasilisha
 
Mkuu jitahidi kutofautisha Wajane na Slay Queens. Sheria zetu zipo vizuri sana katika kuwalinda na kutetea haki za wajane pindi Waume zao wanapofariki.
Ila unachokililia sasa kitapelekea Wajane wadhulumiwe haki zao na Slay Queens ndiyo wanufaike na mali za Wajane.
Nawasilisha
Wataje sly queen walau wawili
 
Tumeshuhudia wajane wakidhalilishwa Kwa sheria zetu mbovu K- Lyn na Vicky Kamata ni wachache kati ya wengi. Ni wakati Sasa Sheria itungwe ili kuwalinda wajane baada ya Waume zao kufariki.

Suala hili halivumiliki
Hahaha we boya hiyo heading ipo kisiasa sana.... hiyo kauli huwa inatumika na wanasiasa waongo waongo.
 
Wale wa tafuta Hela,endeleeni ila Hawa vidume walio kata Uzi Wana different opinion huko walipo,no wonder wamewahishwa na hao hao madem.Thinks about it mtu umefanya Kila njia unapata Hela Ili ufe uzee mwema na mwanamke umpendaye,kumbe yy anataka uwahi Ili ale maisha na msela ampendae.Wanawake msituonee huruma kazeni hapo hapo.
Ni kweli mkuu. Hawa malaya wanawawahisha sana madingi. Yaani dingi hachukui raundi lazima alambe mchanga baada ya ndoa. Ni huzuni tupu.
 
Kuna kitu kinaitwa pre nuptial agreement ie makubaliano kabla ya ndoa wenzetu hii kitu wanazingatia sana hasa kwa wale wanaoingia kwenye ndoa ambayo mwenza alikua na ndoa nyingine au maisha yake Sasa sisi tunachukulia suala la ndoa kihisia zaidi badala ya mantiki. Wanandoa sio ndugu wakati wowote wanaweza kuachana Sasa inakua vizuri mkiweka makubaliano ya kimaandishi lolote linapotokea either kifo au talaka ktk kugawana haki na wajibu
Pre nuptial agreement haifanyi kazi kwa 100% kama ilivyodhamiriwa
 
We nawe uwe unatumia akili hao Vicky na Jacky unawahesabu kama wajane Kweli??
Mfano Vicky angekuwa mjane anayeumia na kumpenda mareheumu angeandika ule upupu wake?Hana adabu!Hana utu,Hana shukrani wala Hana Fadhila amestahili alichokipata.
 
Tumeshuhudia wajane wakidhalilishwa Kwa sheria zetu mbovu K- Lyn na Vicky Kamata ni wachache kati ya wengi. Ni wakati Sasa Sheria itungwe ili kuwalinda wajane baada ya Waume zao kufariki.

Suala hili halivumiliki
Kwa hiyo unataka sheria zipindishwe ili warith wasovyostahili?
 
Tumeshuhudia wajane wakidhalilishwa Kwa sheria zetu mbovu K- Lyn na Vicky Kamata ni wachache kati ya wengi. Ni wakati Sasa Sheria itungwe ili kuwalinda wajane baada ya Waume zao kufariki.

Suala hili halivumiliki
Kuna tofauti kubwa kati ya Wajane Original na Wajane Waharibifu wa Familia na Ndoa za Kwanza je, Wewe unataka tuwajadili Wajane wa aina gani kati ya haya Makundi tajwa Mawili?

Kwa Dhambi walizofanya hawa Wawili uliowataja hapa kwa Wake / Wajane wa waliokuwa Mabwana zao itoshe kusema tu kuwa ama hakika Malipo ni hapa hapa duniani.
 
Tumeshuhudia wajane wakidhalilishwa Kwa sheria zetu mbovu K- Lyn na Vicky Kamata ni wachache kati ya wengi. Ni wakati Sasa Sheria itungwe ili kuwalinda wajane baada ya Waume zao kufariki.

Suala hili halivumiliki
Ndoa na waume za watu walioshi pamoja muda mrefu na kuchuma mali pamoja sio nzuri zina walakini mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa mjane Sio tiketi ya kuzulumu haki za wengine ikiwemo kuhalalisha uporaji wa Mali za watu.
Watoto walindwe dhidi ya Mali za wazazi wao
 
Back
Top Bottom