Kwa mara ya kwanza naona nyuzi hii imeandikwa na kuchangiwa na watu wenye uelewa wa mambo yanayohusu magari nikupongeze Bwana
EINSTEIN112 kwa kuleta maada hii.niwapongeze wote kwa kuniongezea elimu hii ya magari.nilikuwa najiuliza maswali kama hayo hayo.hasa mfanano muundo wa magari ya toyota
Ila nadhani nimemuelewa Bwana
Idimi kwamba makamuni yanashirikiana kwenye R&D.ndiyo maana hata ukiangalia new model Nisan extrail,Hydai n.k zinafanana na RV new model.hata Nissan patrol latest model inafanana naV8/VX. bod Forester na BMW zinafana pia
Lakini pia naonaga kama Toyota Rushi inamfanano furan hiv na terios Dahuts