Wajapan ubunifu umepungua au kwanini magari haya yanafanana hivi?

Wajapan ubunifu umepungua au kwanini magari haya yanafanana hivi?

Wakati mwingine majina yanatofautishwa na masoko. Unakuja gari Japan lina jina fulani ila kwenye soko tofauti kuna jina kama hilo kwenye gari jingine teyari. So inabidi watafute jina tofauti kwa same car...
Mekusoma mkuu
 
search.jpg
BB VS
images.jpg
Rumio
 
Sikuwahi kujua tofauti za Allex na RunX ila so far nimekumanya mkuu. Allex 1490cc kwa RunX 1790cc! In other words ni 1NZ-FE kwa 1ZZ-FE
Sio kweli mkuu, kuna Runx zenye injini ya 1NZ FE hali kadhalika kuna Alex yenye 1ZZ ni chaguo lako tuu, ingia kwenye page za Japan car dealers uangalie kama nakudanganya
 
Kuhusu maelezo ya mtoa mada, naona hayuko sahihi kwa upande wa Runx vs Allex. Ukweli ni kwamba ukiondoa jina na body, kila kitu ni sawa sawa kabisa. Zipo za cc 1490 ambazo ni nyingi kwa magari yote na chache sana za Engine ya cc 1790.

Ila maelezo yake mengine yote YUKO SAWA SAWA. Ila kwa mfano wa Vanguard na RAV 4 (Miss Tanzania kwa utambuz wa kibongobongo) kweli yanafanan sana, ijapokua Vanguard mlango wa nyuma hauna sehemu ya kuweka tairi la spea, hapo ndipo watu huenda Shaurimoyo kwa DSM kununua mlango wa RAV4 ili kuweka kwenye VANGUARD.

Ila engine ya Vanguard na RAV 4 Miss Tanzania utazikuta kwenye Harrier za kuanzia mwaka 2003(tako la nyani new model ya kibongo engine code 2AZ-FE, cc 2360 na baadhi ya Harrier old model la mwaka 2001 hadi 2002) na kundelea kabla ya toleo la sasa la hybrid.

Baadhi ua gari zingine kama Ipsum new model, Camry,Kluger, alphard baadhi zote hizi hutumia engine ya 2AZ-FE, ambayo ni engine kubwa ya zile 3S, 5S, 1ZZ na 1AZ ambazo zilifunga RAV4 old model na Harrier mtawalia, pia Rav 4 Kill time.
 
Aisee bas runx yangu iko tofauti.......ina cc 1490 na engine ya 1nz fe......wengine wanasema tofauti ya hizo gari mbili ni rangi za dashbord na interior.
Hizi gar kwenye injini hazina tofauti kuna allex yenye 1496cc 1nz na 1790cc 1zz hata kwa Runx nayo ipo hvyo hvyo. Tofaut ya hzi gar ni ukubwa wa body, Allex ni pana ndan kuliko Runx pia Allex ina stability zaid barabaran ikiwa kwenye mwendo kuliko Runx. Runx ilizalishwa na kampun ya corola na Allex ilizalishwa na kampuni ya Sprinter.

Huo utofauti wa injin kumbwa na ndogo hata kwenye spacio new upo hvyo hvyo 1496 kwa 1790cc.
 
1NZ, 2NZ, 3S, 4S, 7A, 4E nk hizi injini unazikuta kwenye magari kibao tofautitofauti, YAANI HAWA JAMAA WANATUCHEZEA AKILI KWA KUBADILISHA MUONEKANO TU WA BODI, WANATWIST AKILI ZETU KIDOOGA WANATUPIGA ELA NDEEEFU
Wabongo bana eti wanatupiga hela kibao. Hebu jaribu kubuni yako tuone
 
Kuhusu maelezo ya mtoa mada, naona hayuko sahihi kwa upande wa Runx vs Allex. Ukweli ni kwamba ukiondoa jina na body, kila kitu ni sawa sawa kabisa. Zipo za cc 1490 ambazo ni nyingi kwa magari yote na chache sana za Engine ya cc 1790...
Nimekusoma mkuu
 
Sasa huoni hata maintanance inakuwa rahisi kwa mlaji? Shockup ya Corolla unaifunga kwenye makes zaidi ya 3 huoni ni raha. Side mirrors vile vile. Ama ulitaka kila gari ibebe spear yake pekee? Kwamba suspension hii ni ya Benz C200 basi ikae humo tu? kwenye E350 isiingiliane vitu. Au kwenye zile S500, S550 zisiingiliane parts wakati gari ni basically moja tu tofauti labda ni engine tu.
Japanese wana vision ya mbali sana;wanachofanya wanacheza na economics za soko!

- Parts kutumika kwenye gari zaidi ya moja linafanya magari yao yanakuwa affordable kwa end user na kuwaongezea soko.

- Designing ya gari it's not a joke Men kwenye gharama kama jamaa anavyodhani;its a multi billion dollar task-sasa mjapan apoteze hela nyingi wakati mbongo mwenyewe ni 2nd User na hawezi afford isipokuwa wachache.

- TOYOTA wanapiga research za kufa mtu ndo maana wanakuja na hz gari-hawajawa na soko kubwa la kuuza magari duniani kwa kubahatisha.

- TOYOTA wanajua watu wengi wanapenda kuangalia fuel consumption ya mafuta kuliko comfortability.Mfano tu bongo mtu akiona magari yenye CC kubwa uoga unamjia ghafla.

Comfortability na Pesa/gharama huwa vinaenda sambamba daima.
 
Japanese wana vision ya mbali sana;wanachofanya wanacheza na economics za soko!

-Parts kutumika kwenye gari zaidi ya moja linafanya magari yao yanakuwa affordable kwa end user na kuwaongezea soko...
Hahahahah ndio maana mjapani anapendelewa zaidi. Ulichosahau pia durability. Kwa mjapani hilo ni kipaumbele.
 
Back
Top Bottom