KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,238
- 4,885
Nimekuwa mfatiliaji sana , wa mafunzo ya ujasiriamali. Watu wengi wanajiunga wanasoma na kuhitimu wanapokuja kwenye uhalisia wa kuingia kazini sehemu kubwa wanafeli.
Wanaanza vizuri wiki mbili tatu baadae wanaacha ni wachache sana wanaotoboa na kuendelea, unakuta wamejifunza kutengeneza sabauni, juice, batiki, vyakula vya take away.
Wengi wanatengeneza bidhaa nzuri ila bei inakuwa kubwa sana. Wengine finishingi hasa kwenye vifungashio vinakuwa ni vya ovyo hivyo kufanya bidhaa isivutie kabisa
Wakati mwingine wengine wanaenda mbali hasa wa kutengeneza sabuni wanaiba mpaka na lebo ya brand zilizopata soko km B29, nk
Hivi tunakwama wapi? Mpaka wengine mitaji tuliyoikopa tunashindwa kuirudisha tunakuwa wahanga kabisa
Hebutujadiliane changamoto zipi mnazokutana nazo? Tubadilishane uzoefu
Wanaanza vizuri wiki mbili tatu baadae wanaacha ni wachache sana wanaotoboa na kuendelea, unakuta wamejifunza kutengeneza sabauni, juice, batiki, vyakula vya take away.
Wengi wanatengeneza bidhaa nzuri ila bei inakuwa kubwa sana. Wengine finishingi hasa kwenye vifungashio vinakuwa ni vya ovyo hivyo kufanya bidhaa isivutie kabisa
Wakati mwingine wengine wanaenda mbali hasa wa kutengeneza sabuni wanaiba mpaka na lebo ya brand zilizopata soko km B29, nk
Hivi tunakwama wapi? Mpaka wengine mitaji tuliyoikopa tunashindwa kuirudisha tunakuwa wahanga kabisa
Hebutujadiliane changamoto zipi mnazokutana nazo? Tubadilishane uzoefu