Wajasiriamali tunaopenda Podcasts tukutane hapa

Wajasiriamali tunaopenda Podcasts tukutane hapa

In the cutthroat world of business, there’s only one rule: winner takes all. The richest companies in the world don’t get that way by playing nice.

Mpaka hapo tu nimeshajua cha kufanya!
Kuwa makini lakini, andaa mwanasheria mapema.
 
Duh! - Mm nadhani ingekuwa vizuri ungeeleza pia Podcast ni nini ! - binafsi sijui maana yake.
Neno "iPod" liliunganishwa na neno "Broadcast" likazaliwa neno Podcast.

Podcast ni kama kipindi cha redio ambacho unaweza kusikiliza kupitia simu yako au kompyuta. Ni kama simulizi au mazungumzo ambayo mtu ameyarekodi na kisha ameyaweka mtandaoni ambayo wewe unaweza kuyasikiliza muda wowote ukitaka. Ni kama vile kitabu unachokipenda kiwe kinasomwa na wewe unasikiliza, kwahiyo badala a kusoma kitabu - unakisikiliza. Podcasts ziko nyingi, zinazoongelea mada tofauti tofauti.

Redio ya kawaida, tangazo likikupita limekupita - mtangazaji akisema kitu na wewe hujasikia ndio basi tena. Podcast inawekwa mtandaoni, unaweza kuisikiliza muda wowote ukitaka, na unaweza ukairudisha nyuma, ukaipeleka mbele, ukaisimamisha n.k. kadiri unavyopenda.

Kusikiliza Podcasts unahitaji App kama Apple Podcasts, Google Podcasts, Spotify, Wondery, n.k. au unaweza ukasikiliza kutoka kwenye website husika moja kwa moja.

Zipo podcasts za lugha zote duniani, hapa nimeweka za Kiingereza tu kwasababu lengo langu ni kupendekeza Podcasts ambazo zinawafaa wajasiriamali. Sijaona ya Kiswahili ambayo inafikia level za hizi Podcasts nilizoweka hapa.
 
Mimi nasikiliza ila shida zinataka kudowload mara kwa mara yaani haziwezi kukaa offline kama tunavyodiwnload nyimbo

Mimi Nasikiliza sana podcast za

1. Naval Reviacant

2. Joe Rogan
Well, kwenye Google Podcasts unaweza uka-opt kutokudownload. So, mimi huwa nachagua kupata notifications tu badala ya ku-auto download. Manaake nazikiliza kwa ku-stream.
 
Yes mkuu, sema nilikuwa nampenda zaidi Palkisha lakini ndio hivyo aliquit
Oh yeah, japo saivi wameiweka copy ya Palki 🤪 ... lakini Palki ni Palki 🙌 Ni kama kwenye movie ya "Top Gun: Maverick" wanasema "It's not the plane, it's the pilot!"... Wion wanatakiwa wajue "It's not the show, it's the host!"
 
Oh yeah, japo saivi wameiweka copy ya Palki 🤪 ... lakini Palki ni Palki 🙌 Ni kama kwenye movie ya "Top Gun: Maverick" wanasema "It's not the plane, it's the pilot!"... Wion wanatakiwa wajue "It's not the show, it's the host!"
Kabisa kale kabinti kanajaribu kuzungumza kama palki ila palki atabaki kuwa palki.
Sijui aliquit kwenda wapi yule mwanadada maana nilikuwa nasoma comments unakuta hadi za wa US na raia wa ulaya huko wanamkubali palki.
 
Kabisa kale kabinti kanajaribu kuzungumza kama palki ila palki atabaki kuwa palki.
Sijui aliquit kwenda wapi yule mwanadada maana nilikuwa nasoma comments unakuta hadi za wa US na raia wa ulaya huko wanamkubali palki.
Inasemekana Palki amejiunga na Network 18 (Washindani wa Zee Media ambao ndio wanaendesha Wion). Network 18 inamilikiwa na Bilionea Mukesh Ambani.
 
Inasemekana Palki amejiunga na Network 18 (Washindani wa Zee Media ambao ndio wanaendesha Wion). Network 18 inamilikiwa na Bilionea Mukesh Ambani.
Itakuwa alioandishiwa dau. Ila ningepebda pia kumwona kwenye network kama aljazeera pia.
Yule mhindi mwingine ambaye anashika namba 3 kwa fedha naona naye amenunua vyombo vingi vya habari india
 
Itakuwa alioandishiwa dau. Ila ningepebda pia kumwona kwenye network kama aljazeera pia.
Yule mhindi mwingine ambaye anashika namba 3 kwa fedha naona naye amenunua vyombo vingi vya habari india
No hakupandishiwa dau; kwa maelezo yake Palki mwenyewe japo hakufafanua kwa undani lakini nadhani kilimkuta kama ilivyotokea kwa Gerald Hando Vs E-Fm. Pressure kutoka kwa mataifa yaliyokuwa yanakosolewa na Palki ikapelekea Wion kulazimika kuachana nae. Alikuwa ananyoosha maelezo mno 😄 kuna kipindi hadi YouTube waliipiga Ban Wion... ikaendeshwa kampeni YouTube wakalazimika kuiondolea ban maana watazamaji "Waliandama" kutoka kila upande wa dunia wakiishinikiza YouTube iondoe ban kwa Wion. Na aliyekuwa mstari wa mbele ni Palki.
 
No hakupandishiwa dau; kwa maelezo yake Palki mwenyewe japo hakufafanua kwa undani lakini nadhani kilimkuta kama ilivyotokea kwa Gerald Hando Vs E-Fm. Pressure kutoka kwa mataifa yaliyokuwa yanakosolewa na Palki ikapelekea Wion kulazimika kuachana nae. Alikuwa ananyoosha maelezo mno 😄 kuna kipindi hadi YouTube waliipiga Ban Wion... ikaendeshwa kampeni YouTube wakalazimika kuiondolea ban maana watazamaji "Waliandama" kutoka kila upande wa dunia wakiishinikiza YouTube iondoe ban kwa Wion. Na aliyekuwa mstari wa mbele ni Palki.
Alikuwa ananyoosha maelezo halafu anafanya topic ngumu ziwe rahisi.
Aliongea hadi cartel za makampuni yanayotengeneza madawa ya matibabu.
Taliban and the US.
Bila shaka alikuwa anawakera wengi Palki.
But always when it came to Pakstan vs India alikuwa upande wa India
 
Alikuwa ananyoosha maelezo halafu anafanya topic ngumu ziwe rahisi.
Aliongea hadi cartel za makampuni yanayotengeneza madawa ya matibabu.
Taliban and the US.
Bila shaka alikuwa anawakera wengi Palki.
But always when it came to Pakstan vs India alikuwa upande wa India
Alikuwa fundi sana wa kui-mock Pakistan, yaani hata ambae sio raia wa India unajikuta unacheka vimaneno vyake 🤣
 
Alikuwa fundi sana wa kui-mock Pakistan, yaani hata ambae sio raia wa India unajikuta unacheka vimaneno vyake 🤣
Sana mkuu. Yule dada ni fundi na anajua kufanya research ya topic atakayoizungumzia. Anakufanya uwe engaged. Palki ni fundi
 
Sana mkuu. Yule dada ni fundi na anajua kufanya research ya topic atakayoizungumzia. Anakufanya uwe engaged. Palki ni fundi
Tunamuhitaji Palki Mswahili, don't you think? Or at least tuwe na Gravitas Plus ya Kiswahili. Kama hakuna wa kuianzisha mimi nitaanzisha 😉
 
Tunamuhitaji Palki Mswahili, don't you think? Or at least tuwe na Gravitas Plus ya Kiswahili. Kama hakuna wa kuianzisha mimi nitaanzisha 😉
Sure ikitokea akawepo channel kama ile ya Kiswahili, bila shaka itapata subscribers wengi. Mkuu anzisha kama vipi
 
Mbona sioni The Chai au ndio kusema imekaa kama Dadaz Mkuu 😂😂.

Ila podcast ni kitu safi sana, nmeanza sikiliza 2013/14 hadi leo ni mdau.
 
Mbona sioni The Chai au ndio kusema imekaa kama Dadaz Mkuu 😂😂.

Ila podcast ni kitu safi sana, nmeanza sikiliza 2013/14 hadi leo ni mdau.
Ndo kwanza naisikia 😄 itabidi niisikilize nione yaliyomo; ila kama ni ya kibongo tayari niko biased 😄
 
Back
Top Bottom