Wajasiriamali wenzangu naomba ushauri kwenye hili

Wajasiriamali wenzangu naomba ushauri kwenye hili

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hapa dukani kwetu tuna binti mmoja ambaye mwaka jana alipata ujauzito. Ulipofika muda wa kujifungua tulimpa likizo ya miezi 3 ambapo pia tuliendelea kumlipa. Mwezi huu wa kwanza tarehe 1 alirudi tena kazini ila akiwa na mtoto wake. Binafsi nilidhani baada ya miezi 3 angeweza kurudi na kuchapa kazi kama kawaida ila imekuwa tofauti. Kimsingi performance yake ni ya chini mno huku kukiwa na excuses mbalimbali zinazomfanya atumie muda wa kazi kwenye shughuli zake. Pia kufika kazini kwa muda unaotakiwa imekuwa changamoto kwake. Nimeshajiridhisha kuwa itachukua muda kurudi kwenye ufanisi wake wa awali kabla ya mimba.

Nimewaza kuachana naye mwisho wa mwezi huu na kumpa mkono wa kwaheri. Lakini kabla hatujafika hiyo tarehe naomba ndugu zangu wa JF mnishauri maana suala la kumwachisha mtu kazi ni zito mno. Kazi ni uhai.

Ninawasihi mabinti waache ngono kabisa ila wakishindwa watumie condom badala ya kubeba mimba na kuishia kubebeshwa mzigo wa malezi. Pia kwepa kubeba mimba ya mtu maskini ambaye sio mumeo. Usimwamini kijana maskini ambaye hajakuoa anaekudanganya kuwa hatakukimbia ukipata mimba.
 
Hapa dukani kwetu tuna binti mmoja ambaye mwaka jana alipata ujauzito. Ulipofika muda wa kujifungua tulimpa likizo ya miezi 3 ambapo pia tuliendelea kumlipa. Mwezi huu wa kwanza tarehe 1 alirudi tena kazini ila akiwa na mtoto wake. Binafsi nilidhani baada ya miezi 3 angeweza kurudi na kuchapa kazi kama kawaida ila imekuwa tofauti. Kimsingi performance yake ni ya chini mno huku kukiwa na excuses mbalimbali zinazomfanya atumie muda wa kazi kwenye shughuli zake. Pia kufika kazini kwa muda unaotakiwa imekuwa changamoto kwake. Nimeshajiridhisha kuwa itachukua muda kurudi kwenye ufanisi wake wa awali kabla ya mimba.

Nimewaza kuachana naye mwisho wa mwezi huu na kumpa mkono wa kwaheri. Lakini kabla hatujafika hiyo tarehe naomba ndugu zangu wa JF mnishauri maana suala la kumwachisha mtu kazi ni zito mno. Kazi ni uhai.

Ninawasihi mabinti waache ngono kabisa ila wakishindwa watumie condom badala ya kubeba mimba na kuishia kubebeshwa mzigo wa malezi. Pia kwepa kubeba mimba ya mtu maskini ambaye sio mumeo. Usimwamini kijana maskini ambaye hajakuoa anaekudanganya kuwa hatakukimbia ukipata mimba.

Kama ungekuwa unamlipa mshahara mzuri angeweka Dada wa Kazi kwake na hii ingeleta ufanisi mkubwa kwake changamoto ya waswahili Kama nyie huwa hamtazami mbele
 
Wewe Bado Sana mkuu...ma capitalists hufukuza yeyote muda wowote..
Mkuu kufukuza bila kufikiria pia sio poa. Human resources ni kipengele kwenye biashara. Mwaka jana nimefanya mauzo mara 4 ya mauzo ya 2023 na huyu binti ndo alikuwepo muda mwingi. Alikuwa peke yake dukani ila biashara ilivyotanuka ikabidi waongezwe wengine. Hana tatizo lingine zaidi ya haya mambo ya ujauzito kujitokeza.
 
Comments nyingi utapata za lawama utadhani wao malaika. Mtimue atakufilisi huyo hapo kaongeza familia mtoto na baba mtoto. Wazazi hawaachani utajikuta duka lako linalea hio familia. Akiwa jobless akili zitamkaa atajua jinsi ya kubalance malezi ya mwanae na kujali kazi.

Ukiishi kwa huruma utafilisika mkuu
 
Kama ungekuwa unamlipa mshahara mzuri angeweka Dada wa Kazi kwake na hii ingeleta ufanisi mkubwa kwake changamoto ya waswahili Kama nyie huwa hamtazami mbele
Kila mtu ana tafsiri yake ya mshahara mzuri. Ila kwa scales za mtaani inawezekana mimi ni mlipaji mzuri. Mimi hata housegirl siwezi lipa chini ya 150k kwa mwezi.
 
Mkuu kufukuza bila kufikiria pia sio poa. Human resources ni kipengele kwenye biashara. Mwaka jana nimefanya mauzo mara 4 ya mauzo ya 2023 na huyu binti ndo alikuwepo muda mwingi. Alikuwa peke yake dukani ila biashara ilivyotanuka ikabidi waongezwe wengine. Hana tatizo lingine zaidi ya haya mambo ya ujauzito kujitokeza.
Kama ni hivi Basi mtizame kwa JICHO LA BABA NA MTOTO.

Mshaur atafute msaidizi pia MTOTO akifikisha at least miezi 6 mpaka mwaka...dada wa dukani atakua sawa (normal)

Zingatia.
 
Hapa dukani kwetu tuna binti mmoja ambaye mwaka jana alipata ujauzito. Ulipofika muda wa kujifungua tulimpa likizo ya miezi 3 ambapo pia tuliendelea kumlipa. Mwezi huu wa kwanza tarehe 1 alirudi tena kazini ila akiwa na mtoto wake. Binafsi nilidhani baada ya miezi 3 angeweza kurudi na kuchapa kazi kama kawaida ila imekuwa tofauti. Kimsingi performance yake ni ya chini mno huku kukiwa na excuses mbalimbali zinazomfanya atumie muda wa kazi kwenye shughuli zake. Pia kufika kazini kwa muda unaotakiwa imekuwa changamoto kwake. Nimeshajiridhisha kuwa itachukua muda kurudi kwenye ufanisi wake wa awali kabla ya mimba.

Nimewaza kuachana naye mwisho wa mwezi huu na kumpa mkono wa kwaheri. Lakini kabla hatujafika hiyo tarehe naomba ndugu zangu wa JF mnishauri maana suala la kumwachisha mtu kazi ni zito mno. Kazi ni uhai.

Ninawasihi mabinti waache ngono kabisa ila wakishindwa watumie condom badala ya kubeba mimba na kuishia kubebeshwa mzigo wa malezi. Pia kwepa kubeba mimba ya mtu maskini ambaye sio mumeo. Usimwamini kijana maskini ambaye hajakuoa anaekudanganya kuwa hatakukimbia ukipata mimba.


Ndugu yangu tatizo hapo ni mtoto. Kikubwa inabidi umsaidie aweze kupata sehemu ya kumwacha mtoto wake wakati akiwa kazini. Unaweza wewe ukalipia sehemu maalumu za kuangalia watoto wadogo daycare . Ukweli ni kwamba tunafanya kazi na binadamu sio machine sasa usieeke ubinafsi mbele ya kazi. Kwa kufanya hivyo utaongeza sana uzalishaji. Usijali sana mifumo mfano wanasema mishara ni 3000,000 angalia faida ya mtu. Duka kuna lazima liwe na huduma nzuri, uaminifu. Hivyo angalia faida zake. Je angekuwa mtoto wako wa kike ungependa kufukuzwa kazi kwasababu ya mtoto?
 
Hapa dukani kwetu tuna binti mmoja ambaye mwaka jana alipata ujauzito. Ulipofika muda wa kujifungua tulimpa likizo ya miezi 3 ambapo pia tuliendelea kumlipa. Mwezi huu wa kwanza tarehe 1 alirudi tena kazini ila akiwa na mtoto wake. Binafsi nilidhani baada ya miezi 3 angeweza kurudi na kuchapa kazi kama kawaida ila imekuwa tofauti. Kimsingi performance yake ni ya chini mno huku kukiwa na excuses mbalimbali zinazomfanya atumie muda wa kazi kwenye shughuli zake. Pia kufika kazini kwa muda unaotakiwa imekuwa changamoto kwake. Nimeshajiridhisha kuwa itachukua muda kurudi kwenye ufanisi wake wa awali kabla ya mimba.

Nimewaza kuachana naye mwisho wa mwezi huu na kumpa mkono wa kwaheri. Lakini kabla hatujafika hiyo tarehe naomba ndugu zangu wa JF mnishauri maana suala la kumwachisha mtu kazi ni zito mno. Kazi ni uhai.

Ninawasihi mabinti waache ngono kabisa ila wakishindwa watumie condom badala ya kubeba mimba na kuishia kubebeshwa mzigo wa malezi. Pia kwepa kubeba mimba ya mtu maskini ambaye sio mumeo. Usimwamini kijana maskini ambaye hajakuoa anaekudanganya kuwa hatakukimbia ukipata mimba.
Kwenye biashara hakunaga huruma
Unaweza mueleza Kama anaweza kubadilika na akishindwa muache aende

Kumbuka ukifilisika hakuna wakukupa mtaji tena
 
Ndugu yangu tatizo hapo ni mtoto. Kikubwa inabidi umsaidie aweze kupata sehemu ya kumwacha mtoto wake wakati akiwa kazini. Unaweza wewe ukalipia sehemu maalumu za kuangalia watoto wadogo daycare . Ukweli ni kwamba tunafanya kazi na binadamu sio machine sasa usieeke ubinafsi mbele ya kazi. Kwa kufanya hivyo utaongeza sana uzalishaji. Usijali sana mifumo mfano wanasema mishara ni 3000,000 angalia faida ya mtu. Duka kuna lazima liwe na huduma nzuri, uaminifu. Hivyo angalia faida zake. Je angekuwa mtoto wako wa kike ungependa kufukuzwa kazi kwasababu ya mtoto?
Mkuu ubinadamu ninao sana hadi unamwagika. Mtoto wangu wa kike akipata mimba ya fala mmoja kabla ya ndoa afukuzwe tu kazi arudi nyumbani. Nitamlea yeye na mjukuu. Nisingependa awe chanzo cha kudorora kwa biashara ya mtu.
 
Atachelewa sana, mabepari nawaogopa sana they dont care at all, kuhusu mwngne..ni akiona unaziba njia yake ya pesa, bora akuue tu...capitallist ni umafia tu, dada anatafuta za kula tu..hahah
Mkuu kwenye maisha hakuna kuchelewa wala kuwahi.
 
Atachelewa sana, mabepari nawaogopa sana they dont care at all, kuhusu mwngne..ni akiona unaziba njia yake ya pesa, bora akuue tu...capitallist ni umafia tu, dada anatafuta za kula tu..hahah
Hawanaga adui au rafiki wa kudumu..Ila Wana maslahi ya kudumu nimeyaona/ shuhudia kwa wahindi pia kwenye hizi kazi manual work za viwandani ni hatare Sanaa.
Wanakuhenyesha with low salary, poor working environment, long hours working 😔 na ukihoji TU... Bagosha your fired.
 
Mvumilie ana nyota ya biashara huyo. Usije ukarogwa ukamfukuza.

Thank me later
 
Nimeuona moyo wa huruma ulonao kwenye maandishi yako, endelea na moyo huo huo, usimfukuze, ila mpe ushauri na mikakati mipya jinsi ya kuishi na kufanya kazi kwa wakati huu wa kulea, mungu ana sababu ya msingi kuruhusu hilo jambo litokee kwako right now, utabarikiwa zaidi niamini mimi.
 
Nimeuona moyo wa huruma ulonao kwenye maandishi yako, endelea na moyo huo huo, usimfukuze, ila mpe ushauri na mikakati mipya jinsi ya kuishi na kufanya kazi kwa wakati huu wa kulea, mungu ana sababu ya msingi kuruhusu hilo jambo litokee kwako right now, utabarikiwa zaidi niamini mimi.
 
Mimi nina kijana ana sumbua sumbua
Ila simfukuzi kwa kua na nyota ya biashara
Usibadilishe badilishe watu wengine wana nuksi
 
Back
Top Bottom