Unataka Nini weweMnamo tarehe 29 Aprili nilifika katika zahanati hiyo iliyopo Halmashauri ya Mbinga Kata ya Lusonga nikashangaa kuona wanawake wajawazito wanatozwa Tsh 500 wakidai wahudumu wa pale wakidai kwa ajili ya kumlipa mlinzi.
Kama hakitoshi Kadi ya mama mjamzito inauzwa Tsh elfu 2,000 na wakichelewa kufika kliniki wanatozwa Tsh 1,000 kama faini kwa kuchelewa.
Kwenu wadau hii ni halali?
Unataka niniMnamo tarehe 29 Aprili nilifika katika zahanati hiyo iliyopo Halmashauri ya Mbinga Kata ya Lusonga nikashangaa kuona wanawake wajawazito wanatozwa Tsh 500 wakidai wahudumu wa pale wakidai kwa ajili ya kumlipa mlinzi.
Kama hakitoshi Kadi ya mama mjamzito inauzwa Tsh elfu 2,000 na wakichelewa kufika kliniki wanatozwa Tsh 1,000 kama faini kwa kuchelewa.
Kwenu wadau hii ni halali?
Mganga mkuu wa hiyo hospitali afukuzweUnataka nini
500 nayo yakufungulia Uzi?