Wajenzi wa Barabara, kwanini Molam haisambazwi punde baada ya kuwekwa barabarani?

Wajenzi wa Barabara, kwanini Molam haisambazwi punde baada ya kuwekwa barabarani?

Wildlifer

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2021
Posts
1,884
Reaction score
5,235
Nimeshuhudia mara nyingi malundo ya molam yakirundikwa barabarani kwa ajili ya ujenzi wa Barabara na kukaa muda mrefu (wiki moja hadi mwezi), na kisha kusambazwa.
IMG_20230225_132302_370.jpg
Mtaani nilipo, ni zaidi ya wiki ya tatu, toka molam imelundikwa.

Kwanini yasimwagwe na kusambazwa haraka. Je, kuna sababu za kitalaam?
 
Nimeshuhudia mara nyingi malundo ya molam yakirundikwa barabarani kwa ajili ya ujenzi wa Barabara na kukaa muda mrefu (wiki moja hadi mwezi), na kisha kusambazwa.
View attachment 2529964Mtaani nilipo, ni zaidi ya wiki ya tatu, toka molam imelundikwa.

Kwanini yasimwagwe na kusambazwa haraka. Je, kuna sababu za kitalaam?
Sababu ya kwanza, mitambo inayotumika huwa ni ya kukodi na unakuta kuna mahali pengine inatumika hivyo inabidi usubiri mpaka wamalize kazi ndipo na wewe ukodi, lakini pili mitambo inaweza ikawa ipo lakini pesa imekata hivyo unaanza kusaka wa kukukwamua ili uendelee na kazi
 
Mitambo ya kukodi, Changamoto ya pesa wanawasilisha bank statement za uongo kuwa wanapesa benki na zimesainiwa na mameneja wa Mabenki kumbe hata kibunda hawana, Mitambo kupata breakdown etc...
 
Ni mambo ya kibinadamu tu, inaweza kuwa pesa au vitendea kazi kutokupatikana kwa wakati
 
Kwasababu moram ina asili ya matembere au kiporo cha wali maharage ikilala inakua tamu zaidi
 
Habari wadau.

UVIMO CIVIL GROUP
Tunajishughulisha na ufundi wa ujenzi nyumba.

Kupitia majukwaa yetu ya
UVIMO PUBLIC CENTER
,tumekuwa tukiendesha semina mahsusi za ujenzi.

UVIMO MAKTABA
Ndio programu yetu mahususi

Tumedhamilia kufanya semina mahususi juu ya ujenzi kuanzia uchaguzi wa uwanja hadi kuingia n.k
Kaika programu hii, utafaham kipi cha kuanza kwa kufuata utaratibu gani.

Ungana na wadau wengine kuanzia
Tarehe [emoji1428]1/3/2023
Ukumbi [emoji1428]Uvimo Public Center WhatsApp group
Kiingilio [emoji1428]Bure kabisa

Wasiliana nasi kupitia
WhatsApp [emoji1428]0753927572
Kupiga[emoji1428] 0753927572

Uvimo Maktaba

View attachment 2530172
Kuna mtu atapigwa muda si mrefu. Weka kumbukumbu ya maandishi yangu haya
 
Back
Top Bottom