Sababu ya kwanza, mitambo inayotumika huwa ni ya kukodi na unakuta kuna mahali pengine inatumika hivyo inabidi usubiri mpaka wamalize kazi ndipo na wewe ukodi, lakini pili mitambo inaweza ikawa ipo lakini pesa imekata hivyo unaanza kusaka wa kukukwamua ili uendelee na kaziNimeshuhudia mara nyingi malundo ya molam yakirundikwa barabarani kwa ajili ya ujenzi wa Barabara na kukaa muda mrefu (wiki moja hadi mwezi), na kisha kusambazwa.
View attachment 2529964Mtaani nilipo, ni zaidi ya wiki ya tatu, toka molam imelundikwa.
Kwanini yasimwagwe na kusambazwa haraka. Je, kuna sababu za kitalaam?
Sio kweli, kama ingekuwa hivyo tusingekuwa tunamwaga maji na boza kabla ya Roller kupita kushindiliaWanasubiri moram ikauke, wakisambaza iwe ungaunga kama wa kupikia juice ya mihogo
Kuna mtu atapigwa muda si mrefu. Weka kumbukumbu ya maandishi yangu hayaHabari wadau.
UVIMO CIVIL GROUP
Tunajishughulisha na ufundi wa ujenzi nyumba.
Kupitia majukwaa yetu ya
UVIMO PUBLIC CENTER
,tumekuwa tukiendesha semina mahsusi za ujenzi.
UVIMO MAKTABA
Ndio programu yetu mahususi
Tumedhamilia kufanya semina mahususi juu ya ujenzi kuanzia uchaguzi wa uwanja hadi kuingia n.k
Kaika programu hii, utafaham kipi cha kuanza kwa kufuata utaratibu gani.
Ungana na wadau wengine kuanzia
Tarehe [emoji1428]1/3/2023
Ukumbi [emoji1428]Uvimo Public Center WhatsApp group
Kiingilio [emoji1428]Bure kabisa
Wasiliana nasi kupitia
WhatsApp [emoji1428]0753927572
Kupiga[emoji1428] 0753927572
Uvimo Maktaba
View attachment 2530172